Varius
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 644
- 503
Kaka sasa ndo upime uwezo wetu sisi watanzania kufikiria uko wapi hawa ndo wasomi tuliowaamini tukawapa wadhifa wa kuendesha roho zetu sasa angalieni madudu wanayofanya alaf leo wanakuja kugundua ujinga na upumbavu waliofanya wanasema eti wanaibua makosa marekebisho inabidi yafanyikeAliyajua yote hayo kabla ya kuwa CAG maana alikuwa Mfanyakazi wa UDSM
Sasa nafasi yake inampa uwezo wa kujua hizo kasoro kwa undani
Kama jamaa walitoa mlungula itakula kwao