Asingedhibiti wangeifilisi nchi kwa mwendo uleRaisi wangu Magufuli shikilia hapo hapo!
Lile boti lililotumia masaa nane Dar es Salaam to Bagamoyo linatengenezwa tena, natafuta gharama zake za matengezoHalafu kuna mijitu inakuja tunapongeza juhudi sijui tunaunga mkono juhudi.....mkono juhudi pongezi my foot
Nchi inaendelea kuibiwa tofauti yake ni mwizi ni yuleyule amebadilisha mbinu ya kuiba
Eti tumeibiwa vya kutosha blabla na sasa tunaibiwa vya kuzidi
ccm nchi mnaimaliza wenyewe mnashinda mkiwadanganya WaTz
Hii nchi inaendeshwa kama gari lililokosa break oil maji engine inasubiri kubust hahahhhhLile boti lililotumia masaa nane Dar es Salaam to Bagamoyo linatengenezwa tena, natafuta gharama zake za matengezo
Umeliona hilo tu kwenye kurasa zote zile? Mbona makusanyo ya kodi hayakufanana na maendeleo yanayohubiriwa nalo hujaliona! Hilo deni la panadol za India hulioni umeiona cdm tu! Watu wanapiga kuliko wakati mwingine wowote na hawafanywi lolote mradi uimbe kumsifu! Wacha wale ili cag apate cha kukagua!Kwa mujibu wa ripoti ya CAG, wanachama wa Chadema wana kazi kubwa sana kwa mujibu wa ripoti hii, binafsi sitaki kuwapangia namna ya kuchukizwa na madudu yaliyoripotiwa humo kuhusu harufu ya ufisadi ndani ya chama, ila kwasababu kwa miaka mingi wanajipambanua kama watu wanaochukia uchafu nadhani tusiwasonge sana, bali tuwape nafasi ili tuone WANAKERWA kiasi gani na uchafu uliotajwa na ripoti ya CAG ktk nyumba yao.
Muda umewaumbua!Mungu Ni Mwema Wakati Wote