Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Hongera JK... tunajivunia na wewe.....
ha ha haaaa, kwa kuwa mmethubutu, mmeweza na sasa mnasonga mbele!!
Hongera JK... tunajivunia na wewe.....
Kwa taarifa yako, mlipa kodi namba moja Tanzania ni Kampuni ya bia TBL.Kama bado hunywi bia anza leo uongeze pato la taifa
Bwana yesu asifiwe Mwita!Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanywa pombe za viwandani barani Afrika, ripoti imesema. Idadi ya walevi wa bia imeongezeka kwa asilimia 35 katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wakati ile ya watumiaji wa pombe kali imepanda kwa kiwango cha asilimia 25. Nchi zinazoifuatia Tanzania ni Zambia, Afrika Kusini, Malawi na Nigeria.
ha ha haaaa, kwa kuwa mmethubutu, mmeweza na sasa mnasonga mbele!!
kuna ripoti ilishatupwa humuhumu jamvinimweeee na kina osofia ushirikina wao vp?hawajawashinda kweli
wanapata wapi hela?
kipindi cha mgao wa umeme nilipata sms ikitaka serikali isithubutu kuleta mgao wa bia maana patachimbika sasa naanza kuelewa kwanini...