sifa nyingine ni kashfa na aibu kwa taifa
mkuu tunaongoza kwa vutu viwili so far... Pombe na ushirikina
naona mods mmechomoa posts zangu zinazomuhusu mwenyekiti kutuhamasisha kunywa pombe na kukukesha usiku kucha pale katikati ya jiji! Kama ni kosa, niambieni..au kama nimevunja sheria ya jf inatakiwa mnijulishe!
Mapato yatokanayo na unywaji huo unawanufaisha kina nani?
Hongera JK... tunajivunia na wewe.....
Ukipita salendar hapo kuna bonge la bango la beer ya ndovu basi wasituwekee hata mabango bac c
Naona mods mmechomoa posts zangu zinazomuhusu mwenyekiti kutuhamasisha kunywa pombe na kukukesha usiku kucha pale katikati ya jiji! kama ni kosa, niambieni..au kama nimevunja sheria ya JF inatakiwa mnijulishe!
sifa nyingine ni kashfa na aibu kwa taifa
Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanywa pombe za viwandani barani Afrika, ripoti imesema. Idadi ya walevi wa bia imeongezeka kwa asilimia 35 katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wakati ile ya watumiaji wa pombe kali imepanda kwa kiwango cha asilimia 25. Nchi zinazoifuatia Tanzania ni Zambia, Afrika Kusini, Malawi na Nigeria.
Mbaya zaidi pale hamna hata age restriction. Ukienda unawakuta watoto wadogo under 18 wanabwia mipombe. Imagine hapo huyu mwenyekiti anaandaa taifa gani.Naona umeanza kurithi tabia za Faiza Foxy, nakushangaa unavyosema mmiliki wa Bills anakuhamasisha kunywa pombe kwani we ni mtoto mpaka ushawishiwe?
Ndo maana rate ya uvunjikaj wa ndoa kutokana na ukosefu nguvu za kiume imeongezeka tz
Marhaba mtoto mzuri! Angel mzima? Mpe salam zangu!shkamoo