Ripoti: Tanzania yaongoza kwa wanywa pombe

Ndo maana rate ya uvunjikaj wa ndoa kutokana na ukosefu nguvu za kiume imeongezeka tz
 
Naona mods mmechomoa posts zangu zinazomuhusu mwenyekiti kutuhamasisha kunywa pombe na kukukesha usiku kucha pale katikati ya jiji! kama ni kosa, niambieni..au kama nimevunja sheria ya JF inatakiwa mnijulishe!
 
naona mods mmechomoa posts zangu zinazomuhusu mwenyekiti kutuhamasisha kunywa pombe na kukukesha usiku kucha pale katikati ya jiji! Kama ni kosa, niambieni..au kama nimevunja sheria ya jf inatakiwa mnijulishe!

shkamoo
 
Naona mods mmechomoa posts zangu zinazomuhusu mwenyekiti kutuhamasisha kunywa pombe na kukukesha usiku kucha pale katikati ya jiji! kama ni kosa, niambieni..au kama nimevunja sheria ya JF inatakiwa mnijulishe!

Naona umeanza kurithi tabia za Faiza Foxy, nakushangaa unavyosema mmiliki wa Bills anakuhamasisha kunywa pombe kwani we ni mtoto mpaka ushawishiwe?
 
Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanywa pombe za viwandani barani Afrika, ripoti imesema. Idadi ya walevi wa bia imeongezeka kwa asilimia 35 katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wakati ile ya watumiaji wa pombe kali imepanda kwa kiwango cha asilimia 25. Nchi zinazoifuatia Tanzania ni Zambia, Afrika Kusini, Malawi na Nigeria.


Haswaa kaka wo wo wo (nabweka hapa)
View attachment 41964

 
My favourite beer
images.jpg
 
Naona umeanza kurithi tabia za Faiza Foxy, nakushangaa unavyosema mmiliki wa Bills anakuhamasisha kunywa pombe kwani we ni mtoto mpaka ushawishiwe?
Mbaya zaidi pale hamna hata age restriction. Ukienda unawakuta watoto wadogo under 18 wanabwia mipombe. Imagine hapo huyu mwenyekiti anaandaa taifa gani.
 
Chonde chonde..takwimu za hivi mbali ya wadau wengi kujikita kwenye ulevi,kilevi,unywaji binafsi kwangu naona inaresult ktk mambo yafuatayo:

uzembe,why?anayekunywa haijalishi kalewa ama la, walio wengi watakuwa wanachelewa kazini ama wanatoroka kazini kwa ajiri ya hang over za pombe (blacks are lazy)

Matumizi mabaya ya pesa,why?kuna idadi kubwa ya watu wanalazimika kula sana asubuhi ama kunywa bia/supu nje ya bajeti yao ya kawaida ili kuneutralise alcohol (unnecessary expenses)

kizazi kiovu,(evil)why?wanasema a human being is a captive of his own society,kama ndivyo na mie naamini ndivyo,hawa watoto wa leo wanakua wanayaona haya na wanayapenda make kunywa pombe ni kama ufahari kwao tunawategemea wabehave differently ama indifferently? Sisi walevi,wanywaji ndo role models wa next generation?it's likely to do them wrongly

lifestyle diseases,why?ikiwa ni resultant ya vyakula/vinywaji vyenye kemikali ikiwemo sukari natarajia magonjwa kama presha,kisukari,kansa n.k yataongezeka Tz ndani ya miaka5 ijayo na yatacost maisha ya wengi kuliko tunavyofikiria

Sioni faida ya pombe ktk kiwango hiki ukizingatia ktk maandishi pombe ya kipimo hiki ni haramu pia,hvyo badala ya kujadili sijuhi ni ulevi ama siyo ni vyema watanzania tukajiuliza madhara ya pombe hapo baadae na zaidi kama una malengo vinginevyo tutakuwa kama wale wanaosema mwafrika anaishi kwa leo tu,hana wazo lolote zaidi ya mwaka mbele..



Japo ni marudio bado yanadhihiri na severely yatazidi kudhihiri.
 
Back
Top Bottom