Ripoti Maalum: Kutajwa kwa Vyombo vya Usalama na Wengine kwenye Madawa ya Kulevya ni Mtego kwa JK

Status
Not open for further replies.
Watanzania hamna akili kweli. Hv mnategemea mtu aliyekatiza ziara ya muhimu ya kiserikali bukoba na kukimbilia kumjulia hali muuza unga aliyemwagiwa acid afrika kusini anampango wa kuwakamata wauza unga?
 
Kwani hao mateja nani aliyewalizimisha kutumia madawa???.

Tumia ujinga wa wengine utengeneze pesa.
 
Umeichambua vizuri hiyo barua lakini ulipoingiza mambo ya CHADEMA na CCM uchambuzi wako umekosa nguvu, kama suala la polisi kuwasumbua vyama vya siasa hawajaanza leo mbona haujawasema CUF wewe na CHADEMA tu.

Nchi inaongozwa kwa mfumo wa vyama. Cdm ndicho chama pekee kimethubutu kupambana n watu waotaka kufanya tz mali yao. kwa hiyo waache watu wawe huru kui-promote cdm kwani vingine ni magumashi tupu. hata mie ni ccm lakini nimshakichoka na siku si nyingi nitahamia cdm. yawezekana wewe ni mmoja wa wanaofaidi na maouvu ya ccm ndi maana unaumia roho ukisikia mtu anaisifia chdm.
 
Umeichambua vizuri hiyo barua lakini ulipoingiza mambo ya CHADEMA na CCM uchambuzi wako umekosa nguvu, kama suala la polisi kuwasumbua vyama vya siasa hawajaanza leo mbona haujawasema CUF wewe na CHADEMA tu.

kwa hiyo kilichokuuma hapo ni kutajwa kwa ccm au? Kwa hiyo nawe unakubaliana na uonevu wa polisi kwa chadema na hata juzi kutaka kuwaua watu pale uwanja wa sahara kwa bahati mbaya?
 
kwa utawala huu wa JK mtuhumiwa namba 1 wa madwa ya kulevya ni RIDHIWANI KIKWETE,jiulize mbona mambo ya kina AGNESS MASOGANE haya pewi uzito?na kwa mawaziri ni ADAM MALIMA naibu waziri wa kilimo mtafuteni mbunge wa MWIBALA KANGI LUGOLA awape siri
 
Hile Barua tusihiamini moja kwa moja,Ukihisoma kwa Makini,utagundua mwandishi anajisahau na kuisemea nafsi ya mtu,Dhima nzima kwangu niliyoiona kwenye ile Barua,mwandishi alitaka kufikisha ujumbe,watanzania wawajue drug Lords,na mwingiliano wa Kazi ya Madawa ya kulevya na vyombo vya Usalama

Jifunze kuandika vizuri. " Hile, tusihiamini" ndiyo nini?
 
Mbona sijaona viongozi wa serikali wakitajwa. Hii habari ipo kwenye uzi wa EMT na barua imeambatanishwa pale.

Modes wanatakiwa kuiunganisha hii habari kwani uzi tayari upo muda mrefu.

Uzi wa Mwanakijiji hauwezi kuunganishwa.
 
Last edited by a moderator:
Ikulu kuna shati tu hamna mtu pale! Nchi inaongozwa na watu kama hao waliotajwa na wengine ambao ------ ANAWAJUA, hata siku moja haitatokea awachukulie hatua yoyote ile, kwanza anawaogopa, au hamjaona picha alivyokua anamjulia hali SAIDI kule south Afrika kwa unyenyekevu mkubwa!! Ni janga jamani, Rais hana ujasiri hata kidogo!! Wapumbavu tu wanaongoza nchi tena wengine hata Primary hawajasoma ila wanapata heshima kwa pesa zao haram!
 
Hadi naona aibu aisee ! Japo naona wauza sembe nao kumbe wana watetezi humu jf , sasa sijajua kama biashara zinawahusu au wanatetea chama chao .
 
Umeichambua vizuri hiyo barua lakini ulipoingiza mambo ya CHADEMA na CCM uchambuzi wako umekosa nguvu, kama suala la polisi kuwasumbua vyama vya siasa hawajaanza leo mbona haujawasema CUF wewe na CHADEMA tu.

wewe Ritz, huyo ametaja chadema kwa mfano hasa we unaona habari njema hyo kwa hao vibaka wako ccm? Na bado mtaumbuka sana. Kumbe tunawaona watu wana utajiri wa kutisha hali wanauza madawa ya kulevya? Hv we kikwete uko wapi? Majina yako uliyotuambia yako wapi? Umewakamata lini hao ambao majina yao unayo? Kweli wewe ni baba mdhaifu xana.
 
Mimi sidhani tatizo letu hapa ni JK, CCM au serikali. Huu si uchafu mdogo ni uchafu unaohitaji tuunganishe vichwa bila kujali itikadi tutengeneze vita na mikakati ya kuendesha mapambano dhidi ya majanga haya. JK alilivalia njuga lakini kaona hana ubavu nalo na hata akija nani hawezi kuwa na ubavu kama hatuamui kuwa wawazi na kupambana nalo kama vita ya ukweli. Anayebugia anyongwe au akimtaja aliyemuuzia apewe kifungo cha maisha; mbebaji akimaliza kifungo nje akirudi ni kunyongwa na akiweza kuwataja wahusika ni kifungo cha maisha. Wahusika wakuu ni kunyongwa tu moja kwa moja na nchi nzima tuendeshe kura ya siri kuwataja na kuwamaliza.
Umepotea, wanaobugia ni victim wa wauzaji. na katika wauzaji wako wale wakubwa wanaofadhili usafirishaji na kuwapa wale wanaofanya biashara ya rejareja. Kama ukitaka kushinda vita hii upigani na victim bali na wauzaji...
 
CCM sasa wanakamilisha jina lao Chukua Chako Mapema, sasa hivi kila mtu anahaha kujikusanyia vyake at any cost, wamesha gundua kuna hatari ya wananchi kuchukua buku mbili na vitenge kwa hasira na kuweka kura zao kwenye sanduku la pembeni. 2015 iwapo CCM itashindwa mtashangaa watu watakavyo potelea kwenye thin air. tutabaki wenyewe tu na mashimo matupu ya migodi na mateja yetu mitaani, na wanyama wa kuhesabu porini...juzi mzee Pinda mwenyewe kasema siku hizi madawa yanawekwa mpaka kwenye asikirimu zinazouzwa kwenye shule za msingi ili kuwapa addict watoto...lakini mpaka leo hajasema serikari imechukua hatua gani kuhusu hizo asikirimu na anaelewa kabisa hiyo ndio lunch ya watoto, mlo unaofuata ni chakula cha usiku....
 
Mzee Mwanakijiji huyo aliye namba moja Beka Ranger inasemekana ndiye anayefanya kazi na Ridhiwan Kikwete na wana undugu, Kikwete anamfahamu vizuri sana na ndiye aliyekuwa mchangiaji kwenye kampeni za Kikwete 2005. Hilo lipo wazi na linafahamika kuwa kikwete alichangiwa na Wauza madawa kwenye kampeni zake za urais 2005 na hana ubavu wa kuwakamata wauza unga. Tutapiga kelele kukamatwa hawakamatwi wanalindwa.

Mzee Mwanakijiji jiulize kwanini hii
biashara ya madawa imeongezekana sana katika utawala wa Kikwete, think twice Mzee Mwanakijiji kwanini hawachukuliwi hatua au kukamatwa?
Beka Ranger amekuwa tajiri mno na kila mtu hapa Magomeni anamjua kwa utajiri wake
 
MM ukweli huu ni mtihani kwa kiongozi, ambae kwa dhati kweli kama yuko kwenye vita ya kweli kweli na ya dhati kuipunguza kama si kuimaliza kabisa biashara hii.Kama kweli kuna Task Force maaalumu ya vita hii,repoti hii ni sumu na EXECUTION ya mission za aina hii zinapaswa kuonekana publically kwa kuwa vyombo vilivyotajwa ni muhimu na watajwa wanatoka huko.

Kuendelea kulea mission za game hizi zimezaa na zitazaa waliotumwa na wasiokuwemo nao watadondokea nza pua nao kuwa wahanga!!!Maadili na Uzarendo yamepelekea imani ya umma kuwa VITA hii ni hafifu na haina tija.

Najua MM unajua ni kwa kiwango gani VITA hii ilivyo kubwa na sio ngoma ya watoto kupambana nayo.Najua unajua ukubwa wa siri na mikakati ya kudeal na drug lords duniani.Inajulikana uwezo wa wa kifedha wa wafanya biashara husika.

Binafsi najiuliza ni kweli TAIFA lina SPECIAL UNIT kwa ajili ya kudeal na wazee wa NGADA NA HEAVY CRIME,na je kama ipo thamani ulizni na ustawi wa maisha yao na familia zao zimewekwa kwenye viwango vya ukubwa wa kazi husika.Binafsi naamini gharama ya kiongozi na mtendaji anaedeal na kuzima biashara ya NGADA kwenye TAIFA anapaswa kuwa na thamani zaidi ya bei ya kunuliwa na muuza NGADA yoyote.

Je ni kweli TAIFA linao wapiganaji hao!!!Ebu pata picha kitaani bongo tunavyowapa mashavu wana wenye michongo isyoeleweka uhalali wake kuwa wao ndio wajanja, wanajua kusaka maisha.Wazee wa kitaa [Watu wazima] wanawasifu na kuwashangilia kuwaalika kwenye issue muhimu za kijamii kitaaani kuchangia.Tumevunja maadili ya jamii level ya familia na hakuna National level ya vigezo vya uzalendo wa kusema ukiona hili sio sawa kwenye jamii na toa taarifa hapa sehemu fulani maaalumu kwa maadili husika na usalama wa mtoa taarifa utahifadhiwa na kutunzwa kwa gharama kubwa.Tumekuwa wasaliti wa JAMHURI yetu wenyewe sio kuanzia VIONGOZI mpaka UMMA wenyewe.

Japo jukumu kubwa wanalo viongozi, binafsi naamini utashi wa kisiasa ukipatikana tatizo la NGADA litakuwa historia.Tunaitaji idadi ya watu wasiozidi kumi kuimaliza biashara ya PODA bongo.Ila kwa mwendo huu wa matukio haya kufikia taarifa hiyo kamanda mkuu wa vita hii anapaswa kuvaa UBANDIDU NA UKAUZU wa kusema enough is enough vinginevyo bila kuwa na uso wa CHUMA roho ya PAKA matendo ya KIDUBU wananchi wake watajudge wasichokijua na hatimae muda na mazuri ya uongozi yatafutika na kuacha historia isiyostahiki.

Binafsi naamini timing ni kitu muhimu na watekelezaji wa kueliminate hizo inabidi watizamwe upya na gharama yao isiesabiwe kwa thamani ya fedha bali kwa Uzarendo na Utu wa heshima ya TAIFA na heshima yao MAISHA yao ni gharama ya MAISHA BORA yasiyo wapa HOFU ya maitaji yoyote MAISHANI MWAO yani kwa lugha nyepesi SPECIAL UNITY ni full kujitosheleza anga zote mpaka mwisho wa maisha yao kama watumishi maalumu wa Jamhuri.
 
Acha nipongeze kauli ya kijana na mh. Mbunge wangu bwana MNYIKA kuwa KIKWETE NI DHAIFU. Ila mie bonge la mnoko kwani nilipoona tu zile barua nikaiprint. Sasa ht ikifanyiwa hujuma kuifuta humu jamvin mie ninazo. Nasubiri gazeti la MAWIO la wiki ijayo litachambua kwa uzuri madudu haya ya SERIKALI YA CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom