Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Hivi leo tumempoteza rafiki yetu Ernest Chonjo mfanyabiashara wa mjini Arusha. Ernest amekuwa akifanya biashara hapa nchini na nje ya nchi. Kwa wale wanaojua Arusha ya miaka ile Ernest alikuwa ni mmoja wa wamiliki wa Bar aliyokuwa maarufu miaka ya tisini - BARRACUDA BAR.
Ernest amefia mjini Nairobi leo jioni.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
Ernest amefia mjini Nairobi leo jioni.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.