RIP Ernest Chonjo wa Arusha

RIP Ernest Chonjo wa Arusha

Nadhani ni Chonjo ni ukoo mkubwa Ernest Chonjo ni mfanyabiashara mdogo ana duka la nguo maeneo ya jengo la CCM Vijana Arusha mjini.


Erick Chonjo ameingiaje hapa? Au huyu atakuwa ni Erick mwingine tofauti na huyu wa prof. Chonjo? Vinginevyo tujitahidi tusichafue majina ya watu ili mradi tu ni Chonjo. Ninamfahamu Erick Chonjo (Bambi) ndugu na Alan Chonjo ambao ni wastaarabu waliozaliwa katika familia ya kistaarabu na wanahangaika na maisha yao huku Erick Chonjo akimiliki kampuni yake ndani na nje ya nchi na mdogo wake akiwa Meneja katika kampuni moja ya inayotengeneza vinywaji. Kwa hiyo tusaidie hapa huyu Erick Chonjo ni yupi?
 
....Jeneza lake nalo litakuwa la kufunguliwa kwa RIMOTI? RIP marehemu
 
Erick Chonjo ameingiaje hapa? Au huyu atakuwa ni Erick mwingine tofauti na huyu wa prof. Chonjo? Vinginevyo tujitahidi tusichafue majina ya watu ili mradi tu ni Chonjo. Ninamfahamu Erick Chonjo (Bambi) ndugu na Alan Chonjo ambao ni wastaarabu waliozaliwa katika familia ya kistaarabu na wanahangaika na maisha yao huku Erick Chonjo akimiliki kampuni yake ndani na nje ya nchi na mdogo wake akiwa Meneja katika kampuni moja ya inayotengeneza vinywaji. Kwa hiyo tusaidie hapa huyu Erick Chonjo ni yupi?

Mkuu......huyo Erick unayekataa yupo.......huyu yupo Marekani.......sio huyo wako unayemzungumzia.......
 
Hivi leo tumempoteza rafiki yetu Ernest Chonjo mfanyabiashara wa mjini Arusha. Ernest amekuwa akifanya biashara hapa nchini na nje ya nchi. Kwa wale wanaojua Arusha ya miaka ile Ernest alikuwa ni mmoja wa wamiliki wa Bar aliyokuwa maarufu miaka ya tisini - BARRACUDA BAR.

Ernest amefia mjini Nairobi leo jioni.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

Kwa mara ya kwanza kusikia kuwa Arusha imefiwa na mfanyabiashara ambae si bilionea.Poleni sana wana Arusha
 
Mkuu......huyo Erick unayekataa yupo.......huyu yupo Marekani.......sio huyo wako unayemzungumzia.......

Ok mkuu, inaelekea hao chonjo wanapenda jina Erick!!! tehe tehe!! Huyu ninayemzungumzia baba yake alikuwa prof. udsm na sasa nafikiri yupo Tumaini University. Ila naye huwa anaenda Marekani kufanya shopping ya mitambo ya shughuli zake. Il akama usemavyo Chonjo ni pana sana na wajanjawajanja ni wengi katika ukoo huo.
 
hao jamaa waache tu!..maana na Dar es salaam kila mtu akifa watu waamue kuanzisha thread hili jukwaa litakuwa ni jukwaa la vifo!kwa arusha kila kifo kwao ni habari ya kuanzishia uzi hata kama aliyevuta hana umaarufu

jamani, mbona huko mnaanzishaga thread kama hizo pia, za watoto wa mujini wanaojulikana? juzi kati hapa kulikuwa na thread sijui kijana gani anaemiliki hotel/bar mliianzisha humu, nadhani nae alikuwa mutoto wa mujini kama hawa wanaozungumziwa na watu wa arusha, afe nyamayao nani anamjua amwanzishie thread humu? mshamba wa njoro.
 
Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.

1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo

wote ni mabilionea wa arusha au ni ernest tu ndo bilionea kati ya hayo majina
 
Acha kukurupuka! Jambazi siyo yeye ila ni ndugu yake, wewe ni mavi kabisa.

We ndiye huna akili. Kazi kusafisha waume zako. Unachokataa kwamba hawa jamaa ni majambazi ninini? Hata kama anakugegeda sio kihivyo.
 
hao jamaa waache tu!..maana na Dar es salaam kila mtu akifa watu waamue kuanzisha thread hili jukwaa litakuwa ni jukwaa la vifo!kwa arusha kila kifo kwao ni habari ya kuanzishia uzi hata kama aliyevuta hana umaarufu

Watu wa kaskazini kwa ujumla wana umoja na ndio sababu taarifa kama hizi zinasambaa..
 
Daah. kama kuna ukweli vile Arusha na klm.watoto wa kiume zaidi ya 5 kuna jambazi.bt hii yote inaletwa na maneno ya wazazi wakipata mtoto wa kiume wanasema nimeleta jambazi while mtoto wa kike wanasema malaya.MOSHI-Mungu Onyesha Sasa Hela Ilipo. na itachukuliwa kwa njia yeyote.RIP milionea Ernest.
 
Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.

1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo

bbaba yaoa k iboko alizaa alizalisha
wiii hhope mama mzazi wanamlea kama Mungu apendavyo maana naona ni amvifaru watu wanaongozana:tape:
 
Back
Top Bottom