Mkuu yupi kati ya hawa anasemekana ni jambazi la kufa mtu!Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.
1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo
Mambo gani hayo mkuu!da huko atown kuna mambo
Mkuu yupi kati ya hawa anasemekana ni jambazi la kufa mtu!
Poleni sana. Naona huyu hawajamuita bilionea..
Jonhson Chonjo.
Bilionea mwingine wa Arusha afariki dunia. mabilionea wa Arusha wanapukutika.
Mabilionea wa Arusha...
Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.
1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo
lakini sijamsikia siku nyingi kwenye maskendo hayo, RIP Ernest!
Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.
1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo
Hivi leo tumempoteza rafiki yetu Ernest Chonjo mfanyabiashara wa mjini Arusha. Ernest amekuwa akifanya biashara hapa nchini na nje ya nchi. Kwa wale wanaojua Arusha ya miaka ile Ernest alikuwa ni mmoja wa wamiliki wa Bar aliyokuwa maarufu miaka ya tisini - BARRACUDA BAR.
Ernest amefia mjini Nairobi leo jioni.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
Hawa jamaa kwao wote ni majambazi.Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.
1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo
Ziraili atakuja kukutembelea, nilimskia akikutaja
Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.
1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo