RIP Ernest Chonjo wa Arusha

RIP Ernest Chonjo wa Arusha

Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.

1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo
Mkuu yupi kati ya hawa anasemekana ni jambazi la kufa mtu!
 
Bilionea mwingine wa Arusha afariki dunia. mabilionea wa Arusha wanapukutika.
 
RIP Ernest Chonjo.

Pole sana Dada yangu Luckystar kwa kufiwa na mume katika umri mdogo.
 
Ernest hausiani kidamu na Falme. Kama ni watoto wa Yule Mzee W. Kitambi? na Mama mrefu ... natia shaka. Msichafue koo za watu humu JF & MShindwe Mlegee!!. Rip Ernest
Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.

1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo
 
Hivi leo tumempoteza rafiki yetu Ernest Chonjo mfanyabiashara wa mjini Arusha. Ernest amekuwa akifanya biashara hapa nchini na nje ya nchi. Kwa wale wanaojua Arusha ya miaka ile Ernest alikuwa ni mmoja wa wamiliki wa Bar aliyokuwa maarufu miaka ya tisini - BARRACUDA BAR.

Ernest amefia mjini Nairobi leo jioni.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

Chonjo ni mfanyabiashara au JAMBAZI? Mimi namfahamu kama lijambazi SUGU. Go in hell CHONJO
 
Hapana Falme ndio mkubwa, Erenest anmfuata Henry.

1. Falme Chonjo
2. Johnson Chonjo
3. Benson Chonjo
4. Henry Chonjo
5. Ernest Chonjo - RIP
6. Erick Chonjo
7. Shamsia Chonjo

Erick Chonjo ameingiaje hapa? Au huyu atakuwa ni Erick mwingine tofauti na huyu wa prof. Chonjo? Vinginevyo tujitahidi tusichafue majina ya watu ili mradi tu ni Chonjo. Ninamfahamu Erick Chonjo (Bambi) ndugu na Alan Chonjo ambao ni wastaarabu waliozaliwa katika familia ya kistaarabu na wanahangaika na maisha yao huku Erick Chonjo akimiliki kampuni yake ndani na nje ya nchi na mdogo wake akiwa Meneja katika kampuni moja ya inayotengeneza vinywaji. Kwa hiyo tusaidie hapa huyu Erick Chonjo ni yupi?
 
Back
Top Bottom