Ridhiwani Kikwete katika kashfa nzito Chalinze

Ridhiwani Kikwete katika kashfa nzito Chalinze

Hali ni mbaya sana Chalinze. Na jamii ya Chalinze haijapata elimu ya kuhifadhi maji kwaiyo familia nyingi zina vindoo viwili au vitatu vya kuhifadhia maji. Maji yakikatika kwa muda mrefu kama hivi ni mateso makali kwa wakina mama na watoto kutafuta maji
 
Mkuu mimi pia ninaishi Chalinze ingawa nina muda kidogo sijatokea pale. Ni kuwa Ridhiwani ame-influence kuzipata hizo hela kupitia kwa wapambe wake ambao ni wajumbe kwenye bodi ya mamlaka ya maji Chalinze.

Wakazi wa Chalinze wanamlaumu Ridhiwani

Mkuu Mzito Kabwela sikutegemea kama unaweza kushiriki siasa nyepesi kiasi hiki.Labda jiulize hizo pesa zimelipwa katika akaunti binafsi ya Ridhiwan?Yeye ndio mkandarasi au mlipaji wa malipo ya mrad?.Kuna siasa za muda mrefu zisizokuwa na tija za kuzungumzia rais Kikwete na familia yake.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mzito Kabwela sikutegemea kama unaweza kushiriki siasa nyepesi kiasi hiki.Labda jiulize hizo pesa zimelipwa katika akaunti binafsi ya Ridhiwan?Yeye ndio mkandarasi au mlipaji wa malipo ya mrad?.Kuna siasa za muda mrefu zisizokuwa na tija za kuzungumzia rais Kikwete na familia yake.
Mkuu Mingoi kama nilivyotangulia kueleza, sijakanyaga nyumbani kwa muda kidogo nipo nje ya Chalinze kikazi. Baada ya IKWETE kupandisha uzi hapa niliwapigia ndugu, jamaa, marafiki na Nasser mwenyewe. Raia wamesema Ridhiwani amekula hizo pesa kupitia kwa wapambe wake walio kwenye bodi ya mamlaka ya maji. Yeye Ridhiwani ndio aliyewatuma waibe wampe. Sasa kama walimpa mkononi au kwenye bank account hilo wanalijua wao.
Kikubwa ni kuwa watu wanateseka kwa kukosa maji na mbunge yuko kimya. Akipigiwa simu akigundua ni mpiga kura wake atakwambia kata simu nikupigie, hapigi na simu anazima
 
Last edited by a moderator:
huyu jamaa noma sana kwa kutunga uongo.mmmh riz na pesa za dawa wap na wap mbona hata links hakuna.hiz siasa chafu sio nzur
 
Zingewapitia tungeziachia turudi upandemwingine was shillingi
 
Wazee wa majungu karibuni jukwaani. Ishu ya tatizo la maji pia ni dar nzima wiki ya tatu sasa

Riziwan anahusikaje hapa kwenye ishu ya kitaalam ambayo dawasco na pawasco wanahusika?

Hayo yote tuyaache tuzungumzie kuliwa kwa Tsh. 450 Million je ni kweli au si kweli tukimaliza hilo ndio unaweza kuandika hicho ulichokiandika.
 
Photo pls

Hii hapa anagawia ndizi watoto alizonunua kwa hizo Million 450.

IMG_5737.JPG
 
Porojo!! wapi natoa maneno zako?

Chadema jimbo la chalinze walifika pale Wami kuulizia kiini hasa cha kukosa maji kwa miezi yote hii. Walijibiwa kuwa kamwambieni mbunge wenu arudishe pesa alizokwapua.
Wananchi kwa umoja wao walienda ofisi za mamlaka ya maji pale KUDIEMBE, wakaambiwa tatizo ni Ridhiwani and Co.
Sasa kila kona anatajwa Ridhiwani tu jamani?
 
Thread imewekwa saa 3 Asubuhi na kama nijuavyo Riz ni member humu JF lakini cha ajabu hajajitokeza kujitetea juu ya hili kwa hiyo tuamini kuwa SILENCE MEANS YES?
 
IKWETE

Duh kasheshe, mtu mzima unavyokuwa muhongo inasikitisha sana, Wivu umekujaa, kuna mtu alimwambia baba yako asiwe mjanja ili afanikiwe. Kweli TZ hatuwezi endelea kwa sababu wivu na chuki ndizo zimetujaa.

Unaposema Muhongo unamaanisha nini?
 
Uongo hakuna, mie naishi mkoa wa pwani, maji hakuna tena hakuna maji kabisa,
unataka uambiwe nini.
uongo namna hii ni heri uvae sketi tu tujue moja kuliko shida unazopata kujipitishapitisha
 
Ridhiwani na wapambe wake wamekula hela za kufanya maji yatoke Chalinze

Kwa vipi Mbunge ahusike na kazi za DAWASCO ni UoNGO ULIOPITILIZA, Wapelekee hizi habari vichaa huko vijiweni na sio huku.
 
Back
Top Bottom