Ridhiwani Kikwete katika kashfa nzito Chalinze

Ridhiwani Kikwete katika kashfa nzito Chalinze

Huyu Liziwan si ndiye mwenye mamia ya Malori ya kubeba mafuta!!!Ayachukue yaende Mto Ruvu wayajaze maji then wakagawie wananchi Chalinze
 
IKWETE;
Sijui ka nimekusoma vizuri hivyo naomba kukukot kidogo tu;
Inaelezwa kuwa Ridhiwani na wapambe wake kama Nasser na Mkosamali wameiba Tsh 450Milioni zilizotolewa kwa ajili ya kununua dawa za kuweka kwenye maji pamoja na kukarabati mitambo iliyokuwa imezongwa na matope.

Taarifa zinasema Ridhiwani na wapambe wake wamezila hizo hela wenyewe bila kuwagawia viongozi wa mamlaka ya maji na ndio chanzo cha taarifa hizi kuvuja.

Hivi ulikuwa una maanisha Mh. Joshua Nassari na Mh. Felix Mkosamali au wa Nasser wengine na Wakosamali wengine walio wapambe wa Mh, Riz??
Jambo la pili; Wamjua Riz au? Wadhani pamoja na Mishen zake kubwa kubwa mpaka China aweza kuiba Vijisenti hivyo tena akiwa na genge la watu? Mdhanie mengine si hili la hivyo vijisenti. Labda alizisahau pale Msolwa atawatumieni kwa M-Pesa

Mkuu hoja yako haina mashiko. Mwizi ni mwizi tuu, au hujui tabia za wezi? Mwizi anaweza kuingia kwako akaiba mali za mamilioni lakini wakati wa kutoka akakuta umeanika T shirt ya Manchester na hiyo ndio timu yake aipendayo na hataiacha. Nayo ataiiba tuu.
 
Mimi nawashangaa wajinga wanaotetea mafisadi. hata Escrow hao hao waliibuka wakidai kuwa pesa hazikuwa za umma lakini cha kushangaza viongozi waliotuhumiwa kwa shinikizo la wabunge waliwajibika. Sasa kilichowafanya waang'atuke ni nini? Hivi hawa watu wanaotetea mafisadi wana akili au hawana. Kama wanazo, je wanatumia ubungo gani ambao hauwezi kuchambua mambo? Nijibu nyie mnaotetea mafisadi!
 
Uongo hakuna, mie naishi mkoa wa pwani, maji hakuna tena hakuna maji kabisa,
unataka uambiwe nini.

Wandugu hapa kuna hoja mbili zinachanganywa. Suala la Riz Moko kula milioni 450 na ukosefu wa maji Chalinze. Hili la ukosefu wa maji Chalinze halina mjadala kuwa kweli kuna shida kubwa ya maji bila kujali Mbunge wa sasa na watangulizi wake au mamlaka nyingine ndio zilizosababisha uhaba huu. Issue hapa je ni kweli mbunge huyu na wapambe wake amekula hizo fedha ambazo hazisemwi zilitolewa na nani? akili ya haraka hainielekezi kuwa Mbunge huyu anaweza kula hizo hela. Lakini mliopo hapo jikoni tupeni details za ndani kabisa za namna transactions zilivyofanyika ili tuamini. Ni ngumu kuamini kupitia hizi blah blah ambazo mtu yeyote anaweza kuandika.
 
Mimi nawashangaa wajinga wanaotetea mafisadi. hata Escrow hao hao waliibuka wakidai kuwa pesa hazikuwa za umma lakini cha kushangaza viongozi waliotuhumiwa kwa shinikizo la wabunge waliwajibika. Sasa kilichowafanya waang'atuke ni nini? Hivi hawa watu wanaotetea mafisadi wana akili au hawana. Kama wanazo, je wanatumia ubungo gani ambao hauwezi kuchambua mambo? Nijibu nyie mnaotetea mafisadi!
Mimi sikujibu ila nakuunga mkono kwa ajili ya hii mipumbavu iliyokosa akili kana kwamba yenyewe ndiyo inafaidi na huo Ufisadi, haiogopi hata Mungu kuwatetea majizi yanaimaliza nchi yetu looo!!!!!!! mijinga haina akili hata 1/4
 
Ni takriban miezi miwili sasa mji wa Chalinze na viunga vyake vimekosa maji.

Kuna tishio kubwa la kulipuka kwa magonjwa ya tumbo, kuhara na kipindupindu.

Taarifa za uhakika zilizozagaa hapa Chalinze ni kuwa Ridhiwani Kikwete anahujumu mradi wa maji uliozinduliwa na Rais Benjamin Mkapa wakati Kikwete Jakaya akiwa mbunge wa Chalinze.

Inaelezwa kuwa Ridhiwani na wapambe wake kama Nasser na Mkosamali wameiba Tsh 450Milioni zilizotolewa kwa ajili ya kununua dawa za kuweka kwenye maji pamoja na kukarabati mitambo iliyokuwa imezongwa na matope.

Taarifa zinasema Ridhiwani na wapambe wake wamezila hizo hela wenyewe bila kuwagawia viongozi wa mamlaka ya maji na ndio chanzo cha taarifa hizi kuvuja.

Kutokana na hilo imeamriwa maji yasitoke kwa vile ni hatari sana kwa afya za watumiaji na pia mitambo ikiingiwa na matope italeta madhara makubwa kiufundi.

Makumi ya kina mama na watoto wameonekana katika viunga vya chalinze na ndoo zao wakitafuta maji. Watoto wameacha kwenda shule ili wachote maji ya nyumbani. Kituo cha Afya chalinze ndio kina hali mbaya zaidi baada ya kukaukiwa maji kabisa.

Ridhiwani anazidi kutumaliza watanzania.

Chaguo lenu linawaumiza tena?
 
Riziwani ana kashfa nyingi tu kwa mfano;
1. Kujihusisha na madawa ya kulevya
2. Kujihusisha na biashara za mafuta bila kulipa kodi
3. Kuwa na utajiri wa kutisha ambao haulingani na umri wake (kumbuka alimtishia Dr. Slaa kuwa atampeleka mahakamani mpaka leo muulizeni ile kesi iko wapi?
4. Na mengineyo mengi tu
 
Riziwani ana kashfa nyingi tu kwa mfano;
1. Kujihusisha na madawa ya kulevya
2. Kujihusisha na biashara za mafuta bila kulipa kodi
3. Kuwa na utajiri wa kutisha ambao haulingani na umri wake (kumbuka alimtishia Dr. Slaa kuwa atampeleka mahakamani mpaka leo muulizeni ile kesi iko wapi?
4. Na mengineyo mengi tu
Mlitaka afanye nini kama Baba na Mama yake wanmsaidia ili asnyongwe kule china, Hapa tunamwomba Mungu Dr Lowassa Apewe Urais Ili Hao wote Wafiliswe hadi wajukuu zao, Maana kama ni uongozi wa awamu hii umeimaliza nchi kwa kweli, Rich, Epa,Escro, Mali asili, Jamani Lowassa tunakuomba utusaidie ili mala zote Zirudishwe, kuwa mali za wananchi.
 
Riziwani ana kashfa nyingi tu kwa mfano;
1. Kujihusisha na madawa ya kulevya
2. Kujihusisha na biashara za mafuta bila kulipa kodi
3. Kuwa na utajiri wa kutisha ambao haulingani na umri wake (kumbuka alimtishia Dr. Slaa kuwa atampeleka mahakamani mpaka leo muulizeni ile kesi iko wapi?
4. Na mengineyo mengi tu
Mlitaka afanye nini kama Baba na Mama yake wanmsaidia ili asnyongwe kule china, Hapa tunamwomba Mungu Dr Lowassa Apewe Urais Ili Hao wote Wafiliswe hadi wajukuu zao, Maana kama ni uongozi wa awamu hii umeimaliza nchi kwa kweli, Rich, Epa,Escro, Mali asili, Jamani Lowassa tunakuomba utusaidie ili mala zote Zirudishwe, kuwa mali za wananchi.
 
Ni takriban miezi miwili sasa mji wa Chalinze na viunga vyake vimekosa maji.

Kuna tishio kubwa la kulipuka kwa magonjwa ya tumbo, kuhara na kipindupindu.

Taarifa za uhakika zilizozagaa hapa Chalinze ni kuwa Ridhiwani Kikwete anahujumu mradi wa maji uliozinduliwa na Rais Benjamin Mkapa wakati Kikwete Jakaya akiwa mbunge wa Chalinze.

Inaelezwa kuwa Ridhiwani na wapambe wake kama Nasser na Mkosamali wameiba Tsh 450Milioni zilizotolewa kwa ajili ya kununua dawa za kuweka kwenye maji pamoja na kukarabati mitambo iliyokuwa imezongwa na matope.

Taarifa zinasema Ridhiwani na wapambe wake wamezila hizo hela wenyewe bila kuwagawia viongozi wa mamlaka ya maji na ndio chanzo cha taarifa hizi kuvuja.

Kutokana na hilo imeamriwa maji yasitoke kwa vile ni hatari sana kwa afya za watumiaji na pia mitambo ikiingiwa na matope italeta madhara makubwa kiufundi.

Makumi ya kina mama na watoto wameonekana katika viunga vya chalinze na ndoo zao wakitafuta maji. Watoto wameacha kwenda shule ili wachote maji ya nyumbani. Kituo cha Afya chalinze ndio kina hali mbaya zaidi baada ya kukaukiwa maji kabisa.

Ridhiwani anazidi kutumaliza watanzania.
Hao wamama wakome kuchukua Kanga na Vilemba walifikiri Mazuri ndo hayo wanamlalamikia nani? wao ndo walomchagua walifikiri mazuri koma kisha rudia tena kumchagua
 
Chaguo lenu linawaumiza tena?
Wakome na bado, Pia wapo wajinga wangine huko Lindi bila aibu wanataka kumtoa yule Albino Ili wamweke mama salma kikwete yaani hao ndo wanajikaanga wenyewe, Ivi ulishaona Mke wa Rais anagombea Ubunge? Aibu gani hii, mama karume, Mama Mwinyi, mama Mkapa, Mama Nyerere, hatuwaoni kuruka mitaani wakitafuta kura baada ya Mabwana zao kustaafu Huyu mama ni kali ya mwaka anavyopenda kuendelea kuwa fisadi. Acha kutuaibisha wanawake wenzio ebu tulia
 
Upumbavu kazini. Hata kama ni hadithi haijanoga

Hii sio hadithi.Nipo Wami na ukweli ndio huo. Maji yanatoka sasa Chalinze. Mil 450 imeliwa na Riz kupitia kwa wapambe wake Msakamali na Nasser ambao ni Board members Chalinze water and sewerage authority.
 
ni takriban miezi miwili sasa mji wa chalinze na viunga vyake vimekosa maji.

Kuna tishio kubwa la kulipuka kwa magonjwa ya tumbo, kuhara na kipindupindu.

Taarifa za uhakika zilizozagaa hapa chalinze ni kuwa ridhiwani kikwete anahujumu mradi wa maji uliozinduliwa na rais benjamin mkapa wakati kikwete jakaya akiwa mbunge wa chalinze.

Inaelezwa kuwa ridhiwani na wapambe wake kama nasser na mkosamali wameiba tsh 450milioni zilizotolewa kwa ajili ya kununua dawa za kuweka kwenye maji pamoja na kukarabati mitambo iliyokuwa imezongwa na matope.

Taarifa zinasema ridhiwani na wapambe wake wamezila hizo hela wenyewe bila kuwagawia viongozi wa mamlaka ya maji na ndio chanzo cha taarifa hizi kuvuja.

Kutokana na hilo imeamriwa maji yasitoke kwa vile ni hatari sana kwa afya za watumiaji na pia mitambo ikiingiwa na matope italeta madhara makubwa kiufundi.

Makumi ya kina mama na watoto wameonekana katika viunga vya chalinze na ndoo zao wakitafuta maji. Watoto wameacha kwenda shule ili wachote maji ya nyumbani. Kituo cha afya chalinze ndio kina hali mbaya zaidi baada ya kukaukiwa maji kabisa.

Ridhiwani anazidi kutumaliza watanzania.

ridhiwani ni fisadi huyo hafai hata kuwa kiongozi wa mtaa. Tenda zote za serekali na nchi kazichukua kiubabe hafai hata kuwa kiongozi au mwenyekiti
 
Wandugu hapa kuna hoja mbili zinachanganywa. Suala la Riz Moko kula milioni 450 na ukosefu wa maji Chalinze. Hili la ukosefu wa maji Chalinze halina mjadala kuwa kweli kuna shida kubwa ya maji bila kujali Mbunge wa sasa na watangulizi wake au mamlaka nyingine ndio zilizosababisha uhaba huu. Issue hapa je ni kweli mbunge huyu na wapambe wake amekula hizo fedha ambazo hazisemwi zilitolewa na nani? akili ya haraka hainielekezi kuwa Mbunge huyu anaweza kula hizo hela. Lakini mliopo hapo jikoni tupeni details za ndani kabisa za namna transactions zilivyofanyika ili tuamini. Ni ngumu kuamini kupitia hizi blah blah ambazo mtu yeyote anaweza kuandika.

Iko hivi:
Serikali imetoa ruzuku kwa mamlaka ya maji kwa vile mamlaka inajiendesha kwa hasara. Katika hiyo Ruzuku Tsh 450Milioni zilimegwa.
Zilimegwaje?
Wajumbe wa kamati ya fedha ambao 99% ni wajumbe wa board, wakiwemo madiwani wawili, Nasser na Msakamali ambao ni maswahiba wa Jakaya na ni maswahiba sana wa Ridhiwani ndio walipewa agizo na Mbunge wafanye utaratibu mzigo huo utoke.

Uhusika wa Ridhiwani

Nasser na Msakamali ndio waliokuwa vinara wa kutekeleza agizo la Ridhwani. Wakaishawishi management ya Mamlaka kutoa hizo fedha.

Hali ya maji ikoje?

Mara baada ya kupandisha huu uzi, haraka haraka ikapokelewa kwenye mitandao mingine ya kijamii. Kwenye saa Moja na nusu maji yakaanza kutoka.
 
IKWETE;
Sijui ka nimekusoma vizuri hivyo naomba kukukot kidogo tu;
Inaelezwa kuwa Ridhiwani na wapambe wake kama Nasser na Mkosamali wameiba Tsh 450Milioni zilizotolewa kwa ajili ya kununua dawa za kuweka kwenye maji pamoja na kukarabati mitambo iliyokuwa imezongwa na matope.

Taarifa zinasema Ridhiwani na wapambe wake wamezila hizo hela wenyewe bila kuwagawia viongozi wa mamlaka ya maji na ndio chanzo cha taarifa hizi kuvuja.

Hivi ulikuwa una maanisha Mh. Joshua Nassari na Mh. Felix Mkosamali au wa Nasser wengine na Wakosamali wengine walio wapambe wa Mh, Riz??
Jambo la pili; Wamjua Riz au? Wadhani pamoja na Mishen zake kubwa kubwa mpaka China aweza kuiba Vijisenti hivyo tena akiwa na genge la watu? Mdhanie mengine si hili la hivyo vijisenti. Labda alizisahau pale Msolwa atawatumieni kwa M-Pesa

Mkuu nimefafanua sana kuhusu hili...
 
Mabusha Yao Ni Matrekta Tosha Hivyo Wayatumie Ipasavyo Ktk Shughuli Za Kujikomboa Kiumasikini.

Hapa jamaa unakosea maana mabusha na matende ni ugonjwa unaowashambulia watu wa pwani kwa sababu ya hali ya hewa yenye mbu wengi waenezao ugonjwa huo, sasa unavyoongea kwa dharau si sawa, ni sawa na kuwacheka watu wa dodoma kwa ukoma
 
Back
Top Bottom