Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,697
- 272,564
Hii habari niliisikia muda kidogo , asante sana mkuu kwa kuinyambulisha.
Mkuu huu ndio ukweli. Rdhiwani amekula pesa iliyotolewa kwa ajili ya mradi wa Maji Chalinze. Wahuni wenzake wamecheza dili hela imetoka wakawapiga mchanga wa macho staff wa Mamlaka ya Maji Chalinze.