Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Mkuu Mingoi kama nilivyotangulia kueleza, sijakanyaga nyumbani kwa muda kidogo nipo nje ya Chalinze kikazi. Baada ya IKWETE kupandisha uzi hapa niliwapigia ndugu, jamaa, marafiki na Nasser mwenyewe. Raia wamesema Ridhiwani amekula hizo pesa kupitia kwa wapambe wake walio kwenye bodi ya mamlaka ya maji. Yeye Ridhiwani ndio aliyewatuma waibe wampe. Sasa kama walimpa mkononi au kwenye bank account hilo wanalijua wao.
Kikubwa ni kuwa watu wanateseka kwa kukosa maji na mbunge yuko kimya. Akipigiwa simu akigundua ni mpiga kura wake atakwambia kata simu nikupigie, hapigi na simu anazima
Jiwe ulilolitupa ni zito mno kiasi kwamba wafuasi wamekuja moto.Tatizo ukizoea kusema UKWELI jamii haikuelewi sababu wamezoea kusikia UWONGO.Hongera sana kutujuza yaliyoyakweli,na ukweli daima utakuweka HURU.