WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 5,690
- 5,393
Mbona wewe mpaka leo unaomboleza mpendwa wako kila siku yeye alishindwaje kumwomboleza Rais aliyemwibua hata kwa mwezi mmoja?Hiyo haitoshi kuwa sababu ya kumtia hatiani hayati, Mambo ya hovyo Sana haya. Kwahiyo ulitaka baada ya kifo Maisha ya simame ili kitokee kitu gani? asile mahindi hadharani? Leta ushahidi wa kueleweka na siyo porojo za kula mahindi.