WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 5,802
- 5,577
Acha ujinga.2030 Rais ni Jokate Mwegelo.
Kwa utaratibu wa CCM akitoka muislamu atafuata Mkristu
Acha ujinga.2030 Rais ni Jokate Mwegelo.
Kwa utaratibu wa CCM akitoka muislamu atafuata Mkristu
Wewe kujua tu ni kufeli Kwa mpango huo!!Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.
Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.
Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.
Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.
Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
Hiyo haitoshi kuwa sababu ya kumtia hatiani hayati, Mambo ya hovyo Sana haya. Kwahiyo ulitaka baada ya kifo Maisha ya simame ili kitokee kitu gani? asile mahindi hadharani? Leta ushahidi wa kueleweka na siyo porojo za kula mahindi.Unakumbuka maneno ya busara ya Wazee wetu (Mwinyi na Kikwete)kule kwenye msiba wa Mkapa Lupaso kama ulikuwa unafuatilia.Na baada ya kuzika tu Rais haukuwa na uchungu wowote kwa Mkapa alianza kampeni ya tuliibiwa sana maeneo ya Kilwa,Lindi,Mkuranga huku akitafuna mahindi hadharani bila uchungu na kuzawadiwa jogoo mkubwa.
Baada ya hapo uliona uchaguzi Oktoba 2020 ulivyokuwa vyombo vya dola kila mahali utafikiri Sudan,hata DRC wanatushinda.Aliyekuwa kikwazo cha kujimwambafai kwa Magufuri alikuwa Mkapa,hivyo lilikuwa ni jambo la kimfumo ili Magufuri atekeleze malengo yake ya kutawala milele.Ukweli ndiyo huo.
Kwenye taifa la kusadikika kila kitu kinawezekana,kama Husein kapewa visiwa inashindika nini Ridhi kupewa Bara!Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.
Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.
Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.
Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.
Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
Kama ambavyo hakuna ushahidi wa kuuliwa JPM.Hiyo haitoshi kuwa sababu ya kumtia hatiani hayati, Mambo ya hovyo Sana haya. Kwahiyo ulitaka baada ya kifo Maisha ya simame ili kitokee kitu gani? asile mahindi hadharani? Leta ushahidi wa kueleweka na siyo porojo za kula mahindi.
Ulinzi wa Ridhiwan unasababishwa na kwamba yeye ni mtoto wa rais. Ana privilege hiyo kama sehemu ya ulinzi wa familia ya rais mstaafu. Upo hapo?Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote.
Rais wa ovyoTanzania ilipata hasara kubwa kumpoteza Mkapa
Umenisikia nikitamka Hilo usemalo au umeamua kuniingiza kwenye mijadala ambayo hainihusu.Kama ambavyo hakuna ushahidi wa kuuliwa JPM.
Hapana sijakusikia. Na haikuwa nia yangu hiyo. Samahani.Umenisikia nikitamka Hilo usemalo au umeamua kuniingiza kwenye mijadala ambayo hainihusu.
Aisee hongera sana mkuuRiz mkimpa urais mjue na mimi nimekua boss ama nikachukue jimbo