Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,895
- 940
Mbunge wa Chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete Aishukuru Serikali ya Awamu ya 6 Kwa Kumwaga Mabilioni Halmashauri ya Chalinze
Mgawanyo wa fedha toka IMF Tshs. Trilioni 1.3. Halmashauri ya Chalinze tumepewa Tshs. Bilioni 1.6 ambazo zimepelekwa kwenye sekta ya Elimu na X-ray kwa ajili ya huduma za Afya. Pamoja na hilo tumepokea Tshs. Milioni 280 Mgao wa Tozo kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya Msata, na Tshs. Milioni 80 kwa ajili ya Bweni la watoto wenye mahitaji maalim Shule ya Msingi Chalinze. Jedwali chini ni Mgawanyo katika sekta ya Elimu.
#FedhaZaMaendeleo
#KaziIendelee
#SSH
#CovidRelief
Mgawanyo wa fedha toka IMF Tshs. Trilioni 1.3. Halmashauri ya Chalinze tumepewa Tshs. Bilioni 1.6 ambazo zimepelekwa kwenye sekta ya Elimu na X-ray kwa ajili ya huduma za Afya. Pamoja na hilo tumepokea Tshs. Milioni 280 Mgao wa Tozo kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya Msata, na Tshs. Milioni 80 kwa ajili ya Bweni la watoto wenye mahitaji maalim Shule ya Msingi Chalinze. Jedwali chini ni Mgawanyo katika sekta ya Elimu.
#FedhaZaMaendeleo
#KaziIendelee
#SSH
#CovidRelief