Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

Ridhiwan Kikwete: Mimi si fisadi

Mmmhh, hivi mara nyingine watu hufikiri kila mtu ni *****? NItatoa majina ya Bush na Family, Thatchers na Family, Kennedy na family and even Mtei na family.....
 
MBWAMBO ASOME WASIFU WA HAWA WATU (WATHINGU) NDIO ATAJUA NINI MAANA YA KUWA PIGIA CHAPUO WANAO:

List of Children of Presidents

  1. George Washington 1789-1797
  2. John Adams 1797-1801
  3. Thomas Jefferson 1801-1809
  4. James Madison 1809-1817
  5. James Monroe 1817-1825
  6. John Quincy Adams 1825-1829
  7. Andrew Jackson 1829-1837
  8. Andrew Jackson 1829-1837
  9. Martin Van Buren 1837-1841
  10. William Henry Harrison 1841
  11. John Tyler 1841-1845
  12. James K. Polk 1845-1849
  13. Zachary Taylor 1849-1850
  14. Millard Fillmore 1850-1853
  15. Franklin Pierce 1853-1857
  16. James Buchanan 1857-1861
  17. Abraham Lincoln 1861-1865
  18. Andrew Johnson 1865-1869
  19. Ulysses S. Grant 1869-1877
  20. Rutherford B. Hayes 1877-1881
  21. James A. Garfield 1881
  22. Chester Alan Arthur 1881-1885
  23. Grover Cleveland 1885-1889 and 1893-1897
  24. Benjamin Harrison 1889-1893
  25. William McKinley 1897-1901
  26. Theodore Roosevelt 1901-1909
  27. William Howard Taft 1909-1913
  28. Woodrow Wilson 1913-1921
  29. Warren G. Harding 1921-1923
  30. Calvin Coolidge 1923-1929
  31. Herbert Clark Hoover 1929-1933
  32. Franklin Delano Roosevelt 1933-1945
  33. Harry S. Truman 1945-1953
  34. Dwight David Eisenhower 1953-1961
  35. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  36. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  37. Lyndon Baines Johnson 1963-1969
  38. Richard Milhous Nixon 1969-1974
  39. Gerald Rudolph Ford 1974-1977
  40. James Earl Carter, Jr. 1977-1981
  41. Ronald Wilson Reagan 1981-1989
  42. George Herbert Walker Bush 1989-1993
  43. William Jefferson Clinton 1993-2001
  44. George W. Bush 2001-
http://www.youtube.com/watch?v=Mc0ffwqgym0&feature=player_embedded
 
Nafikiri mwandishi alitaka kukosoa zile jitihada za makusudi zinazofanywa (hasa Afrika) kuwabeba watoto wa viongozi kuupata uongozi hata kama hawana sifa au mvuto unaostahili.

Tatizo ni kwamba hakujenga hoja yake vizuri ingawa alichotaka kutueleza kipo sana katika nchi zetu na si busara kupinga tu. Kwa upande mwingine, katika nchi za wenzetu hasa walioendelea mara nyingi watoto wa viongozi au watu maarufu wanafaidi zaidi mvuto wao unaotokana zaidi na udadisi wa jamii (celebrity culture).

Kwa mfano, mtoto wa mtu kama Bill Gates akijitokeza kugombea nafasi ya kisiasa, basi wapo wengi watakaokuwa na mshawasha wa kutaka kumpa nafasi. Vile vile ni wazi kwamba mtoto wa mtu kama Warren Buffet akiandika kitabu kuhusu biashara na mafanikio katika maisha, wasomaji watakaojitokeza kukinunua mwanzo ni mamilioni hadi athibitike bomu hapo baadaye. Ona tu jinsi Oprah akikipigia debe kitabu au bidhaa yoyote itakavyopukutika madukani.

Tofauti yetu ni kwamba, mara nyingi, rasilimali za dola na vyombo vyake hutumika kuwanyanyua watoto wa viongozi/vigogo.

Aidha, pia watu wa kujikomba na kuabudu viongozi na familia zao kama wale wazee waliokuwa wakimshangilia JK akiwabomoa TUCTA bila hata ya kujua/kujali mantiki ya kinachosemwa nao ni wengi. Hawa pia husaidia kuendeleza tawala za kifalme katika nchi zetu.

Mifano kiboko ni nchi za Afrika ya kati na Magharibi kama vile Gabon, Cameroon na Togo ambazo ukisikiliza redio na tv zao za taifa utachoka. Utafikiri maraisi wake na familia zao ni miungu au malaika. Staili ya Korea ya kaskazini. Hapo hata kama watoto wana uwezo (competences) zao wenyewe hufunikwa na upendeleo utokanao na nyenzo za dola walizo nazo wazazi wao.
 
MBWAMBO ASOME WASIFU WA HAWA WATU (WATHINGU) NDIO ATAJUA NINI MAANA YA KUWA PIGIA CHAPUO WANAO:

List of Children of Presidents

  1. George Washington 1789-1797
  2. John Adams 1797-1801
  3. Thomas Jefferson 1801-1809
  4. James Madison 1809-1817
  5. James Monroe 1817-1825
  6. John Quincy Adams 1825-1829

    [*]Andrew Jackson 1829-1837
    [*]Andrew Jackson 1829-1837

  7. Martin Van Buren 1837-1841
  8. William Henry Harrison 1841
  9. John Tyler 1841-1845
  10. James K. Polk 1845-1849
  11. Zachary Taylor 1849-1850
  12. Millard Fillmore 1850-1853
  13. Franklin Pierce 1853-1857
  14. James Buchanan 1857-1861
  15. Abraham Lincoln 1861-1865
  16. Andrew Johnson 1865-1869
  17. Ulysses S. Grant 1869-1877
  18. Rutherford B. Hayes 1877-1881
  19. James A. Garfield 1881
  20. Chester Alan Arthur 1881-1885
  21. Grover Cleveland 1885-1889 and 1893-1897
  22. Benjamin Harrison 1889-1893
  23. William McKinley 1897-1901
  24. Theodore Roosevelt 1901-1909
  25. William Howard Taft 1909-1913
  26. Woodrow Wilson 1913-1921
  27. Warren G. Harding 1921-1923
  28. Calvin Coolidge 1923-1929
  29. Herbert Clark Hoover 1929-1933
  30. Franklin Delano Roosevelt 1933-1945
  31. Harry S. Truman 1945-1953
  32. Dwight David Eisenhower 1953-1961
  33. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  34. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  35. Lyndon Baines Johnson 1963-1969
  36. Richard Milhous Nixon 1969-1974
  37. Gerald Rudolph Ford 1974-1977
  38. James Earl Carter, Jr. 1977-1981
  39. Ronald Wilson Reagan 1981-1989
  40. George Herbert Walker Bush 1989-1993
  41. William Jefferson Clinton 1993-2001
  42. George W. Bush 2001-
YouTube - Malia and Sasha Obama in the White House: Doug Wead interviewed

Ngoshwe, nilitaka shangaa kuwa Obama ni 44th how comes wapo 44 yeye hayumo kumbe umerudia mtu
List of Presidents of the United States - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Ngoshwe, nilitaka shangaa kuwa Obama ni 44th how comes wapo 44 yeye hayumo kumbe umerudia mtu
List of Presidents of the United States - Wikipedia, the free encyclopedia

Sawa sawa Mkuu.

Thanks for correction.

Ila labda cha msingi Mwandishi Mbwambo ajue kuwa kuwa hata vitabu vya maandiko vinatufundisha wale wenye nacho ndio wataongezewa. Watu wote maarufu tuwasomao katika Biblia walitoka katika vizazi vyenye majina, Uzao wa Ibrahim ndio ule wa akina Elia, Essau na Yakobo, Mfalme Suleiman, Mfalme Daud, Yoseph Baba Mlezi na baadae YESU wa Nazaret ...

Ni wachache sana wanaohangaika kwa nafsin zao na kufanikiwa. Hata katika utawala wa Nchi tajiri duniani ndio maana unakuta wafalme wakifa kofia inakwenda kwa watoto wao (Uingereza ni moja ya Taifa kubwa la kuwashiwa taa kwa haya).

Kwetu labda watoto wa Nyerere tu ndio wameonekana hawabebeki na Nkaa apa hakuwa na watoto wakubwa wa kuzaa yeye mwenyewe kabla ya kustaafu. Lakini mshaona yale ya akina Lupiyana, na sasa mnaona hata kizazi hicho hicho ndo kinapana fursa (juzi tu Mzee kamteua mtoto wa Malecela kuwa Jaji wa Mahakama Kuu).

Waweza kuona hata Nyerere alikuwa ni mtoto wa Chifu Burito wa Wazanaki (hakuwa kapuku kama tunavyofikiri)akina Joseph Sinde ni Kizazi hicho hicho cha wakulu, , akina Karume , Kawawa, Nnauye, Mwinyi, Kikwete na wengineo nao wanafuata hizo njia. Ukifuatilia kwa kina sana kwenye mfumo mzima wa uongozi na utawala iwe Serikalini, katika Siasa au kwenye Sekta binafis utaona hakuna mtu yupo katika nafasi nyeti pasipo kutumika kwa ufagio nyuma yake wa kumfikisha hapo alipo !.
 
Tatizo lipo hapo kwenye pink UVCCM hawana kiti cha wanaume.....hoja ipo katika makala hii. Mmmmh madhara ya umaskini ni makubwa kuliko tunavyoyajua. Yote hii GS ni umaskini tu....hofu ya badae tusijie kufa njaa na kuchekwa! hakuna la zaidi....mentallity ya kimaskini inaweza kukufundisha kuwa baada ya miaka 10 unaweza ku lost hebu mweke mwanao kwenye system ili usijeumbuka fainali uzeeni au ili kama ukiharibu basi mwanao awe kwenye system watu waogope kukufix badae ...hebu fikiria mzee mwinyi leo hii angekuwa na kesi ya ufisadi mwanae ndiyo huyo mngemuanzia wapi????
Mix with yours

Nakubaliana na wewe kwa haya mengine ila hili la UVCCM hapa mwandishi wa makala hakumaanisha viti maalumnu kupitia UVCCM amemaanisha kugombea ubunge kwenye jimbo kupitia jumiuya ya Vijana.

Hata kwenye majimbo nako kuna sapoti la kundi la vijana au jumuiya ya wazazi au wanawake. Kwani wewe hujui kuwa hata Nchimbi alipata kupitia hili, hujui kwanini vijana wanagombania sana hata kupta nyadhifa kwenye UVCCM hata kwa kughushi,umemsahau Masauni?
 
Namheshimu sana Ndugu Mbwambo. Hivyo napenda kumpa zoezi moja. Ajitahidi kuwajua kina Ridhwan na January Makamba kama wao na sio watoto wa "wakubwa" halafu ndio atoe judgment yake. Pia kuhusu suala la Hussein Mwinyi na elimu yake ya udaktari, napenda kuuliza kuwa ni wanasiasa ama viongozi gani na wangapi wamesomea sayansi ya siasa ama utawala? Hivi hakuna wahandisi ambao ni mawaziri tena wa wizara tofauti na elimu zao? Hivi kaka Mbwambo katika maisha yake yote amefanya kazi ile tu inayoendana na elimu ama fani aliyosomea tu? Lakini pia yeye kama mwandishi asingependa kuona mwanawe mmojawapo anakuwa muandishi na akapata mafanikio kama yeye? Lakini pia anaposema kuwa wazungu hawapendi kubebwa anaamini hivyo ama ni njia ya kurembesha maandiko yake? Hivi kweli mfano wa mtoto wa Buffet ambaye baba yake anajulikana duniani kote kuwa ni tajiri asiye na makuu ndio uwe mfano wa wazungu wote?

Ni hayo tu...

Omarilyas
Sitaki kumzungumzia January kwani simjui na sina hakika kama omari anamjua au lah...ila nina hakika omary unamjua Ridhiwani kwani wakati yupo chuo wewe ulikuwepo pale...hebu niambie Ridhiwani alionyesha u competent gani pale zaidi ya kubebwa na kina Ru**** kwenye uongozi wa DARUSO....hata alipobebwa tell me akifanya nini? omary omary kuna jambo linakusukuma zaidi ya hili may be...unamjua Ridhiwani fika kuwa si lolote si chochote ila kwa maslahi unayojua unataka kupotosha ukweli.....nafsi yako inafahamu kuwa huyu mtoto hana kitu.....usiishi nyuma ya kivuli chako
Mix with yours
 
Kwa Tanzania mgongano wa kimasrahi ni vigumu sana kuukwepa.
Akina baba waliopo madarakani wanaweza jikuta wana nyimwa hata unyumba kwa ajili ya mgongano wa kimasrahi.
 
MBWAMBO ASOME WASIFU WA HAWA WATU (WATHINGU) NDIO ATAJUA NINI MAANA YA KUWA PIGIA CHAPUO WANAO:

List of Children of Presidents

  1. George Washington 1789-1797
  2. John Adams 1797-1801
  3. Thomas Jefferson 1801-1809
  4. James Madison 1809-1817
  5. James Monroe 1817-1825
  6. John Quincy Adams 1825-1829
  7. Andrew Jackson 1829-1837
  8. Andrew Jackson 1829-1837
  9. Martin Van Buren 1837-1841
  10. William Henry Harrison 1841
  11. John Tyler 1841-1845
  12. James K. Polk 1845-1849
  13. Zachary Taylor 1849-1850
  14. Millard Fillmore 1850-1853
  15. Franklin Pierce 1853-1857
  16. James Buchanan 1857-1861
  17. Abraham Lincoln 1861-1865
  18. Andrew Johnson 1865-1869
  19. Ulysses S. Grant 1869-1877
  20. Rutherford B. Hayes 1877-1881
  21. James A. Garfield 1881
  22. Chester Alan Arthur 1881-1885
  23. Grover Cleveland 1885-1889 and 1893-1897
  24. Benjamin Harrison 1889-1893
  25. William McKinley 1897-1901
  26. Theodore Roosevelt 1901-1909
  27. William Howard Taft 1909-1913
  28. Woodrow Wilson 1913-1921
  29. Warren G. Harding 1921-1923
  30. Calvin Coolidge 1923-1929
  31. Herbert Clark Hoover 1929-1933
  32. Franklin Delano Roosevelt 1933-1945
  33. Harry S. Truman 1945-1953
  34. Dwight David Eisenhower 1953-1961
  35. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  36. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  37. Lyndon Baines Johnson 1963-1969
  38. Richard Milhous Nixon 1969-1974
  39. Gerald Rudolph Ford 1974-1977
  40. James Earl Carter, Jr. 1977-1981
  41. Ronald Wilson Reagan 1981-1989
  42. George Herbert Walker Bush 1989-1993
  43. William Jefferson Clinton 1993-2001
  44. George W. Bush 2001-
YouTube - Malia and Sasha Obama in the White House: Doug Wead interviewed

Nadhani hujamwelewa mwandishi,msome tena tafadhali.By the way asante kwa kutupa hii imetupa shule mpya wengine hapa.
 
MBWAMBO ASOME WASIFU WA HAWA WATU (WATHINGU) NDIO ATAJUA NINI MAANA YA KUWA PIGIA CHAPUO WANAO:

List of Children of Presidents

  1. George Washington 1789-1797
  2. John Adams 1797-1801
  3. Thomas Jefferson 1801-1809
  4. James Madison 1809-1817
  5. James Monroe 1817-1825
  6. John Quincy Adams 1825-1829
  7. Andrew Jackson 1829-1837
  8. Andrew Jackson 1829-1837
  9. Martin Van Buren 1837-1841
  10. William Henry Harrison 1841
  11. John Tyler 1841-1845
  12. James K. Polk 1845-1849
  13. Zachary Taylor 1849-1850
  14. Millard Fillmore 1850-1853
  15. Franklin Pierce 1853-1857
  16. James Buchanan 1857-1861
  17. Abraham Lincoln 1861-1865
  18. Andrew Johnson 1865-1869
  19. Ulysses S. Grant 1869-1877
  20. Rutherford B. Hayes 1877-1881
  21. James A. Garfield 1881
  22. Chester Alan Arthur 1881-1885
  23. Grover Cleveland 1885-1889 and 1893-1897
  24. Benjamin Harrison 1889-1893
  25. William McKinley 1897-1901
  26. Theodore Roosevelt 1901-1909
  27. William Howard Taft 1909-1913
  28. Woodrow Wilson 1913-1921
  29. Warren G. Harding 1921-1923
  30. Calvin Coolidge 1923-1929
  31. Herbert Clark Hoover 1929-1933
  32. Franklin Delano Roosevelt 1933-1945
  33. Harry S. Truman 1945-1953
  34. Dwight David Eisenhower 1953-1961
  35. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  36. John Fitzgerald Kennedy 1961-1963
  37. Lyndon Baines Johnson 1963-1969
  38. Richard Milhous Nixon 1969-1974
  39. Gerald Rudolph Ford 1974-1977
  40. James Earl Carter, Jr. 1977-1981
  41. Ronald Wilson Reagan 1981-1989
  42. George Herbert Walker Bush 1989-1993
  43. William Jefferson Clinton 1993-2001
  44. George W. Bush 2001-
YouTube - Malia and Sasha Obama in the White House: Doug Wead interviewed


Nadhani hujanmuelewa huyu mwandishi.Soma vizuri tafadhali.
 
Nakubaliana na wewe kwa haya mengine ila hili la UVCCM hapa mwandishi wa makala hakumaanisha viti maalumnu kupitia UVCCM amemaanisha kugombea ubunge kwenye jimbo kupitia jumiuya ya Vijana.Hata kwenye majimbo nako kuna sapoti la kundi la vijana au jumuiya ya wazazi au wanawake.Kwani wewe hujui kuwa hata Nchimbi alipata kupitia hili,hujui kwanini vijana wanagombania sana hata kupta nyadhifa kwenye UVCCM hata kwa kughushi,umemsahau Masauni?

Nashukuru kwa kunielewesha GS ila bado natamani shule yako hii....hapo kwenye red sijaelewa kabisa....maana nina orodha ndefu ya viongozi wa juu wa umoja wa vijana ambao si wabunge na wamegombea mara nyingi wamekwama kama kina Amina (makamu wa nchimbi) kina makala (naibu wa wakati huo) sina hakika kama Frank aligombea..ila wengi tu kina John Mongela...sijawaona wakipenya kupata ubunge kupitia UVCCM....mimii nilidhani UVCCM ni watu waliowekwa kwa maslahi ya makundi ya waliopo madarakani nao wakiwa na matumaini ya kukumbukwa siku za baadae....kazi yao ni ya kukuza makundi zaidi na maintain status quo...

Kuhusu Nchimbi nina mashaka kama unazijua siasa zake......

Mix with yours
 
Nashukuru kwa kunielewesha GS ila bado natamani shule yako hii....hapo kwenye red sijaelewa kabisa....maana nina orodha ndefu ya viongozi wa juu wa umoja wa vijana ambao si wabunge na wamegombea mara nyingi wamekwama kama kina Amina (makamu wa nchimbi) kina makala (naibu wa wakati huo) sina hakika kama Frank aligombea..ila wengi tu kina John Mongela...sijawaona wakipenya kupata ubunge kuptia UVCCM....mimii nilidhani UVCCM ni watu waliowekwa kwa maslahi ya makundi ya waliopo madarakani nao wakiwa na matumaini ya kukumbukwa siku za baadae....kazi yao ni ya kukuza makundi zaidi na maintain status quo...

Kuhusu Nchimbi nina mashaka kama unazijua siasa zake......

Mix with yours

Ni kupata full support toka kwa jumuiya husika.
 
Sitaki kumzungumzia January kwani simjui na sina hakika kama omari anamjua au lah...ila nina hakika omary unamjua Ridhiwani kwani wakati yupo chuo wewe ulikuwepo pale...hebu niambie Ridhiwani alionyesha u competent gani pale zaidi ya kubebwa na kina Ru**** kwenye uongozi wa DARUSO....hata alipobebwa tell me akifanya nini? omary omary kuna jambo linakusukuma zaidi ya hili may be...unamjua Ridhiwani fika kuwa si lolote si chochote ila kwa maslahi unayojua unataka kupotosha ukweli.....nafsi yako inafahamu kuwa huyu mtoto hana kitu.....usiishi nyuma ya kivuli chakoMix with yours

Kaka naweza nikakuambia kitu kimoja tu. Namjua Ridhwan kama Ridhwan na sio tu kama mtoto wa Rais tu kama nimjuavyo Zitto kama Zitto na sio Mbunge maarufu Tanzania pekee. Kuhusu January namjua muda mrefu zaidi kuliko hao wote. Na wote hao naamini kuwa wana vigezo vya kutosha kuwa viongozi kwa ngazi walizopo na wanapoelekea kushinda hata wengi wetu hapa wenye kuijua Tanzania magazetini na our personal prejudices. There is no way ukaniambia kuwa mtu kama January eti anamtegemea baba yake tu. Mtafute, kaa naye na engage him katika majadiliano halafu ndio ukimbilie kutoa judgement yako. Vilevile fanya hivyo kwa Ridhwan.

Kwa kweli nashangaa sana kumuona mtu kama Mbwambo na Ezekiel Kimwaga wanaingia katika uandishi wa aina hii. Angekuwa saidi Kubenea ningeelewa lakini not waandishi makini kama hawa wawili. Nakubali kuwa namjua Mbwambo katika maandishi yake lakini Ezekiel Kimwaga namjua zaidi na kuthamini uwezo na nidhamu yake katika fani yake. Ushwauri wangu ni kama mwanzo. Watafuteni hawa vijana na mjitahidi kuwajua wao na sio katika kioo cha wazazi wao tu....

Maoni yangu hayana uhusiano kabisa na suala la Masauni ambaye nimonana naye mara moja tu na for the first impression I reserve my comments hadi hapo nitakapojua zaidi kuhusu suala lake.

omarilyas
 
I concur with you!!! lakini hawa Ridhiwani na January.........wame-mix na za kwao kweli???

January simfahamu ila Ridhiwani amemix za kwake kivibaya....hataweza kuendelea kuwa mwanasiasa mshua wake akiwa nje ya siasa kwani siku zote anajibomoa zaidi kuliko kujijenga....afterall si mwanasiasa huyu .....
Mix with yours
 
Kaka naweza nikakuambia kitu kimoja tu. Namjua Ridhwan kama Ridhwan na sio tu kama mtoto wa Rais tu kama nimjuavyo Zitto kama Zitto na sio Mbunge maarufu Tanzania pekee. Kuhusu January namjua muda mrefu zaidi kuliko hao wote. Na wote hao naamini kuwa wana vigezo vya kutosha kuwa viongozi kwa ngazi walizopo na wanapoelekea kushinda hata wengi wetu hapa wenye kuijua Tanzania magazetini na our personal prejudices. There is no way ukaniambia kuwa mtu kama January eti anamtegemea baba yake tu. Mtafute, kaa naye na engage him katika majadiliano halafu ndio ukimbilie kutoa judgement yako. Vilevile fanya hivyo kwa Ridhwan.

Kwa kweli nashangaa sana kumuona mtu kama Mbwambo na Ezekiel Kimwaga wanaingia katika uandishi wa aina hii. Angekuwa saidi Kubenea ningeelewa lakini not waandishi makini kama hawa wawili. Nakubali kuwa namjua Mbwambo katika maandishi yake lakini Ezekiel Kimwaga namjua zaidi na kuthamini uwezo na nidhamu yake katika fani yake. Ushwauri wangu ni kama mwanzo. Watafuteni hawa vijana na mjitahidi kuwajua wao na sio katika kioo cha wazazi wao tu....

Maoni yangu hayana uhusiano kabisa na suala la Masauni ambaye nimonana naye mara moja tu na for the first impression I reserve my comments hadi hapo nitakapojua zaidi kuhusu suala lake.😛ound:

omarilyas


Hebu nijuze huko nyuma Ridhiwani alishawahi kushika nafasi ipi ya kiuongozi iwe shuleni, chuoni, au hata ndani ya chama, swali hilo hilo pia linamhusu January,.....yaelekea jamaa hawa ni type ya Walikwinaaaa?
 
Maoni yangu juu ya makala ya Mbwambo:

1. Caucasians ni binadamu kama sisi. Kuna mazuri yao tunaweza kujifunza na mapungufu yao tunayopaswa kuepuka. Vilevile kuna mazuri yetu sisi Negroids na non-caucasians wengine ambayo Caucasians wanaweza wakaiga.

2. Kila binadamu awe na haki na uhuru wa kuchagua anachotaka kufanya maishani, iwe ni mtoto wa Chifu au wa ombaomba, ili mradi tu hiyo shughuli isiwe kinyume cha sheria za nchi.

Kwahiyo Januari, Ridhwani, Hussein na Mtanzania yeyote yule naamini wana haki ya kufanya shughuli yeyote ile inayokubalika kisheria.

3. Ikithibitika kwamba Januari ameanza kampeni kinyume cha taratibu za chama na nchi, ni jukumu la viongozi wa chama na vyombo vya sheria kumchukulia hatua stahili. Pia, wanachama wote na wananchi kwa ujumla tuna wajibu wa kukemea hicho kitendo na kudai kutendeka kwa haki. Kama wanachama na wananchi tutafumbia macho hiki kitendo kwasababu ya kutokujua haki na wajibu wetu, woga au kutokujali, basi tunakua tunashiriki katika hii jinai (aiding and abetting crime).

4. Kama Ridhwani amekiuka taratibu za umoja, vyombo husika vimchukulie hatua na wanachama wote wakemee hiki kitendo.

Penye utashi wa kisiasa, yote yanawezekana. Kuna hakimu mmoja huko Mombasa, Kenya alimfunga mwanae wa kuzaa kwa kosa la kushughulika na madawa ya kulevya. Lakini kama mzazi alikua akimtembelea huko gerezani mara kwa mara kumuelimisha juu ya madhara ya madawa ya kulevya mpaka kijana alipomaliza kifungo chake.
 
Binafsi nashindwa kuamini kabisa kama kweli viongozi bora wa watanzania ni lazima watoke kwenye familia za viongozi waliopo madarakani.

Hawa jamaa wamefanya nchi hii ni ya baba zao eti kwa sababu wana uwezo wa kifedha wa kununua uongozi!! Inasikitisha watoto wa wakulima wenye uwezo mkubwa kuliko wao wanapokosa nafasi ya uongozi kwa vile tu hawana uwezo wa kifedha, inauma sana uongozi unapochaguliwa kwa nguvu ya fedha bila kujali uwezo wao, hao baba zao wenyewe hawana uwezo wa uongozi, ipo siku mungu atatupa nguvu mpya ya kupambana na hawa watu, kila kitu kina mwisho wake
 
Mwandishi akija na hoja hiyo ya urithi katika politics na kwa mfano aliotoa wa Caucasian Buffet,wengine watakuja na mifano ya akina Bush,Kennedy,Benigno Aquino,Corazon Aquino etc.Vipi tukihoji kwanini Engineer John Pombe Maghufuli(I like uchapaji kazi wa huyu jamaa....) apewe mas'ala ya uvuvi.

Hivi kuna siri ya kuwaweka madaktari katika wizara ya ulinzi..?Nakumbuka Prof Sarungi alipewa hii wizara,wakati jamaa ni mashine ya mifupa

Sahihisho: J Pombe Maghufuli SIYO engineer!
 
Back
Top Bottom