Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,653
Unaamini nimepanic?Mbona wadada mmepanic sana? Kulikoni?🤣🤣🤣
Unaamini nimepanic?Mbona wadada mmepanic sana? Kulikoni?🤣🤣🤣
Hao ndo wanaendana maana kazi zao zinafanana. Wakioa au kuolewa na watu wa kawaida italeta shida.Kila kona mtanzania anasumbuliwa na kichwa panzi na uwezo mdogo kuelewa sijui kwanini
complete imbecile,Kila kona mtanzania anasumbuliwa na kichwa panzi na uwezo mdogo kuelewa sijui kwanini
Fa...rhha wewecomplete imbecile,
Sawa M-camerroonKila kona mtanzania anasumbuliwa na kichwa panzi na uwezo mdogo kuelewa sijui kwanini
Yote😄Bomu Aina gani,
Grenade,Iskander,caribr au icbm?
watu hubadilika mkuu, wanwake kuna muda wanachoka wanaamua kuolewa ili watulieHatimaye Richmitindo amekumbatia Bomu lake na tutarajie lolote ndani ya muda mfupi!
Muda utaamuawatu hubadilika mkuu, wanwake kuna muda wanachoka wanaamua kuolewa ili watulie
Anawaza itakuaje baada ya ndoaIla ukiangalia picha za harusi kaka hana furaha hata
Teh teh 😂😂 dah!...maisha haya...Acheni maneno machafu kwa watu msowajua zaidi ya kuwasikia tu….hilo bomu Ritchie analijua na ndo ashaamua kulikumbatia jinyonge sasa!
CcmBomu Aina gani,
Grenade,Iskander,caribr au icbm?