chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
yani siku hizi ukitaka kuharibu mahusiano yako au ndoa yako sikiliza story za wanaume .wanaume tumekuwa wapashukuna na wambeya kuliko mkoa wa mbeya.
juzi nipo zangu mitaa fulani nikasikia kiu ya bia mchana nikaingia bar na hiyo baa huwa tupo wanaume tunajuana ila cha kushangaza kesho nasikia maneno nyumbani yaliongezewa kuliko kumsifu mama anaupiga mwingi
juzi nipo zangu mitaa fulani nikasikia kiu ya bia mchana nikaingia bar na hiyo baa huwa tupo wanaume tunajuana ila cha kushangaza kesho nasikia maneno nyumbani yaliongezewa kuliko kumsifu mama anaupiga mwingi