corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,665
- 3,385
Ha ha haMkuu ina maana ww umeamua kujiajiri humu!?
Ha ha haMkuu ina maana ww umeamua kujiajiri humu!?
Pole kaka kwa fikra zako potofu.Sasa familia ngapi wenye hali duni wangenufaika na hizo hela. Ningefurahi Museveni angelizungumzia hilo, na wote waliofanya hivyo kuchunguzwa walivyo zipata hizo hela, maana hawana uchungu nazo na sio watu wenye huruma ama imani
Mkuu ina maana ww umeamua kujiajiri humu!?
Kuna watu huwa wanataka kila kitu waonekane wanakijua matokeo yake ndo haya nzi wameanza kumjaliaMkuu naona umeamua kutulisha matango pori.
wewe Watu wahangaike kutafuta pesa Zao then uwapangie matumizHivyo Uganda hakuna Serikali? Hao wote waliomwaga fedha kaburini walipaswa kukamatwa na kushtakiwa mahakamani. Hili ni kosa la jinai. Ni sawa na kuchana fedha hadharani. Maana yake umeziondoa fedha ya serikali katika mzunguko halali wa kiuchumi.
Nn polisi labda sehemu hiyo itangazwe na mamlaka kuanzishwa kambi ya jeshi na waganda washuhudie kwa machi yao inashushwa mizinga na vifaru vinginevyo watashuhudia asubuhi sanda ,suti na kiwiliwili vikiwa nje ya kaburi.Achana na waganda sebo!Ninavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
Ata wakifukua akuna kitu wamemwaga kwa wine za kutosha ndiyo wakatupa pesa ayo mawine yataziaribu zoteNn polisi labda sehemu hiyo itangazwe na mamlaka kuanzishwa kambi ya jeshi na waganda washuhudie kwa machi yao inashushwa mizinga na vifaru vinginevyo watashuhudia asubuhi sanda ,suti na kiwiliwili vikiwa nje ya kaburi.Achana na waganda sebo!
Yah sio zote, lakin kila nikifungua post huwa natafuta comment ako aiseeBut not to all post Right?!
Asante mkuu siku sio nyingi habari zitatoka nikishafanya yangu,Lipo maeneo yanaitwa kayunga,uganda. All the best mkuu