Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

Hujatimiziwa na Baba yako ndio uje udai kwa baba wa watu, nenda shule ujitimizie haja zako huko mxuuiii
zingatia maelezo yangu ya msingi na itakusaiadia pakubwa for the record.
Acha kumbwelambwela gentleman 🐒
 
Gwajima angekemea utekaji bila kumshambulia Rais na vyombo vya usalama yasingemkuta yote haya. Mbaya zaidi akatumia kanisa lake kupiga propaganda za kisiasa na vitisho. Kajilipua kijinga mno. Acha DOLA imshikishe adabu.mmeshapigwa kabali ya shingo tayar ,muda sio mrefu watalegea sana
 
Adhabu na kosa haviendani kosa lake kuwapa wake up call watu fulani .

Ila je ni sahihi kulifungia kanisa zima na shughuli zake kwanini wasimfungie yeye muhusika Mkuu hii haijakaa sawa kabisa
 
Father ulimsikia Tulia aliongea madhabahuni akisema "Mwaka huu hatupo tayari kwenda mbinguni?"
Watu wanavaa hijab ambazo ni blood stained.

Waziwazi Rais wa nchi anathibitisha kuwa yeye ni mshirika wa.mauaji ,utekaji,ubakaji wa demokrasia,mla rushwa namba moja.

Anguko lake ni baya sana na atadondoka mdomo wazi.period
 
Cha ajabu vikosi vya kijeshi vya polisi vikatumwa kanisani kubughudhi waumini. Ama kweli siku hizi watu wamemzoea Mungu na kumuona ni babu yao na hawana hofu naye!
 
zingatia maelezo yangu ya msingi na itakusaiadia pakubwa for the record.
Acha kumbwelambwela gentleman 🐒
IMG-20250603-WA0009.jpg
 
Father ulimsikia Tulia aliongea madhabahuni akisema "Mwaka huu hatupo tayari kwenda mbinguni?"
Watu wanavaa hijab ambazo ni blood stained.

Waziwazi Rais wa nchi anathibitisha kuwa yeye ni mshirika wa.mauaji ,utekaji,ubakaji wa demokrasia,mla rushwa namba moja.

Anguko lake ni baya sana na atadondoka mdomo wazi.period
 
Sisi kama waislamu tunamuunga mkono Mama Samia iwa sbbnndo muislam mwenzatu.Kafanya vzirui kuteka na kuua wapinzani wake wa kisiasa ambao wenginni wakrisitu
Acha kueneza chuki za kidini. Hakuna muislam yoyote anayetetea swala la watu kutekwa, wote tunapinga.
 
Gwajima angekemea utekaji bila kumshambulia Rais na vyombo vya usalama yasingemkuta yote haya. Mbaya zaidi akatumia kanisa lake kupiga propaganda za kisiasa na vitisho. Kajilipua kijinga mno. Acha DOLA imshikishe adabu.
Frelimo ya msumbiji Chini ya samora machels huyu jamaa alikuwa MKOMUNIST.

ALIPIGA MARUFUKU SHUGHULI ZOTEE ZA KIDINI NCHINI KWAKE NA IKAWA UKIKUTWA NA KIJI BIBLIA, QURAN AMA KARATASI CHOCHOTE KILE CHA MAFUNDISHO YA DINI YOYOTE ILE UNAFUNGWA/ UNASWEKWA GEREZANI MIEZI SITA JELA WITHOUT TRIAL HAPA BROTHER ANGU Kiranga bila shaka hapo anaungana na samora machels

YUPO WAP SAMORA MACHELS? LEO ALIFARIKI KWENYE NDEGE ILIYO TUNGULIWA IKAWA MWISHO WA FITNA PIA HATA SISI MWISHO WA FITNA IS COMING SOON HUYO NI MMOJA TU KUNA KINA HERODE, FARAO NA WAFALME NA MARAIS LEO HII HAWAPO SO MJIBUNI GWAJIMA SIO KUSUMBUA WAUMINI WAKE
 
Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Kosa ni kusema ukweli nyuma ya mikamera kuhusu watekaji
 
Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Sasa unataka kutuangusha mkuu! Mpaka sasa hujajua?

Ngoja nikusaidiee buree:
1. Kumtolea mfano mtoto wa mkubwa
2. Kuandaa program ya kumwombea Tundu Lissu
3. Kushauri utendaji wa vyombo vya dola usiingiliwe na watawala
4. Kuongea yasiyovutia kwa "Chama "
5. Kukataa kuwa chawa
6. Kuwa na akili inayofanya kazi
7. Kulia na wanaolia
 
Sasa unataka kutuangusha mkuu! Mpaka sasa hujajua?

Ngoja nikusaidiee buree:
1. Kumtolea mfano mtoto wa mkubwa
2. Kuandaa program ya kumwombea Tundu Lissu
3. Kushauri utendaji wa vyombo vya dola usiingiliwe na watawala
4. Kuongea yasiyovutia kwa "Chama "
5. Kukataa kuwa chawa
6. Kuwa na akili inayofanya kazi
7. Kulia na wanaolia
Kuukataa mfumo wa unyumbu wa kisiasa
 
Gwajima angekemea utekaji bila kumshambulia Rais na vyombo vya usalama yasingemkuta yote haya. Mbaya zaidi akatumia kanisa lake kupiga propaganda za kisiasa na vitisho. Kajilipua kijinga mno. Acha DOLA imshikishe adabu.
Kwanza kabisa, kumshambulia rais ni haki ya kikatiba.

Pili Gwajima hakumshambulia rais, rais ndiye kamshambulia Gwajima baada ya Gwajima kukemea utekaji.

In fact Gwajima alitakiwa kumshambulia rais zaidi, sasa hivi anaremba sana kusema CCM si chama cha watekaji, kusema anamuombea Samia, kusema Polisi si watekaji. Anaremba sana hajapiga inavyotakiwa.

Hilo la rais kumshambulia Gwajima maana yake ni kwamba rais anabariki utekaji.

Unaposema acha dola imshikishe adabu Gwajima, unaonesha ujinga kwamba huelewi kuwa katika nchi ambayo kutekana na kuuana ni kitu cha kawaida, hata wewe unaweza kutekwa na kuuawa, hata kwa mistaken identity tu.
 
Kwanza kabisa, kumshambulia rais ni haki ya kikatiba.

Pili Gwajima hakumshambulia rais, rais ndiye kamshambukia Gwajima baada ya Gwajima kukemea utekaji.

Hilo maana yake ni kwamba rais anabariki utekaji.

Unaposema acha dola imshikishe adabu Gwajima, unaonesha ujinga kwamba huelewi kuwa katika nchi ambayo kutekana na kuuana ni kitu cha kawaida, hata wewe unaweza kutekwa na kuuawa, hata kwa mistaken identity tu.
Mkuu unabishana na robot 🤖 ambalo lipo kazini 🤣
1000038733.jpg
 
Back
Top Bottom