Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

IMG-20250603-WA0091.jpg
 
Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Kuzuia utekaji
 
Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Narudia kwa mara nyingine kusema kuwa serikali na kiafrika ni za kishetani,ni serikali ambazo hazipendi kuambiwa ukweli wala kukosolewa.Tuungane na gwajima la sivyo kesho mtasikia kanisa jingine linafungiwa.wakristo tupate sauti kupinga udhalimu waliofanyiwa wenzetu.kanisa ni mali ya waumini na si gwajima.kulifungia kanisa hilo ni kuwanyima haki ya kuabudu na hilo halikubaliki.
 
miongoni mwa makosa yake ni kuendekeza uzinifu, kudanganya wananchi wa Kawe, uropokaji na upotoshaji wa makusudi tena wazi wazi, wenye lengo la kuhadaa wananchi, kuleta taharuki na kuwajengea chuki wananchi dhidi ya serikali yao sikivu ya CCM iliyopo madarakani.

haya yote yanatokea baada ya kuhisi na kugundua kwamba ameshindwa kutimiza ahadi alizotoa kwa wana Kawe na hana nafasi ya kuchaguliwa tena na wana Kawe huku muda ukiwa umeshayoyoma. Uropokaji huo ni mlango wa kutokea na kuficha aibu baada ya kushindwa kabisaa kuleta mabadiliko kwa wananchi kawe 🐒
Acha hizo. Gwaji boy ni kamanda wa shida
 
Maombi yana nguvu ni silaha ya hatari.uzuri ni kwamba maombi hayazuiliki kwa sheria,bunduki,cheo au kufunga kanisa
 
Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Maswali haya ni ya msingi na yanagusa kiini cha uhuru wa kuongea na kuabudu. Ikiwa kosa la Gwajima ni kusema ukweli juu ya utekaji na kuonesha mshikamano na wahanga kwa njia ya sala, basi tunapaswa kujiuliza kama bado tunathamini misingi ya haki, utu na maadili ya kidemokrasia.

Katika taifa linalojali haki na uhuru wa raia, kukemea maovu hakupaswi kuwa kosa. Kuwasemea walionyamazishwa si kosa. Kufanya maombi kwa ajili ya nchi ni tendo la imani, si jinai. Tunapofika mahali ambapo sauti za maombi na huruma zinaanza kuzuiwa, tunapoteza utu wetu na tunatengeneza taifa la hofu badala ya matumaini.
 
Back
Top Bottom