Kuzuia utekajiMimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
System imeoza haswaKukemea utekaji, mauaji hovyo ya raia, nk.! Na pia kuijulisha jamii ya kwamba wakuu wa vyombo vya usalama wanatakiwa kuteuliwa kwa kufuata mfumo bora zaidi kuliko huu wa sasa wa kuteuliwa na mwanasiasa mmoja tu.
Narudia kwa mara nyingine kusema kuwa serikali na kiafrika ni za kishetani,ni serikali ambazo hazipendi kuambiwa ukweli wala kukosolewa.Tuungane na gwajima la sivyo kesho mtasikia kanisa jingine linafungiwa.wakristo tupate sauti kupinga udhalimu waliofanyiwa wenzetu.kanisa ni mali ya waumini na si gwajima.kulifungia kanisa hilo ni kuwanyima haki ya kuabudu na hilo halikubaliki.Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Sijui hata kama watamwelewa Masoud!
Acha hizo. Gwaji boy ni kamanda wa shidamiongoni mwa makosa yake ni kuendekeza uzinifu, kudanganya wananchi wa Kawe, uropokaji na upotoshaji wa makusudi tena wazi wazi, wenye lengo la kuhadaa wananchi, kuleta taharuki na kuwajengea chuki wananchi dhidi ya serikali yao sikivu ya CCM iliyopo madarakani.
haya yote yanatokea baada ya kuhisi na kugundua kwamba ameshindwa kutimiza ahadi alizotoa kwa wana Kawe na hana nafasi ya kuchaguliwa tena na wana Kawe huku muda ukiwa umeshayoyoma. Uropokaji huo ni mlango wa kutokea na kuficha aibu baada ya kushindwa kabisaa kuleta mabadiliko kwa wananchi kawe 🐒
Sure,Acha hizo. Gwaji boy ni kamanda wa shida
Usinchoshe paka mapepezingatia maelezo yangu ya msingi na itakusaiadia pakubwa for the record.
Acha kumbwelambwela gentleman 🐒
Kabisaa na tuko hapa hadi tuone majivu ya kijani🤣🤣Achana nae chawa huyo
Wako kwenye comfortable zone kula tu kuwaona wabongo wajinga SS ngome zimetikiswa na Mungu wa mbinguni wanamsingizia Gwajima
uvivu wako ndio umaskini wako gentlemanUsinchoshe paka mapepe

Alaf mimi sio mwenzako usinilinganishe na wewe, chawaa, hunifikii hata ufanyaje chawa kunguniuvivu wako ndio umaskini wako gentleman![]()
Hesabu zimegoma kiana!
Maswali haya ni ya msingi na yanagusa kiini cha uhuru wa kuongea na kuabudu. Ikiwa kosa la Gwajima ni kusema ukweli juu ya utekaji na kuonesha mshikamano na wahanga kwa njia ya sala, basi tunapaswa kujiuliza kama bado tunathamini misingi ya haki, utu na maadili ya kidemokrasia.Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235