Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

miongoni mwa makosa yake ni kuendekeza uzinifu, kudanganya wananchi wa Kawe, uropokaji na upotoshaji wa makusudi tena wazi wazi, wenye lengo la kuhadaa wananchi, kuleta taharuki na kuwajengea chuki wananchi dhidi ya serikali yao sikivu ya CCM iliyopo madarakani.

haya yote yanatokea baada ya kuhisi na kugundua kwamba ameshindwa kutimiza ahadi alizotoa kwa wana Kawe na hana nafasi ya kuchaguliwa tena na wana Kawe huku muda ukiwa umeshayoyoma. Uropokaji huo ni mlango wa kutokea na kuficha aibu baada ya kushindwa kabisaa kuleta mabadiliko kwa wananchi kawe 🐒
Jibu hoja wewe taahira, nani anayeteka na kuua wakosoaji wa dikteta Samia?
 
Jibu hoja wewe taahira, nani anayeteka na kuua wakosoaji wa dikteta Samia?
hakuna haja ya mihemko wala uropokaji unapojaribu kuhalalisha dhana na fikra potofu na za uopotoshaji gentleman 🐒
 
Naona hapa na udini unahusika sana tu
Kuna uhusiano gani kwa watekaji na udini? Sheikh Ponda amekemea utekaji alipokuwa anamjibu Tulia kuhusu kutekwa na kupotezwa kwa Mdude Nyagali, je ulikuwa ni udini pia?
 
Una uhakika hakuna muislam anayeshabikia utekaji na uuaji?
Una uhakika?
Mbona wauaji na watekaji wakikemewa anakasirika na kufungia kanisa? Je yeye si muislam?
Kama keshakuwa kafir mseme siyo kila saa kunsifia tuu.
Mkuu nimekuelewa mno mnoo, nimepata elimu hapa wewe ni great thinker
 
drama zako mkapotoshane na malofa wenzio gentleman 🐒
Utekaji upo, watu wanapotezwa/uawa/dhuliwa hukuw serekali yenye dhamana ya usalama ikiziba watu midomo kama inavyomfanyia gwajima.
Ktk hili nasimamia na gwajima.
 
Utekaji upo, watu wanapotezwa/uawa/dhuliwa hukuw serekali yenye dhamana ya usalama ikiziba watu midomo kama inavyomfanyia gwajima.
Ktk hili nasimamia na gwajima.
hakuna drama kama hizo nchini gentleman, acha kujipotosha mwenyewe na dhana potofu :NoGodNo:
 
Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Ngoja ninyamaze
 
Hivi unafiki ni hulka au ni kosa la jinai? Je sheria inasemaje?
si kosa la jinai na sheria haisemi chochote isipokuwa karma inafanya kazi yake.
,Awe mkweli na asimamie ukwelili wake kama Lisu tu, sio kuleta ujanja ujanja na utapeli.
 
si kosa la jinai na sheria haisemi chochote isipokuwa karma inafanya kazi yake.
,Awe mkweli na asimamie ukwelili wake kama Lisu tu, sio kuleta ujanja ujanja na utapeli.
Kama karma itafanya yake kwanini sass mhangaike naye
 
Back
Top Bottom