Ambazo yeye kama muislamu hajali uhai wao?Bro, alivyoandika jamaa inaonesha kuna wachache ambao ni waislamu.
Ambazo yeye kama muislamu hajali uhai wao?Bro, alivyoandika jamaa inaonesha kuna wachache ambao ni waislamu.
Jibu hoja wewe taahira, nani anayeteka na kuua wakosoaji wa dikteta Samia?miongoni mwa makosa yake ni kuendekeza uzinifu, kudanganya wananchi wa Kawe, uropokaji na upotoshaji wa makusudi tena wazi wazi, wenye lengo la kuhadaa wananchi, kuleta taharuki na kuwajengea chuki wananchi dhidi ya serikali yao sikivu ya CCM iliyopo madarakani.
haya yote yanatokea baada ya kuhisi na kugundua kwamba ameshindwa kutimiza ahadi alizotoa kwa wana Kawe na hana nafasi ya kuchaguliwa tena na wana Kawe huku muda ukiwa umeshayoyoma. Uropokaji huo ni mlango wa kutokea na kuficha aibu baada ya kushindwa kabisaa kuleta mabadiliko kwa wananchi kawe 🐒
hakuna haja ya mihemko wala uropokaji unapojaribu kuhalalisha dhana na fikra potofu na za uopotoshaji gentleman 🐒Jibu hoja wewe taahira, nani anayeteka na kuua wakosoaji wa dikteta Samia?
Taahira nani anayeteka na kuua wakosoaji wa dikteta Samia?hakuna haja ya mihemko wala uropokaji unapojaribu kuhalalisha dhana na fikra potofu na za uopotoshaji gentleman 🐒
drama zako mkapotoshane na malofa wenzio gentleman 🐒Taahira nani anayeteka na kuua wakosoaji wa dikteta Samia?
Kwa hiyo unakubali kuwa mama ni mtekaji ila hairuhusiwi kusema?Kwa nini na wewe usijitokeze hadharani na kutamka kuwa mama ni mtekaji?
Kuna uhusiano gani kwa watekaji na udini? Sheikh Ponda amekemea utekaji alipokuwa anamjibu Tulia kuhusu kutekwa na kupotezwa kwa Mdude Nyagali, je ulikuwa ni udini pia?Naona hapa na udini unahusika sana tu
Hasa hawa wa kupewa buku 7Kweli kabisa na akili ndogo zaidi ndio huwa ina tabia ya kujiona ina akili
Taahira siyo Tlaatlah, nani alimteka na kumuua Mzee Ali Kibao? Au nayoni drama?drama zako mkapotoshane na malofa wenzio gentleman 🐒
Mkuu nimekuelewa mno mnoo, nimepata elimu hapa wewe ni great thinkerUna uhakika hakuna muislam anayeshabikia utekaji na uuaji?
Una uhakika?
Mbona wauaji na watekaji wakikemewa anakasirika na kufungia kanisa? Je yeye si muislam?
Kama keshakuwa kafir mseme siyo kila saa kunsifia tuu.
Mpumbavu ni yule mwenye dhamana ya usalama wetu, anyejifanya hajuwi kinachoendelea.Kosa lake ni upumbavu
Utekaji upo, watu wanapotezwa/uawa/dhuliwa hukuw serekali yenye dhamana ya usalama ikiziba watu midomo kama inavyomfanyia gwajima.drama zako mkapotoshane na malofa wenzio gentleman 🐒
hakuna drama kama hizo nchini gentleman, acha kujipotosha mwenyewe na dhana potofuUtekaji upo, watu wanapotezwa/uawa/dhuliwa hukuw serekali yenye dhamana ya usalama ikiziba watu midomo kama inavyomfanyia gwajima.
Ktk hili nasimamia na gwajima.

Ngoja ninyamazeMimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Huko ulipo ndo kwenye drama tz kuna utekajihakuna drama kama hizo nchini gentleman, acha kujipotosha mwenyewe na dhana poto
si kosa la jinai na sheria haisemi chochote isipokuwa karma inafanya kazi yake.Hivi unafiki ni hulka au ni kosa la jinai? Je sheria inasemaje?