Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Kosa lake ni kuwateka watu na kuwafanya ngao yake dhidi ya serikali.

View: https://youtube.com/shorts/ZZ9i09xSe6s?si=jXvnXfgxIwhhQqDo
 
Kwanza kabisa, kumshambulia rais ni haki ya kikatiba.

Pili Gwajima hakumshambulia rais, rais ndiye kamshambulia Gwajima baada ya Gwajima kukemea utekaji.

In fact Gwajima alitakiwa kumshambulia rais zaidi, sasa hivi anaremba sana kusema CCM si chama cha watekaji, kusema anamuombea Samia, kusema Pilisi si watekaji. Anaremba sana hajapiga inavyotakiwa.

Hilo la rais kumshambukia Gwajima maana yake ni kwamba rais anabariki utekaji.

Unaposema acha dola imshikishe adabu Gwajima, unaonesha ujinga kwamba huelewi kuwa katika nchi ambayo kutekana na kuuana ni kitu cha kawaida, hata wewe unaweza kutekwa na kuuawa, hata kwa mistaken identity tu.
Tusichoke kuwaelimisha wapumbavu.
 
Kwanza kabisa, kumshambulia rais ni haki ya kikatiba.

Pili Gwajima hakumshambulia rais, rais ndiye kamshambulia Gwajima baada ya Gwajima kukemea utekaji.

In fact Gwajima alitakiwa kumshambulia rais zaidi, sasa hivi anaremba sana kusema CCM si chama cha watekaji, kusema anamuombea Samia, kusema Pilisi si watekaji. Anaremba sana hajapiga inavyotakiwa.

Hilo la rais kumshambukia Gwajima maana yake ni kwamba rais anabariki utekaji.

Unaposema acha dola imshikishe adabu Gwajima, unaonesha ujinga kwamba huelewi kuwa katika nchi ambayo kutekana na kuuana ni kitu cha kawaida, hata wewe unaweza kutekwa na kuuawa, hata kwa mistaken identity tu.
Amejichotea watu na kuwaamrisha wamfuate kwenye vita yake dhidi ya serikali
 
Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235

View: https://www.instagram.com/p/DKbv1kBqbW8/?igsh=cW1kN3dwejVoZG9u

Anajifanya yeye Yuko Juu ya sheria ,hana adabu Kwa mamlaka mbaya zaidi analeta taharuki Nchini na kutumia Kanda lake kufanya siasa za uchochezi.
 

Attachments

  • IMG_20240106_163212.jpg
    IMG_20240106_163212.jpg
    20.1 KB · Views: 13
John Maxwell ashawahi sema "if your only tool is the hummer, you tend to see every problem as nails"
 
Amejichotea watu na kuwaamrisha wamfuate kwenye vita yake dhidi ya serikali
Hata hilo nalo ni haki yake ya kikatiba na kibinadamu.

Tatizo Watanzania wengi hawajui haki zao za kikatiba na kibinadamu.
 
Sisi kama waislamu tunamuunga mkono Mama Samia iwa sbbnndo muislam mwenzatu.Kafanya vzirui kuteka na kuua wapinzani wake wa kisiasa ambao wenginni wakrisitu
Kama alivyomteka na kumuua Mzee Ali Kibao mkristu? Unatumia matako kufikiria
 
Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi
Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na kutangaza maombi kwa wahanga mbalimbali nchini wenye kesi za uhaini, waliotekwa na hata wanasiasa pia..
Maombi yalianza jana na hapohapo ikatoka barua ya kulifungia kanisa lake
Je kosa la Gwajima ni lipi mpaka sasa?
Kukemea utekaji?
Kutaka wahusika watafutwe?
Kuwafanyia maombi wahanga mbalimbali?
Hivi tumefika mahali hata maombi tunayaogopa?View attachment 3354235
Labda kosa ni kutoa mfano wa kuondolewa macho ya Abdi!!
 
Hadi sasa hakuna chawa, kunguni, mpambe, kidampa wa mama Abdul aliyeweza kujibu hoja za Gwajima.
 
Gwajima angekemea utekaji bila kumshambulia Rais na vyombo vya usalama yasingemkuta yote haya. Mbaya zaidi akatumia kanisa lake kupiga propaganda za kisiasa na vitisho. Kajilipua kijinga mno. Acha DOLA imshikishe adabu.
Kama vyombo vya usalama na Rais anayetakiwa kusimamia usalama wa raia wako kimya nani wa kuwajibishwa?

Aliyesema ni drama za wapinzani ni nani? Samia na kundi lake ndio wahusika. Period
 
Back
Top Bottom