Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Umenikumbusha story ya yule baunsa aliyemkimbiza Dogo kisa Dogo kamwambia ikifika saa Tisa lazima nije kukutia dole. Wakati anamkimbiza Dogo akaingia nyumbani kwa babu aliyekuwa anatengeneza baskeli hapo nje. Yule Babu akamuuliza Baunsa sababu za kumkimbiza huyo Dogo ndipo baunsa kwa hamaki akasema " Si huyo Dogo kasema ikifika Saa tisa anakuja kunitia dole? Aje sasa anitie"
Babu wa watu kwa upooole akamjibu, Mjukuu wangu, saa hizi ni saa SITA, si Usubiri hiyo saa TISA ifike kama alivyokuahidi kuja kukutia dole? Au Una haraka sana na hilo dole? Baunsa likapaniki na kumtukana yule babu na kuondoka kwa aibu.
Sasa Faiza Foxy, wewe na wenzio si msubiri hiyo saa TISA?

Naona nyie ndio mnaharaka na mmeanza kumkimbiza mtoto mapema, si mngoje hiyo saa tisa, au mmeshindwa kustahamili.

Huu mfano unawafaa kabisa nyie wenye viherehere mnaokuja na porojo, ngojeni saa tisa, vidole vipo tu.
 
Acha weeee...Sio kwa Tanzania hii...Siasa za kenya ziko tofauti ...watu wakiamua kuchukua hatua wanachukua....

Kwa hawa makondooo..mang'ombe watanzania usitegemeee lolote....Sijui nani katuloga....

Sadly, this is very true!!!
 
Tuanzishe mahakama ya kushughulikia wala rushwa,mafisadi,na wanaotumia vibaya madaraka yao kwenye ofisi za uma,yaani tukikushuku tu fasta tunakuwahisha,hapana mara kuchunguzana na kesi zinapigwa kalenda kila kukicha.Nawakilisha
 
Hii nchi inaliwa kilaini sana, tusipoamka hakika titaisha
 
Hizo ni porojo, hiyo ripoti iko wapi?

Dr FaizaFoxy ni vizuri umkashauriana vizuri pale Lumumba na Nyumbani kwako wanao na Mzee.
Kuwa hii isue ya IPTL,EPA ,MEREMETA bado sana-na ni Msimu wa Marehemu Tanganyika.
Ila mlichofanikiwa kwa sasa ni kufanyaucheleweshaji wa hukumu-na hizi hukumu zingepitia mikono safi ya Kisheria pengine milango ya kunufaika ingekuwapo ila mbaya mnachokisahau ni hukumu Umma .

Msiombe siku hiyo na muumbe mola awaepushe na kikombe hicho
!


 
Last edited by a moderator:
Dr FaizaFoxy ni vizuri umkashauriana vizuri pale Lumumba na Nyumbani kwako wanao na Mzee.
Kuwa hii isue ya IPTL,EPA ,MEREMETA bado sana-na ni Msimu wa Marehemu Tanganyika.
Ila mlichofanikiwa kwa sasa ni kufanyaucheleweshaji wa hukumu-na hizi hukumu zingepitia mikono safi ya Kisheria pengine milango ya kunufaika ingekuwapo ila mbaya mnachokisahau ni hukumu Umma .

Msiombe siku hiyo na muumbe mola awaepushe na kikombe hicho
!

Kama huna hoja ni bora ungekuwa msomaji tu.

Ukisikia kuhororoja na kubwabwaja ndio huko.
 
Kama huna hoja ni bora ungekuwa msomaji tu.

Ukisikia kuhororoja na kubwabwaja ndio huko.



Hata Mtwara mlikuwa na Kauli hizo,lakini msisahau na kujifariji kuwa Wana-Mtwara wameshindwa ,mlichofanikisha na rudia ni kuchelewesha na kuzogeza mbele matatizo-Dr. FaizaFoxy kama hutaki unaacha
 
Last edited by a moderator:
Hizi ni ngonjera tu, mnajitahidi kutia vibwagizo vizuri lakini ukweli utabaki palepale fedha za escrow itabaki kuwa mali ya IPTL miaka yote ya mbele na nyuma. Subirini ripoti kamili siyo hivi vipande vyenu vya kuchamb!a.
 
Hata Mtwara mlikuwa na Kauli hizo,lakini msisahau na kujifariji kuwa Wana-Mtwara wameshindwa ,mlichofanikisha na rudia ni kuchelewesha na kuzogeza mbele matatizo-Dr. FaizaFoxy kama hutaki unaacha

Mtwara sasa hivi si wenzako, economy ya Tanzania kuanzia sasa na kwa miaka 100 ijayo kitovu chake ni Mtwara.
 
Kumbe Werema alisema kweli kumuita Davie Dog!! Alinusa na kugundua makosa ya werema na kuyataja bungeni kiasi cha Werema kutaka kurusha ngumi ikiwa ni pamoja na kutishia kuua!!!! HA HA HAAAAAAAAAAAA!!!!!!! sasa yametimia watu wana haha kujinasua!!!.Hongera Kafulilah!!. Uzoefu unaonesha ripoti ikivuja basi inakuwa haiwezi tendewa haki!!
Zitto na Filikunjombe tunasubiri!!!
 
Mtwara sasa hivi si wenzako, economy ya Tanzania kuanzia sasa na kwa miaka 100 ijayo kitovu chake ni Mtwara.

Fox tumia akili kubwa!! Nzega shinyanga kahama geita ni kitovu cha madini wako wapi!!!!!!!
 
Ukweli utabaki kuwa fedha za escrow ni mali ya IPTL, hivi vikaratasi vyenu mtajua wenyewe mmevitoa wapi. Mgogoro wa capacity charge uliamualiwa tangu mwaka 2001 kwa capacity charge kushushwa toka $ 4.2 mil mpaka $ 2.6 mil na IPTL walikubali. Kama wao TANESCO walikuwa vichaa kwa kulipa zaidi kuanzia mwaka 2002 - 2006 na tuwahoji lakini hakuna kichaa wa kufanya hivyo kiuharisia.

attachment.php
attachment.php
 
Hakika ndg zangu hii inch imegeuka dampo la kuhifazi wezi na majangili juzi tu WAZIRI wa maliasili amekanusha ndege ya rais wa china kubeba meno ya tembo tena ndani ya viwanja vya inch yake na usalama wa taifa upo sijui ni vp bora nisingezaliwa tanzania ningezaliwa burundi
 
najisikia kukutukana ila naogopa bani.
Hivi unaikumbuka ile mliyoipa jina la chenji ya rada? Wasingekuwa Wazungu haohao ingerudi hiyo chenji?? acha ujinga wewe.
Nimekuchukia sana wewe.
 
Kwahiyo madai yenu ni yapi nyie kina Kafulila? Chenji au fedha ya escrow yote? Kama ni chenji imetoka wapi wakati kabla ya IPTL haijaanza kupokea hizo capacity charge na malipo mengine kulikuwa na hukumu ya ICSID ya mwaka 2001 iliyoshusha Capacity charge na IPTL walikubaliana nao ndio uzalishaji ulipoanza 2002. Hakuna chenji na fedha ya escrow ni haki ya IPTL na tusubiri ripoti ya kihasibu ya CAG tuone itasema nini siyo haya mat@pishi yenu.
Kwahiyo kusingekuwa na mgogoro wa wawekezaji ( mechmar na VIP ) walioomba kufunguliwa kwa escrow account haya yote yasingekuwepo?
 
Kwahiyo madai yenu ni yapi nyie kina Kafulila? Chenji au fedha ya escrow yote? Kama ni chenji imetoka wapi wakati kabla ya IPTL haijaanza kupokea hizo capacity charge na malipo mengine kulikuwa na hukumu ya ICSID ya mwaka 2001 iliyoshusha Capacity charge na IPTL walikubaliana nao ndio uzalishaji ulipoanza 2002. Hakuna chenji na fedha ya escrow ni haki ya IPTL na tusubiri ripoti ya kihasibu ya CAG tuone itasema nini siyo haya mat@pishi yenu.
Kwahiyo kusingekuwa na mgogoro wa wawekezaji ( mechmar na VIP ) walioomba kufunguliwa kwa escrow account haya yote yasingekuwepo?

sasa mkuu kwako wewe na ufahamu wako mkubwa hiyo fedha kuwa ya IPTL au kuwa ya TANESCO kipi BORA KWAKO?
 
Utajiri uliopo Mtwara huko ulikokutaja ni cha mtoto.

Lets wait!! Watakaonufaika zaidi ni china,marekani na nigeria kidogo kwa mikataba ya kifisadi ambayo ni siri tusbiri and you will remember!!!!.
 
Ukweli utabaki kuwa fedha za escrow ni mali ya IPTL, hivi vikaratasi vyenu mtajua wenyewe mmevitoa wapi. Mgogoro wa capacity charge uliamualiwa tangu mwaka 2001 kwa capacity charge kushushwa toka $ 4.2 mil mpaka $ 2.6 mil na IPTL walikubali. Kama wao TANESCO walikuwa vichaa kwa kulipa zaidi kuanzia mwaka 2002 - 2006 na tuwahoji lakini hakuna kichaa wa kufanya hivyo kiuharisia.

attachment.php
attachment.php

Wewe acha kuhangaika .....hii ni comment ya Zitto leo hapa JF alafu unaibua magazeti ya enzi hizo ......soma hapo pekundu ...........

Pasco
Utaratibu wa kibunge sivyo unavyoeleza. Nasikitika kuwa wewe ni authority na hivyo unaposema jambo ni vema ujiridhishe kuwa una uhakika nalo.
Taarifa ya Kamati hupelekwa Bungeni baada ya watu kuhojiwa na sio unavyosema wewe. Wrong doing anaitambua CAG na PCCB na sio PAC. Kazi us PAC ni kupitia Taarifa, kuhoji wenye mamlaka wanaotajwa na kupendekeza Bungeni hatua dhidi yao.
Sijui umetoa wapi suala la Kamati teule hapa. Suala hili halina Kamati Teule. CAG ameshafanya kazi, PAC inaandaa Taarifa ha Bungeni tu.

CAG amejibu swali la msingi sana ambalo linaondoa ubishi wote FEDHA ZA ESCROW NI FEDHA ZA UMMA

Game over
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom