Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

Ripoti isiyokuwa na jina la mtu na cheo chake sio ripoti. Kwani tunaficha nini?

Nilitegemea wabunge wangeiwajibisha serikali lakini kwamfumo wa ssa wa mawaziri kuokana na wabunge nakuwa ngumu. Tume ya Jaji Warioba iliona hili lakini watawala wakajifanya vipofu ili waendelee kuifisadi nchi.
 
Mr.Prezidaa tuta kupa mwaka kabisa!
Ukinipa mwaka naanza kuwashughulikia wale wafanyabiashara wote wakubwa ambao wamekuwa wakikwepa kodi. Ikidhihirika wazi kwamba ni kweli walikwepa kulipa kodi: Kwanza, wanatandikwa viboko. Pili, mali zao zinataifishwa. Tatu, wanatupwa gerezani. Na zoezi hili litafanyika nchi nzima.

Usimamizi wa kodi utasimamiwa barabara nchi nzima. Adhabu ya mtu atakayepatikana anadokoa kodi hata kama ni pesa kidogo ni miaka 5 jela. Nchi itaongozwa na utawala wa sheria isipokuwa mimi, rais tu ambaye nitaifanya sheria inisaidie kuongoza kidikiteta. Sheria ya jumla ya mwizi yeyote wa mali ya umma ni kunyongwa hadharani. Sheria ya jumla ya mtu kudharau dini ya mtu mwingine ni miaka 5 jela. Sheria ya jumla kwa wauza sembe ni miaka 20 jela.

System hii ya CCM ya Centralization of Power itafutwa rasmi. Hii ndiyo inayosababisha ufisadi. Nchi itagawanywa katika majimbo na madaraka kamili yatarudishwa katika serikali za majimbo. Magavana wataongoza majimbo na watawajibika moja kwa moja kwangu. Kuiweka nchi katika mstari, kusimamia kodi na kurudisha nidhamu katika utumishi itachukua mwaka mzima. Mnataka kuniongeza muda tena?
 
Ningebahatika kuwa rais wa Tanzania walau kwa wiki moja tu, kitu ambacho ningefanya ni kuhakikisha kuwa siku ya kwanza ya utawala wangu inatungwa Sheria ya kunyonga wanasiasa waliohujumu uchumi.

Siku ya pili napata orodha ya wahujumu uchumi sugu au mafisadi papa. Siku ya tatu wanafikishwa mahakamani. Siku ya nne kesi inasikilizwa, ushahidi unatolewa na watuhumiwa wanapewa dakika tano-tano tu za kujitetea kila mmoja. Siku ya tano hukumu zinatolewa. Siku ya sita wananyongwa hadharani. Siku ya Saba utawala wangu unaisha. Anaingia rais mwingine!

Bora hata Adolf Hitler
 
Ningebahatika kuwa rais wa Tanzania walau kwa wiki moja tu, kitu ambacho ningefanya ni kuhakikisha kuwa siku ya kwanza ya utawala wangu inatungwa Sheria ya kunyonga wanasiasa waliohujumu uchumi.

Siku ya pili napata orodha ya wahujumu uchumi sugu au mafisadi papa. Siku ya tatu wanafikishwa mahakamani. Siku ya nne kesi inasikilizwa, ushahidi unatolewa na watuhumiwa wanapewa dakika tano-tano tu za kujitetea kila mmoja. Siku ya tano hukumu zinatolewa. Siku ya sita wananyongwa hadharani. Siku ya Saba utawala wangu unaisha. Anaingia rais mwingine!

ukimaliza mda wako tunaandamana uongezewe mda wa kubaki magogoni uisafishe nchi.
 
Wako wapi wale waliokuwa wanatuaminisha kwamba fedha za akaunti ya ESCROW sio za umma? nchi hii kuna watu wanapenda kutufanya watanzania wote ni watoto wa chekechea, inauma sana lakini dawa nzuri ni kutumia sanduku la kura vizuri 2015.

 
Ningebahatika kuwa rais wa Tanzania walau kwa wiki moja tu, kitu ambacho ningefanya ni kuhakikisha kuwa siku ya kwanza ya utawala wangu inatungwa Sheria ya kunyonga wanasiasa waliohujumu uchumi.

Siku ya pili napata orodha ya wahujumu uchumi sugu au mafisadi papa. Siku ya tatu wanafikishwa mahakamani. Siku ya nne kesi inasikilizwa, ushahidi unatolewa na watuhumiwa wanapewa dakika tano-tano tu za kujitetea kila mmoja. Siku ya tano hukumu zinatolewa. Siku ya sita wananyongwa hadharani. Siku ya Saba utawala wangu unaisha. Anaingia rais mwingine!

lazima kuwe na dicipline kwa style hiyo ya uongozi
wezi wote wa mali za umma lazima wakimbiee
 
Mkiniongezea wiki nyingine Mikataba yote ya madini na gesi inasitishwa rasmi na kufanyika upya. Makampuni yote yaliyoingia mikataba yajitokeze kwanza ili tuijadili hiyo mikataba upya. Iwapo waliweka hiyo mikataba na wale mafisadi papa niliokwisha wanyonga wiki iliyopita, basi mikataba yao inakufa kifo chema. Wanaanza upya wakitaka. Hii itachukua muda, labda mniongezee wiki nyingine tena ili nikamilishe kazi!

Tunakuongezea wiki moja ili utafune vimada wote wa mafisadi papa ambao ndio wanachagiza wizi wa fedha za umma kuoitia kwa mahawara wao serikalini.
 
.. Honolulu tena ibabidi uanze nao wale waa buku 7 humu watie adabu
 
Last edited by a moderator:
mimi nasubiri mwisho wake, ila kila mmoja atavuna alichopanda
mkuu mimi naendelea kusikiliza reggae hapa ila nina matumaini kuwa MUNGU yuko nasi siku zote

Duane Stephenson - Heaven Will Rise Up Lyrics

by duane stephenson

Lyrics to Heaven Will Rise UpYou judge a man, by the length of his hair
You think we are foolish but we aren't
You took our hopes, and replace them with faith yeah
With empty promises that makes you care

You say that there will be freedom yeah
The freedom to live, to live as you say
Generation of vipers what they always say
I know they'll be a price to pay

For the heavens will rise up against you (it will rise up)
My father's hand will hear your name
Hell on earth will be your play ground,
But a higher calling will bear my name (calling calling)
A higher calling bear my name

I lost for love, you deny me my rule
I live and I breathe and I die like you
Never had much to give,
Still you take my respect for granted
Now you wonder why I say
That I pay the price, for the things that are free
Satisfy your need to be better than me
You say that they'll be justice but you lie to them
I've seen the seven ways you play (seen the seven ways you play)
I've seen the seven ways you play (seen the seven ways you play
...........................................................
 
tunakupa mwaka mmoja zaidi.
Ukinipa mwaka naanza kuwashughulikia wale wafanyabiashara wote wakubwa ambao wamekuwa wakikwepa kodi. Ikidhihirika wazi kwamba ni kweli walikwepa kulipa kodi: Kwanza, wanatandikwa viboko. Pili, mali zao zinataifishwa. Tatu, wanatupwa gerezani. Na zoezi hili litafanyika nchi nzima.

Usimamizi wa kodi utasimamiwa barabara nchi nzima. Adhabu ya mtu atakayepatikana anadokoa kodi hata kama ni pesa kidogo ni miaka 5 jela. Nchi itaongozwa na utawala wa sheria isipokuwa mimi, rais tu ambaye nitaifanya sheria inisaidie kuongoza kidikiteta. Sheria ya jumla ya mwizi yeyote wa mali ya umma ni kunyongwa hadharani. Sheria ya jumla ya mtu kudharau dini ya mtu mwingine ni miaka 5 jela. Sheria ya jumla kwa wauza sembe ni miaka 20 jela.

System hii ya CCM ya Centralization of Power itafutwa rasmi. Hii ndiyo inayosababisha ufisadi. Nchi itagawanywa katika majimbo na madaraka kamili yatarudishwa katika serikali za majimbo. Magavana wataongoza majimbo na watawajibika moja kwa moja kwangu. Kuiweka nchi katika mstari, kusimamia kodi na kurudisha nidhamu katika utumishi itachukua mwaka mzima. Mnataka kuniongeza muda tena?
 
honolulu, hujazungumzia hawa waharibu thread za wenzao humu, wanaitwa sijui pro-L-B7, hawa utawafanyaje
 
Ripoti ya IPTL bado, hizi ni porojo tu.

hata kama,naomba niulize swali la msingi sana kama utaweza kujibu,(natahadharisha sitaki ushabiki)kama kweli fedha hizo hazikuwa za umma kwa nini mnahaha baada ya wafadhili wa bajeti kugoma kutoa fedha mpaka uchunguzi wa swala hilo ukamilike?kwanini msinge waambia hao wafadhili kuwa hapa bongo hakuna kitu cha aina hiyo wala hakuna hela ambayo ilichotwa?na kama haikuwa ya umma kwanini mchunguze?kwanini msiwagomee
 
Ningebahatika kuwa rais wa Tanzania walau kwa wiki moja tu, kitu ambacho ningefanya ni kuhakikisha kuwa siku ya kwanza ya utawala wangu inatungwa Sheria ya kunyonga wanasiasa waliohujumu uchumi.

Siku ya pili napata orodha ya wahujumu uchumi sugu au mafisadi papa. Siku ya tatu wanafikishwa mahakamani. Siku ya nne kesi inasikilizwa, ushahidi unatolewa na watuhumiwa wanapewa dakika tano-tano tu za kujitetea kila mmoja. Siku ya tano hukumu zinatolewa. Siku ya sita wananyongwa hadharani. Siku ya Saba utawala wangu unaisha. Anaingia rais mwingine!

Siku ya nane na wewe unakamatwa kwa kukiuka haki za binadamu, siku ya tisa unanyongwa!
 
Tunakuongezea wiki moja tena

Hiyo moja inatosha kwani tatizo kubwa la nchi yetu ni hawa viongozi. Imagine kiasi cha fedha walizokwapua toka escrow account ilhali hospitali zetu ziko dhoofu Kwa ukosefu wa dawa
 
Hii ishu ndio imemkimbiza rais nchini mpaka upepo utulie, hilo tezi dume ni kisingizio tu, tezi sio homa ya gafla alijua lipo wala halipasuki angetoa hiyo ripoti ndio aende kupasua, ila anataka tu kucheza na akili za watanzania.
 
Back
Top Bottom