The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 9,110
- 21,980
Afu huyu apunguze kujipost walimwengu wakimwamlia atapotea mazima kama hanaja
Afu huyu apunguze kujipost walimwengu wakimwamlia atapotea mazima kama hanaja
🤣🤣ILa hela hizi, sio sabuni ya roho tena ni sabuni ya povu
Kwani Hananja wamemfanyajeAfu huyu apunguze kujipost walimwengu wakimwamlia atapotea mazima kama hanaja
Alichokosea masanja ni kuendelea kubaki na huyo mwanamkeDu noma masanja ni mafia kile kifo cha katibu police na masanja wana siri nzito
Pengine hana uwezo wa kutotoa. Mambo haya yana siri kubwa hakuna angeweza kuvumilia huo ujingaAlichokosea masanja ni kuendelea kubaki na huyo mwanamke
Miye ningeshafukuza kitambo
Hao watoto karibu ni wa katibu
Masanja akaona akimwacha mwanamke eti atachekwa
Pumbavu kabisa
JiongezeSababu za kifo cha katibu?
Shida yake ni ushamba na ulimbukeniAfu huyu apunguze kujipost walimwengu wakimwamlia atapotea mazima kama hanaja
Lazima.police walikula pesa ndefu afu masanja kapotelea US Kwa mda baada ya kifo ndo akarudiKifo kilileta utata,ila yalipita.
Hao ndio kina nan ? Siku hizi ni code tu hata sielewi chochote
Ni heri nusu shari kuliko shari kamiliPengine hana uwezo wa kutotoa. Mambo haya yana siri kubwa hakuna angeweza kuvumilia huo ujinga
Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenziHao ndio kina nan ? Siku hizi ni code tu hata sielewi chochote
Masanja angepita na wote
Haya makanisa ya kuzuka haya huwa yana masharti yake ili kupata.mvuto sasa inategemea mtu kachagua fungu lipi huwa ni siri yao kali sana ni wengi wanasema huwa wanawazuia wanaume kufanya tendo ila huwa kuna limnyama la ajabu ndio.hulala nae kwa hyo mke hapo ili kuondoa ushahidi anatumika anazaa na unaleo ila sirinsirini,sikumoja ya ajabu siri inavujaaaTunamshukuru katibu..
Ngoja nami nianze kusali hapo nijaribu bahati yangu