Report card ya wabunge wa Dar: Halima Mdee

Haya maswali mazuri lakini yamepandana sana kuendana na kichwa chenyewe......Report Card.......ningeshauri yapunguzwe (Irrelevant) na ikiwezekana yatoke magazetini au sms ili na wapiga kura wake ambao si wana jamvi wayajibu.......

Kuna chanzo cha uhakika (kapuni kutokana na habari yenyewe) kiliniambia kwamba huwa muda mwingi wa Bunge hasa nyakati za kuanzia adhuhuri anautumia KUCHAPA MAJI!!!

Kama ni kweli chonde dada yangu!!!!
 
Moja ya ahadi nikupunguza tatizo la foreni kuanzia mwenge mpaka tegeta,
Ssasa ujenzi wa barabara umeanza.KELO ZA VIWANJA mama Tiba kushughulia.Kawe maji ya kumwaga sasa wataka nini wakati yeye ni mbungue,Mgogoro wa wakazi wa wazo wamelipwa ma million.HUPO HAPO
 
Halima Mdee atoweka jimboni Kawe na katika chama chao cha CHADEMA. Kuanzia mwishoni mwa mwaka 2011 mpaka sasa Mbunge wa Jimbo Kawe na mjumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho Halima Mdee haonekani kwenye kazi katika jimbo hilo na katika matukio yanayoandaliwa chama hicho.
Mbunge huyo kijana hakuonekana kabisa wakati wa maafa ya maafuriko yaliyotokea katika mkoa wa Dar es salaam mwishoni mwa mwaka 2011. Badala yake vyombo mbalimbali vya habari vilieleza kwamba mbunge wa jimbo jirani la Ubungo alitembelea maeneo yaliyopata maafa katika jimbo hilo ya Msasani na Boko.
Halima Mdee hakuwepo pia wakati ambapo wabunge wa Dar es salaam wakitoa tamko kuhusu pongezeko la nauli katika kivuko cha Kigamboni, ambapo Waziri Magufuli alimpongeza kwa kuacha kutoa tamko hilo pamoja na wenzake.
Mbunge huyo machachari hakusikika pia katika mkutano wa baraza la madiwani la jiji ambalo lilijadili mambo yenye kuvuta hisia hasa kuhusu UDA na pia wakati wa kikao cha bodi ya barabara ambapo vyombo vya habari vimedokeza kilikuwa na mjadala mkali.
 
Atakuwa honeymoon!au zenji na jamaa ake wakila good time!

Mwezi wa asali basi mtamu sana yaani Halima ni wa kuwaacha wapiga kura wake na kuzamia huko kula asali ya mwezi! Si angekatisha akarudi kuwapa pole wapiga kura wake waliopatwa na maafa. Mimi naamini Halima anawapenda wapiga kura wake huenda kuna kitu kimempata siyo hiyo Honeymoon.

Mnyika atuambie mbunge wetu yuko wapi.
 
Halima Mdee atoweka jimboni Kawe na katika chama chao cha CHADEMA. Kuanzia mwishoni mwa mwaka 2011 mpaka sasa Mbunge wa Jimbo Kawe na mjumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho Halima Mdee haonekani kwenye kazi katika jimbo hilo na katika matukio yanayoandaliwa chama hicho.
Mbunge huyo kijana hakuonekana kabisa wakati wa maafa ya maafuriko yaliyotokea katika mkoa wa Dar es salaam mwishoni mwa mwaka 2011. Badala yake vyombo mbalimbali vya habari vilieleza kwamba mbunge wa jimbo jirani la Ubungo alitembelea maeneo yaliyopata maafa katika jimbo hilo ya Msasani na Boko.
Halima Mdee hakuwepo pia wakati ambapo wabunge wa Dar es salaam wakitoa tamko kuhusu pongezeko la nauli katika kivuko cha Kigamboni, ambapo Waziri Magufuli alimpongeza kwa kuacha kutoa tamko hilo pamoja na wenzake.
Mbunge huyo machachari hakusikika pia katika mkutano wa baraza la madiwani la jiji ambalo lilijadili mambo yenye kuvuta hisia hasa kuhusu UDA na pia wakati wa kikao cha bodi ya barabara ambapo vyombo vya habari vimedokeza kilikuwa na mjadala mkali.

Kamanda atakuja na kueleza ukweli. Mabwepande ni eneo lake, na Kunduchi walipofukiwa wachimbaji mchanga ni Jimbo la Kawe.
 
Back
Top Bottom