Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Nimepokea taarifa kuwa Comrade Renatus Mkingah, a.k.a Mkinga Mkinga
Mwanaharakati machachari na hodari, msemaji asiyeogopa, mtunza ushahidi asiyebabaika
Amelazwa Hosipitalini Muhimbili - kibasila 1st Floor Wodi namba 11 kitanda namba 25.
Kidole gumba kimeoza kwa sababu ya diabetes [kisukari] kwa hiyo kinatakiwa kuwa amputated[kukatwa]
Anahitaji msaada wa hali, mali na sala.
Tafaadhalini wana JF tumsaidie. Tunaoweza tumtembelee.
Namba yake ni 0642644946 - waweza kumpigia ukimfariji au ukatumbukiza kitu kwenye hiyo tigo Pesa.