Mhhhh, sijui kama kelele za Richmond na Dowans hazihusiki hapo, maana hawa jamaa sumu zao zinasomeka kama magonjwa ya kawaida yenye maelezo ya kidaktari ili kuficha uharamia wao.
ile kampuni ya Rostam na fisadi mwenzake Peter NoniAlipataga millioni 100 za Vodacom
Sumu kwenye uboho sasa sumu kwenye kidole gumba!! Duh basi hii sumu kali. Ukipanua tu kinywa chako na kutamka neno Dowans ama Richmond basi sumu inaingia automatically! Tutaisha wengi sasa.
Mkuu Mkinga iwe ni kisukari kweli na upate nafuu ya haraka.
Alipataga millioni 100 za Vodacom
Nayeye anaufisadi wake ameshindwa kutoka ndo maana anastress za kusema hovyo. Pole yake yakuumwa lakini jamaa hafai hata kidogo bora nikae kimya maana mimi mwanamke mtaanza alikukopa mara hili lakini ndo ukweli wenyewe jamaa kimeo
Huo ni unafiki dada yangu,kama mtu unamfahamu kuwa ni fisadi na watu wengi tunaonekana wazi kumuamini;kwanini usieleze huo ufisadi wake ili tuupime na kujua ukweli.Acha kusingizia jinsia yako,jiamini.Nayeye anaufisadi wake ameshindwa kutoka ndo maana anastress za kusema hovyo. Pole yake yakuumwa lakini jamaa hafai hata kidogo bora nikae kimya maana mimi mwanamke mtaanza alikukopa mara hili lakini ndo ukweli wenyewe jamaa kimeo