HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Pole sana shujaa wetu, tunakuombea Mungu akuponye.
Mungu ampiganie na kumuinua.
Nimepokea taarifa kuwa Comrade Renatus Mkingah, a.k.a Mkinga Mkinga
Mwanaharakati machachari na hodari, msemaji asiyeogopa, mtunza ushahidi asiyebabaika,
Amelazwa Hosipitalini Muhimbili - kibasila 1st Floor Wodi namba 11 kitanda namba 25.
Kidole gumba kimeoza kwa sababu ya diabetes [kisukari] kwa hiyo kinatakiwa kuwa amputated[kukatwa]
Anahitaji msaada wa hali, mali na sala.
Tafaadhalini wana JF tumsaidie. tunaoweza tumtembelee.
namba yake ni 0642644946 - waweza kumpigia ukimfariji au ukatumbukiza kitu kwenye hiyo tigo Pesa.
Alipataga millioni 100 za Vodacom