Religious noise!!

Religious noise!!

"Ni kwamba makanisa na misikiti wafunge sound proof, wanatukela mno tena mno,serikali inaweza kuwambia bwana fungeni sound proof sio wanfungua makanisa alafu makelele mtindo mmoja, by the way lile kanisa la tabata kisiwani mchungaji amesalimu hamri na kulivunja na kufunga vilago baada ya kushindana na msikiti jirani, matokeo yake maumini wakaanza kuondoka mmoja moja.

Sasa msikitini sound-proof itasaidia vipi wakati speaker ziko juu ya paa?
 
Niliwaambia hata Dubai hakuna spika zenye kelele kama zitakazoanza masaa matatu yajayo
 
Ninakerwa sana na kelele za azana(adhana) alfajiri. Ndugu zetu hawawezi kubadili namna ya kutohusisha wasiohusika? Mbaya zaidi ni mashindano ya loud speakers kati ya misikiti jirani! I was once in Dabai, there are no such unnessesary noises. Sorry for any incovinience caused.

ni kweli kabisa mkuu. haya mambo ya kupigiana mikelele ya maspika ni utamaduni uliokuwa ukitumika zama za kale za mawe. wakati huu wa dijitali hakuna haja ya maspika...waumini watege ALARM kwenye saa au simu zao badala ya kupigiana mikelele isiyokuwa na mpango. nishawahi kuleta complaint kama hii lakini haikumaliza hata dakika kabla mods hawajaifuta. pamoja na kufuta lakini ukweli unabaki pale pale kwamba haya maspika ya waislamu yanakera sana. mbona mohamed alikuwa hatumii spika, sasa hawa waumini wa sasa hv wanakopi matumizi ya maspika kutoka kuzimu au wapi?
 
Ukishauri hawakawii kukuambia Takbir
 
Sijaupenda mjadala huu kwa sababu una lengo la kuamsha hasira za kidini na kuibua kashfa dhidi ya imani na mitume yetu. Tujenge utaratibu wa kuheshimu imani za wengine na kukubali haziko hapa duniani kwa Bahati mbaya.
Ova
 
huu mjadala japo ni wa cku nyingi ni mzuri na unastahili kujadiliwa. kwa kweli haya makelele ni kero kwa wananchi. makanisa na misikiti wanatupigia kelele na mbaya zaidi hamna muda maalumu. mtu anaweza kuibuka saa nane ucku(naamini ni kwa kukosa ucngzi nyumban kwake au stresss za maisha) anaambiaa watu waamke kujiandaa na sala. haya mambo yalikuwepo zama zile nakumbuka hata vijijin kulikuwa na utaratibu wa kupiga mbiu kuita watu kwn mikusanyiko. cku iz hamna. tuende na wakati. makanisa na misikiti iwekwe sound proof wanaoamini waenjoy maneno na nyimbo za kumuabudu mungu wanaemuamini. wengine waendelee na ratiba zao.
 
Ninakerwa sana na kelele za azana(adhana) alfajiri. Ndugu zetu hawawezi kubadili namna ya kutohusisha wasiohusika? Mbaya zaidi ni mashindano ya loud speakers kati ya misikiti jirani! I was once in Dabai, there are no such unnessesary noises. Sorry for any incovinience caused.
Yaonyesha ni mvivu wa kufanyakazi,adhana ni saa kumi na moja au kumi na moja na nusu,ni mda mzuri wa kujiandaa kwa kwenda kazini.Na ikiwa si siku ya kazi,ni mda mzuri kujiandaa kwa kufanya mazoezi ya viungo.Acha kulala sana,ndio inapelekea kupata maradhi kama ya sukari,moyo,mafuta kwenye mishipa,nyama zembe,kitambi zembe,uchovu,nk.
 
Define hizo unnecessary noisses mkuu, iwapo nchi itafanya maamuzi kwa kufuata hisia za mtu mmoja mmoja tunaweza kuta tuna shut down almost every thing na bado inaweza isiwe suluhu, ndio maana kuna viwango vilivyotengwa ambavyo vinakubalika katika jamii. Kwa mfano sheria mpya ya afya ya jamii itaweka kiwango kinachokubalika na hakuta kuwa na exceptions za makanisa wala misikiti. Kwa kuwa umezaliwa Tanzania nchi inayoheshimu misingi ya kuabudu jua wazi utaendelea kusikia adhana, kengele, na fataki za wahindi bila kujali zinakukera wewe au la ila zitajali kiwango kinachoruhusiwa cha hizo kelele. Kuna watu wanataka kiwanda cha bia TBL kifungwe kinapiga kelele na kutoa harufu, wengine air port iondolewe inawasumbua wakazi wa kitunda, na mimi ningependa soko la feli lifungwe linaharibu mandhari ya Ikulu ila haiwekani wote tulidhishwe kutokana na hisia zetu bali lazima kuwe na sababu za msingi zenye kuimarishwa na ushahidi.
Ni watu wavivu wa kufikiri,ndio wanawaza ya wenzao.Umetoa hoja nzuri sana.Umrpatia mia kwa mia.Umejibu vizuri.
 
Rwanda nimesikia wameweka sheria kali kudhibiti 'makelele' kwa kila mwenye nia ya kuwasumbua wengine kwa kisingizio cha dini. Sijui nchi yetu kama itafikia hatua hiyo maana wanafiki au 'viongozi' wa dini na viongozi wa kisiasa wana maingiliano ya chanda na pete.

Nji hii walaaaaaaa kila kitu n ruksaaa, si adhana tu huku, mtaan kwetu kuna kanisa linaitwa amani, aghrrrrrrr !!!!Wana makelele usiku na mchana yaan unakuta Kuna watu wawili tu kanisani, lakin sasa wanaweka maspika yao nje halafu wanayafungulia, uuuh nataMani kuhama huu mtaa kelele usiku kucha asubuhi kila mara jamani
 
"Ni kwamba makanisa na misikiti wafunge sound proof, wanatukela mno tena mno,serikali inaweza kuwambia bwana fungeni sound proof sio wanfungua makanisa alafu makelele mtindo mmoja, by the way lile kanisa la tabata kisiwani mchungaji amesalimu hamri na kulivunja na kufunga vilago baada ya kushindana na msikiti jirani, matokeo yake maumini wakaanza kuondoka mmoja moja.
Inachotakiwa ni wewe unayekereka na sauti hiyo,uweke sound proof nyumbani kwako,au ulikopanga chumba.
 
Unawezaje ku-justify kelele eti kwa sababu zinakuamsha asubuhi?! Kama unataka kuamshwa asubuhi nunua saa au simu yenye alarm.lolz
Adhana haichukui hata dakika tank,itakuwaje ikukere,lazima itakuwa ni mvivu wa kazi au una maovu fulani unayafanya au si mtu mzuri kwa jamii.Ndio mana hupendi kitu kinachohusiana na ibada.
 
Too much of mosques in every angle, all making unnecessary noisses. Makanisa kwenye makazi ya watu yanayopiga kengele ni almost nothing. It was not an attack that needed a counter attack. Think again

umeshakosea wewe mwenyewe.. ULITAKIWA UGENERALISE KWA DINI ZOTE... hata makanisa zile kengele husumbua watu.. tena hapa ninapoishi kuna moja hadi alfajiri ya siku za wiki... la ziada there is mushrooming of these small churchs alongside residents tena hawa jamaa wanapiga maombi hadi alfajiri huku wameachia spika za nje kwa sauti.. kulikuwa na moja la walokole hapa nyumbani (kama mita 4) aisee ilikuwa hatari wale jamaa duuuh. kila aiku mkesha tena wanalia kwa nguvu hao..
SASA BASI KAMA TUNAHITAJI KUCHUKUA HATUA TUSIANGALIE WATU WA IMANI MOJA TU NDUGU..
 
Vivi ,hivi unaweza enda mahali gani usikutane na misikiti au kanisa? labda Obay.wanganpi wanaweza afford kuishi huko Obay? wachache sana wenye class kama yako.hivo haiepukiki.

Obay Miskiti IPO spika zao za kiobay obay huku uswaz spika zinakelele na zinakoroma nawakati ile zinatestiwa tu lazma uruke kitandani mbio sana woooy korrroooo Alhah akbarrr mi ilifika kipindi mtoto Wangu mdogo WA miez kumi ulikuwa anapiga adhana hahahaha siku nilipogundua nilicheka sana....
Akiskia kimeguswa tu anafatisha sauti ya adhana by the way she is a muslim not so bad.......
 
Ukishauri hawakawii kukuambia Takbir

ulijifichaficha.. lakini umeshindwa kumaintain your cover... wewe ulitaka kuleta udini hapa mse**ge weeee.. wadau wamejitahidi kuonesha kuwa pande zote hayo makelele ya nyumba za ibada za imani zote ni kero... wewe umeng'ang'ana..matokeo yako unajisahau ona unachopost sasa....
WATU KAMA NYINYI NI SUMU SANA ..HIZI CHOKOCHOKO ZA KIDINI ZIKITAMALAKI TUTAJIKUTA KAMA JAMAA ZETU WA CENTRAL AFRICA... UNAPO PA KUKIMBILIA KIKINUKA??.. dickhe*d
 
Adhana haichukui hata dakika tank,itakuwaje ikukere,lazima itakuwa ni mvivu wa kazi au una maovu fulani unayafanya au si mtu mzuri kwa jamii.Ndio mana hupendi kitu kinachohusiana na ibada.

Kikwajuni One sio adhana pekee, swala la noise pollution ni tatizo kwa nchi zetu hizi. Maeneo ya makazi sio ya kufanya kelele saa za usiku, Kuna vigodoro, makanisa na mispika yao, mabar yanayokuwa wazi hadi saa kumi, misikiti, matangazo mbalimbali na hiyo migaru yao. Yote hiyo ni aina tofauti za kelele ambazo zinatuumiza. Binafsi nailaumu mipango Mimi, wizara ya ardhi na halmashauri kwa kushindwa kupangilia Mimi yao...ni kero kubwa sana basi tu nchi hii kila kitu ni ruksa kufanya.
 
Last edited by a moderator:
Mwenyezi mungu alikuwa na uwezo wa kuwaumba watu wooote ,watu wote duniani wakawa dini moja tu,

Pia baada ya kutuumba wote tukiwa dini moja ingepaswa atuondolee roho ya ubinafsi tofauti na hapo yangeanza kujitokeza makundi mara original,gwaa,ngwasuma nk
 
Ninakerwa sana na kelele za azana(adhana) alfajiri. Ndugu zetu hawawezi kubadili namna ya kutohusisha wasiohusika? Mbaya zaidi ni mashindano ya loud speakers kati ya misikiti jirani! I was once in Dabai, there are no such unnessesary noises. Sorry for any incovinience caused.

MTU anajipa kazi ya kuamsha wenzie katika zama hizi wakati mtu anaweza kujiamsha kwa alarm ya simu, ya SAA ya mkononi, ya gari au Haya ya TV, wanachekesha sana.
 
Ninakerwa sana na kelele za azana(adhana) alfajiri. Ndugu zetu hawawezi kubadili namna ya kutohusisha wasiohusika? Mbaya zaidi ni mashindano ya loud speakers kati ya misikiti jirani! I was once in Dabai, there are no such unnessesary noises. Sorry for any incovinience caused.
Na milio ya kengele za makasa? Mihadhara na mikutano ya injili?
 
Back
Top Bottom