Reli ya SGR inaanza kuwa uhalisia

Reli ya SGR inaanza kuwa uhalisia

Bahati mbaya kabisa hunauwezo wa jambo lolote. Ninakuhurumia sana kijana kwa ufinyu wako wa mawazo.

Hujui hata unachosimamia bali unaongozwa na mihemko iliyochanhanyika na stress za maisha.
Tanzania inakua kwa kasi kubwa sana. Ujenzi wa reli hii utasaidia usafirishaji wa bidhaa nyingi ndani ya nchi na kufanya gharama ya bidhaa kushuka.

Kwasababu akili zako zimeanza kuwa na matege huwezi kuona chochote zaidi ya kupayuka ovyo ovyo bila point.

Ninachokushauri kama huna cha kuongea kaa pembeni sisi wenye akili tujadiliane. Unadhani kutamka kipindi cha ujamaa ndio kukiishi. Wewe ni bwana mdogo sana.

Maandishi yako uliyoyaandika yanaakisi umri wako. Wewe bado ni kinda.


Leta point zenye mashiko na kama hujui uliza tutakusaidia.

Sina mihemko kama unavyofikiri kinachonikera ni lugha unayotumia dhidi ya wachangiaji wengine, sio lugha ya watu waliostaarabika ndio maana nimekuvumilia kiasi cha kutosha je unafikiri lugha ya kejeli ni wewe peke yako ndio umebarikiwa kuijua au unahisi wote tuko ktk level ya upumbavu ulionao. Lugha kama hiyo itumie kwa wakenya kule
Battle: Dar es Salaam vs Nairobi
 
Duh! talk abt chasing ur own tail...you are building a 12 B dollar railway to serve a country of 11 million? this is a big white elephant...afadhali ile yetu inaenda Uganda na Sudan Kusini...bila shaka itajilipia kwa mizigo hizo...Rwanda's GDP hata haijafika hio 12 B...
emoji23.png
emoji23.png

Mawazo yako na ufahamu wa mambo ya kiuchumi unafikia urefu wa pua.

Kwa ufupi tu, kichocheo kimojawapo kikubwa cha kukuza uchumi ni ubora na uimara wa miundo mbinu ya ardhi (barabara na reli), maji (pantoni, meli na merikebu), na anga (ndege).

On the contrary to your thinking, An ASSET that is unaccessible is as good as a dead elephant.
 
Sina mihemko kama unavyofikiri kinachonikera ni lugha unayotumia dhidi ya wachangiaji wengine, sio lugha ya watu waliostaarabika ndio maana nimekuvumilia kiasi cha kutosha je unafikiri lugha ya kejeli ni wewe peke yako ndio umebarikiwa kuijua au unahisi wote tuko ktk level ya upumbavu ulionao. Lugha kama hiyo itumie kwa wakenya kule
Battle: Dar es Salaam vs Nairobi
Wewe unapoambiwa ukweli unafikri unakejeliwa.
Ukweli ni kwamba huna facts zozote zaidi ya kupiga kelele tu bila point.

Sasa unajiona unaakili kweli kuanza kubeza hatua za ujenzi SGR huku hutoi hata sababu zenye mashiko. Unategemea tutakuonaje sasa. Wewe utaonekana mbumbumbu tu mwenye mihemko.
 
The same crappy fools who think they can judge others. When did you join this forum, 2016 so you think you are wiser than others.
My words touched you, for sure, umeenda hadi kunipekenyua,
But u forgot one thing, what if I had another ID? So u headed to a wrong conclusion again, try to reevaluate yourself once more.
 
DSM hakutakuwa na Rori au mabasi ya mikoani. Mizigo yote itachuliwa na reri hadi MOROGORO ambapo kutauwa na ICD, treni itapakia abiria kutoka DSM kwenda MORO kwa Muda wa risaa limoja.MABASI yote yatakuwa yanachua abalia kutoka Moro kupeleka mikoani. Awamu yapili ya ujenzi itaunga Dom to mwanza.itakuwa DSM to Mwanza masaa Sita. Hapo ndio Uchumui wa nchi unapokuja kupaa sio kujua tena kwani mzunguko wa Pesa utakuwa MKUBWA sababu ya usafiri wa haraka. Mtu unaweza enda mwanza Na kurudi kwa siku moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano mtu natokea iringa anafika moro anakuta treni ishaondoka, inabidi asubiri treni nyingine inayotoka Dar ambayo itachukua takriban saa na nusu (nusu saa mda wa kusimama vituo sita ) hapo morogoro ikae nusu saa kupakia alafu safari ya Dar pia saa moja na nusu. Mwisho wa siku anafika Dar masaa ma3 na nusu toka alipofika morogoro.... Mh!
 
Duh! talk abt chasing ur own tail...you are building a 12 B dollar railway to serve a country of 11 million? this is a big white elephant...afadhali ile yetu inaenda Uganda na Sudan Kusini...bila shaka itajilipia kwa mizigo hizo...Rwanda's GDP hata haijafika hio 12 B...
emoji23.png
emoji23.png
Bw. Jay546watt kama unaijua vyema jiografia ya Tanzania utagundua kuwa reli ya kati inahudumia nchi nne ikiwemo Uganda, Rwanda, Burudi na Congo ya mashariki (kupitia badnari ya Kigoma). Kwa hiyo huu ni mradi ambao ukikamilika utakuwa na manufaa makubwa kwa nchi nyingi za ukanda wetu wa afrika ya mashariki na kati.
 
Duh! talk abt chasing ur own tail...you are building a 12 B dollar railway to serve a country of 11 million? this is a big white elephant...afadhali ile yetu inaenda Uganda na Sudan Kusini...bila shaka itajilipia kwa mizigo hizo...Rwanda's GDP hata haijafika hio 12 B...
emoji23.png
emoji23.png
Jay456watt hii reli ya kati inahudumia nchi nne ikiwemo Uganda, Rwanda, Burundi, DRC ya Mashariki na Tanzania yenyewe. Kumbuka kuwa Tanzania ina ukubwa sawa na wa nchi tano (ikiwemo Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, na Malawi) hivyo hii reli itakuwa ni chachu ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania na nchi jirani mara itakapokamilika.
 
Kwa mfano mtu natokea iringa anafika moro anakuta treni ishaondoka, inabidi asubiri treni nyingine inayotoka Dar ambayo itachukua takriban saa na nusu (nusu saa mda wa kusimama vituo sita ) hapo morogoro ikae nusu saa kupakia alafu safari ya Dar pia saa moja na nusu. Mwisho wa siku anafika Dar masaa ma3 na nusu toka alipofika morogoro.... Mh!
Hahaha sio kosa lako sababu hujawahi kuishi kwenye nchi zenye aina hii ya usafirishaji, hata BRT haikai kituoni dakika 5 itakua standard gauge?
 
Hahaha sio kosa lako sababu hujawahi kuishi kwenye nchi zenye aina hii ya usafirishaji, hata BRT haikai kituoni dakika 5 itakua standard gauge?
Unaona unavyo kurupuka kijinga? Naongelea treni sio BRT.
Unapoongea sentensi kama "itakua standard gauge?" Sijui nikuchukuliaje! Standard gauge ni kipimo cha katakati ya reli sasa Sijui unamaanisha nin!
 
Unaona unavyo kurupuka kijinga? Naongelea treni sio BRT.
Unapoongea sentensi kama "itakua standard gauge?" Sijui nikuchukuliaje! Standard gauge ni kipimo cha katakati ya reli sasa Sijui unamaanisha nin!
Sasa kama BRT haichukui huo muda uliotaja standard gauge si zaidi, that was my point.

Kukusaidia tu, kutakua na timetable of departure sio kama unavyoenda sokoni hujui unaenda saa ngapi wala utarudi saa ngapi.

Kutakua na ratiba train inaondoka saa ngapi inafika saa ngapi so ukichelewa huo ni uzembe wako na nauli haurudishiwi kama ilivyo kwenye ndege. Carbon
 
Sasa kama BRT haichukui huo muda uliotaja standard gauge si zaidi, that was my point.

Kukusaidia tu, kutakua na timetable of departure sio kama unavyoenda sokoni hujui unaenda saa ngapi wala utarudi saa ngapi.

Kutakua na ratiba train inaondoka saa ngapi inafika saa ngapi so ukichelewa huo ni uzembe wako na nauli haurudishiwi kama ilivyo kwenye ndege. Carbon
Let's take baby steps....
Kwanza Elewa this is interstate train (ukipenda standard gauge hehehe) sio treni ya mjini ndo maana speed yake ni 160km/hr.
Pili kwa umbali wa 300km (single track) na treni ya speed 160km/hr huwezi ukawa na zaidi ya treni mbili yani moja ikiwa dar nyingine ipo moro zinapishana hapo kati.
Dar hadi morogoro ni km 180, manake treni ikikimbia max speed bila kusimama itachukua saa moja. Manake ikisimama vituo sita mda utaongezeka na itakua zaidi ya saa moja. Kumbuka treni sio basi (BRT) treni inahitaji umbali mrefu na mda mwingi kupunguza mwendo hadi kusimama, acceleration pia inachukua mda hadi kufikia hio 160km/hr. Rudia hio process mara 6. (Vituo 6)
Umeongelea timetable sawa.. ila mabasi kutoka mikoani hayafiki morogoro mda mmoja! Kunauwezekano basi likachelewa dakika 5 likakuta treni ishaondoka. Na ndo kufika Dar masaa ma3 na nusu baadae....
 
Let's take baby steps....
Kwanza Elewa this is interstate train (ukipenda standard gauge hehehe) sio treni ya mjini ndo maana speed yake ni 160km/hr.
Pili kwa umbali wa 300km (single track) na treni ya speed 160km/hr huwezi ukawa na zaidi ya treni mbili yani moja ikiwa dar nyingine ipo moro zinapishana hapo kati.
Dar hadi morogoro ni km 180, manake treni ikikimbia max speed bila kusimama itachukua saa moja. Manake ikisimama vituo sita mda utaongezeka na itakua zaidi ya saa moja. Kumbuka treni sio basi (BRT) treni inahitaji umbali mrefu na mda mwingi kupunguza mwendo hadi kusimama, acceleration pia inachukua mda hadi kufikia hio 160km/hr. Rudia hio process mara 6. (Vituo 6)
Umeongelea timetable sawa.. ila mabasi kutoka mikoani hayafiki morogoro mda mmoja! Kunauwezekano basi likachelewa dakika 5 likakuta treni ishaondoka. Na ndo kufika Dar masaa ma3 na nusu baadae....
Kwa hiyo shida yako wewe ni neno standard gauge?

Kuna narrow gauge(2 types), meter gauge, standard gauge na broad gauge.

Kajifunze kwanza hizo aina ndio uje tujadiliane hapa otherwise you are too low for me.
 
Let's take baby steps....
Kwanza Elewa this is interstate train (ukipenda standard gauge hehehe) sio treni ya mjini ndo maana speed yake ni 160km/hr.
Pili kwa umbali wa 300km (single track) na treni ya speed 160km/hr huwezi ukawa na zaidi ya treni mbili yani moja ikiwa dar nyingine ipo moro zinapishana hapo kati.
Dar hadi morogoro ni km 180, manake treni ikikimbia max speed bila kusimama itachukua saa moja. Manake ikisimama vituo sita mda utaongezeka na itakua zaidi ya saa moja. Kumbuka treni sio basi (BRT) treni inahitaji umbali mrefu na mda mwingi kupunguza mwendo hadi kusimama, acceleration pia inachukua mda hadi kufikia hio 160km/hr. Rudia hio process mara 6. (Vituo 6)
Umeongelea timetable sawa.. ila mabasi kutoka mikoani hayafiki morogoro mda mmoja! Kunauwezekano basi likachelewa dakika 5 likakuta treni ishaondoka. Na ndo kufika Dar masaa ma3 na nusu baadae....

Umbali wa Dar-Moro (njia ya SGR) ni km 205. Kuna km 95 za kubadilishana njia na vituo hapo katikati zinazofanya umbali wa line yote kuwa km 300. Kwa hiyo unavyodai kuwa treni haziwezi kupishana hapo katikati si kweli. Inaonekana mradi huu huulewi vizuri na hoja zako hazina mantiki.
 
Let's take baby steps....
Kwanza Elewa this is interstate train (ukipenda standard gauge hehehe) sio treni ya mjini ndo maana speed yake ni 160km/hr.
Pili kwa umbali wa 300km (single track) na treni ya speed 160km/hr huwezi ukawa na zaidi ya treni mbili yani moja ikiwa dar nyingine ipo moro zinapishana hapo kati.
Dar hadi morogoro ni km 180, manake treni ikikimbia max speed bila kusimama itachukua saa moja. Manake ikisimama vituo sita mda utaongezeka na itakua zaidi ya saa moja. Kumbuka treni sio basi (BRT) treni inahitaji umbali mrefu na mda mwingi kupunguza mwendo hadi kusimama, acceleration pia inachukua mda hadi kufikia hio 160km/hr. Rudia hio process mara 6. (Vituo 6)
Umeongelea timetable sawa.. ila mabasi kutoka mikoani hayafiki morogoro mda mmoja! Kunauwezekano basi likachelewa dakika 5 likakuta treni ishaondoka. Na ndo kufika Dar masaa ma3 na nusu baadae....
Wrong.
Train yetu itakuwa na control system inayoitwa CBTC-Communication based train control. Kutakuwa na direct communication kati ya track na train itakayowezesha kujua position ya train na kucontrol speed yake. Train hata zikikaribiana hazitaweza kugongana. We unaongelea train za kizamani zilikuwa zinatumia block system. Kama hujua jifunze kwanza ndo ubishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umbali wa Dar-Moro (njia ya SGR) ni km 205. Kuna km 95 za kubadilishana njia na vituo hapo katikati zinazofanya umbali wa line yote kuwa km 300. Kwa hiyo unavyodai kuwa treni haziwezi kupishana hapo katikati si kweli. Inaonekana mradi huu huulewi vizuri na hoja zako hazina mantiki.
Halafu jamaa inatakiwa ajue kuwa reli yetu itakuwa bidirectional na siyo single track kama alivosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wrong.
Train yetu itakuwa na control system inayoitwa CBTC-Communication based train control. Kutakuwa na direct communication kati ya track na train itakayowezesha kujua position ya train na kucontrol speed yake. Train hata zikikaribiana hazitaweza kugongana. We unaongelea train za kizamani zilikuwa zinatumia block system. Kama hujua jifunze kwanza ndo ubishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa weweee umekurupuka sijui kutoka wapi, unani quote alafu unaongelea vitu unavyojua mwenyewe! Alieongelea train kugongana nani?
 
Back
Top Bottom