RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,588
- 1,859
more updates
tunatekeleza vipi kambi ya ilalaUpdates: Septemba 28, 2017
Ngerengere, kambi na reli SGR vikiendelea kujengwa
![]()
![]()
![]()
![]()
tunatekeleza vipi kambi ya ilala
umeandika nini sasaEuropé kuna wawakezaji zaidi ya 200 wanawapa watu ajili zaidi ya 2m bila wawakezaji huna uchumi
Kiwanda cha kujenga mataruma ya zege kimekamilika? Sababu walisema kikikamilika ndio kazi itaanza kwa speed kubwa.wanasema kazi imeanza oooh mradi utachukua watu 6000 kwa awamu aya wiki ilopita nimeenda kibaha kijiji cha soga wafanya kaz walioajiliwa wachache sana hata mia tano hawafiki niliishi kwakula miogo mibichi na kulala msikitini kusubili hiyo ajira lakin mwisho wa siku nkajiondokea zangu
wanasema kazi imeanza oooh mradi utachukua watu 6000 kwa awamu aya wiki ilopita nimeenda kibaha kijiji cha soga wafanya kaz walioajiliwa wachache sana hata mia tano hawafiki niliishi kwakula miogo mibichi na kulala msikitini kusubili hiyo ajira lakin mwisho wa siku nkajiondokea zangu
Jifunze basi hata kuandika vizuri Kiswahili. Halafu ukiweza urudi tena kulalamika.wanasema kazi imeanza oooh mradi utachukua watu 6000 kwa awamu aya wiki ilopita nimeenda kibaha kijiji cha soga wafanya kaz walioajiliwa wachache sana hata mia tano hawafiki niliishi kwakula miogo mibichi na kulala msikitini kusubili hiyo ajira lakin mwisho wa siku nkajiondokea zangu
Raia lazima wajue maendeleo na mambo yanayofanyika ktk nchi yao. Kumbuka ya kuwa hii miradi haijengwi/haitengenezwi na marobot, bali ni watu (walio wengi ni raia).Kwani hiyo miradi ikifanywa kimyakimya tukaja kushituka imeisha tu kwani haijengeki...huuuuuuu ushamba wa kiki za kipuuzi ifike hatua tubafilike basi....kuleta maendeleo ni kaz ya serikali..serikali haijengi reri kutoa msaada kwa raia hapana big no..ila ni jukumu la serikali kutimiza wajibu wake...sasa inaanza kujengwa mitandao yote ya kijamiii mikelele tu reli reli reli reli...yani ndokma reli yakwanza kujengwa duniani...
Huuuu ushamba wa kijing..a bwana....
wanasema kazi imeanza oooh mradi utachukua watu 6000 kwa awamu aya wiki ilopita nimeenda kibaha kijiji cha soga wafanya kaz walioajiliwa wachache sana hata mia tano hawafiki niliishi kwakula miogo mibichi na kulala msikitini kusubili hiyo ajira lakin mwisho wa siku nkajiondokea zangu
Hahaha hivi wewe ni mtanzania au mkenya mbona kama unanichekesha wakenya mtatafuna wembe hii ni miaka miwili tu bado 8 na bado tupo kwenye mchakato wa kubadilisha katiba apewe 14 tayari bill ipo kwa speaker.Pole sana kakangu nakuhurumia kwa hilo ,umeenda kutafuta kazi waikosa wabakia kula mihogo mibichi na kulala msikitini ? mungu aione Tanzania yetu majani sijui twaelekea wapi ,huyu uchwara kajipiga tu kifua bure na hamna kinachoendelea Tanzania. CCM yatudhulumu kweli.
Hahaha hivi wewe ni mtanzania au mkenya mbona kama unanichekesha wakenya mtatafuna wembe hii ni miaka miwili tu bado 8 na bado tupo kwenye mchakato wa kubadilisha katiba apewe 14 tayari bill ipo kwa speaker.
Kajambe ukalale kibera huko Tanzania haikuhusu.Eti bill ipo kwa speaker? wah!! Tanzania yetu kwisha,,,,,,sasa miaka miwili tu hamna ajira twabakia kula mihogo mibichi na kulala msikitini ,itakuaje hizo miaka 14 jamani,hawa bashite,majaliwa na huyu uchwara wao tutafanya mandamano tuwang'oe mamlakani,no chadema no peace in Tanzania, uchwara MUST go.
Kajambe ukalale kibera huko Tanzania haikuhusu.