Relationship is a team work, wanawake msiyachukulie mahusiano kama sehemu ya kutatua matatizo yenu ya kiuchumi

Soma vizuri vitabu vya dini unayoiamini utakuta kumtunza mke ni jukumu la mume.

Sasa acha kulialia, ukimpata ambaye na yeye ana income mkae chini wekaneni sawa kwamba kwenye nyumba utafanya abcd na yeye akusaidie efg maisha yanakwenda.

Tatizo mnaogopa kuongea na wake zenu mnakuja kuwasimanga hapa JF.

Mimi kwangu habari sijui za gesi ya kupikia shopping za watoto na mambo madogomadogo huwa sihusiki nayo, nadeal na viti vya kiume, lakini hii pia inategemea mke wako anafanyakazi? Au ana source of income?

Kulialia will not help you, vunja ukimya sema naye.


Kama ni Mkristo soma Biblia kitabu cha Mithali :10 na kuendelea utaona kuwa hata mwanamke anapaswa kuwa na nguvu ya uchumi katika ngazi ya familia

Mke mwema anafananishwa na merikebu za biashara toka mbali.

Soma Sifa za mke mwema kuanzia mstari wa 10 hadi mwisho.

Unaambiwa mwanamke anatafuta mashamba na kuyanunua kwa hela ya jasho lake mwenyewe

Someni Maandiko vizuri kuepuka upotoshaji.
 
Uhuru na usalama wa kiuchumi hasa ndio unawaingiza wengi/baadhi huko kwa sasa, huko zamani sijui walikuwa wakiingizwa na nini kwenye ndoa.
 
I hope everyone is fine,

Mahusiano yeyote ili yaweze kufanikiwa inabidi pande zote mbili ziwe na ushirikiano, ila hali ni tofauti kabisa kwa asilimia kubwa ya wanawake tulio nao, wamegeuza mahusiano kama ndo kitega uchumi kikuu kwao.

Kwa dunia ya sasa sio swala la ajabu kukuta mwanamke akiwa na wanaume zaidi ya watano na kote huko akiwa na lengo moja tuu la kuchuma.

Ndoa nyingi zinayumba sababu ya hili kundi kubwa la wanawake wasiojua majukumu yao katika mahusiano na ndoa kwa jumla na badala yake wanakua wanalenga kwenda kupata pumziko la kiuchumi, na kuwaachia wanaume mzigo mkubwa wa kuendesha familia.

Malalamiko mengi ya wanawake katika mahusiano ni kuhusu wanaume kutowapa fedha ,na kutotatua shida zao tuu, lakini hawataki kukubaliana na ukweli kwamba , ili waweze kuhudumiwa 100% ,inabidi na wao wafanye majukumu yao kama inavyopaswa ili kujenga mahusiano imara.

Wanaume wengi wanaishia kwenye msongo wa mawazo na kutofurahia maisha ya ndoa kutokana na baadhi ya wanawake wabinafsi wasiotaka kujiongeza na kusubiri kufanyiwa kila kitu.

Kwa dunia ya leo ukiweza kuepukana na aina hii ya wanawake ,utaishi maisha ya amani na furaha siku zote.
naungo mkono hoja,,,WELL SAID
 
Choose wisely, ukiona mwanamke anajivua responsibility kwenye maisha yake achana nae mazima tafta mwanamke ambaye anapenda kushirikiana katika kujijenga!

Wanawake aina hii wengi tunawa overlook tu! Aina hii hawabandiki makope, makucha na wanapenda kujishughulisha zaidi na kuongea future!
Kama mimi, hata wanja siwezi paka
 
Sasa kama mnayajua yotee hayaa...

Huko kwenye Ndoa mnafata nini?

#YNWA
Nimeanza kukuelewa mkuu. Unapokuhali kuoa jua na mambo kama ya mtoa mada yapo.

Tatizo wanaume wengi huwa wanawaamini saana wanawake wakagk maneno tu yanaweza kumng'oa kwako achapwe kilaini na jamaa.

Ukioa kubali yote sio kuleta malalamiko ilhali ulijua yatajiri hayo.
Na wewe mleta uzi tafuta pesa acha lawama. Kuna wanawake kibao hata hawahitaji sent zako wafate hao. Hao ving'asti wa mjini achana nao utakua maskini kesho tu.
 
Unajichora hivi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukitulia utaweza banaaa ni mazoezi tu.

1635421530871.jpeg


hiyo naweza, ila wanja ndo nimeshindwa kabisaaaa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

uwiii huyu ukikutana nae peke yako uchochoroni, kelele zitakuhusu

yaan ni kasheshe na nusu

hahahahahahahahahahha
 
Mwanaume wengine wamekuwa wakitumia pesa vibaya kwa Umalaya halafu baada ya muda wanakuwa ombaomba kwa watoto wao na wapwa zao.

Ni vile wengi hawayajui Maandiko vinginevyo wangekuwa wanawaonesha baba zao nakuwaambia β€œ baba ulipaswa kuwa na mali za kukufanya ukidhi mahitaji yako yote hadi mwisho wa maisha yako yote kisha unirithishe Mimi na watoto wangu yaani wajukuu zako”

Sasa baba umebugi wapi?

Maandiko Matakatifu yanataka Mwanaume uwe na mali kiasi hadi wana wa wanao (Wajukuu) kuzikuta na kurithi utakapokuwa haupo.

Mfalme Suileman alifika mahali aka-declare kuwa ni ubatili mtupu na sawa na kujilisha upepo.

Mmepewa bure toeni bure !
 
Back
Top Bottom