Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Soma vizuri vitabu vya dini unayoiamini utakuta kumtunza mke ni jukumu la mume.
Sasa acha kulialia, ukimpata ambaye na yeye ana income mkae chini wekaneni sawa kwamba kwenye nyumba utafanya abcd na yeye akusaidie efg maisha yanakwenda.
Tatizo mnaogopa kuongea na wake zenu mnakuja kuwasimanga hapa JF.
Mimi kwangu habari sijui za gesi ya kupikia shopping za watoto na mambo madogomadogo huwa sihusiki nayo, nadeal na viti vya kiume, lakini hii pia inategemea mke wako anafanyakazi? Au ana source of income?
Kulialia will not help you, vunja ukimya sema naye.
Kama ni Mkristo soma Biblia kitabu cha Mithali :10 na kuendelea utaona kuwa hata mwanamke anapaswa kuwa na nguvu ya uchumi katika ngazi ya familia
Mke mwema anafananishwa na merikebu za biashara toka mbali.
Soma Sifa za mke mwema kuanzia mstari wa 10 hadi mwisho.
Unaambiwa mwanamke anatafuta mashamba na kuyanunua kwa hela ya jasho lake mwenyewe
Someni Maandiko vizuri kuepuka upotoshaji.