Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,273
- 7,362
I hope everyone is fine,
Mahusiano yeyote ili yaweze kufanikiwa inabidi pande zote mbili ziwe na ushirikiano, ila hali ni tofauti kabisa kwa asilimia kubwa ya wanawake tulio nao, wamegeuza mahusiano kama ndo kitega uchumi kikuu kwao.
Kwa dunia ya sasa sio swala la ajabu kukuta mwanamke akiwa na wanaume zaidi ya watano na kote huko akiwa na lengo moja tuu la kuchuma.
Ndoa nyingi zinayumba sababu ya hili kundi kubwa la wanawake wasiojua majukumu yao katika mahusiano na ndoa kwa jumla na badala yake wanakua wanalenga kwenda kupata pumziko la kiuchumi, na kuwaachia wanaume mzigo mkubwa wa kuendesha familia.
Malalamiko mengi ya wanawake katika mahusiano ni kuhusu wanaume kutowapa fedha ,na kutotatua shida zao tuu, lakini hawataki kukubaliana na ukweli kwamba , ili waweze kuhudumiwa 100% ,inabidi na wao wafanye majukumu yao kama inavyopaswa ili kujenga mahusiano imara.
Wanaume wengi wanaishia kwenye msongo wa mawazo na kutofurahia maisha ya ndoa kutokana na baadhi ya wanawake wabinafsi wasiotaka kujiongeza na kusubiri kufanyiwa kila kitu.
Kwa dunia ya leo ukiweza kuepukana na aina hii ya wanawake ,utaishi maisha ya amani na furaha siku zote.
Mahusiano yeyote ili yaweze kufanikiwa inabidi pande zote mbili ziwe na ushirikiano, ila hali ni tofauti kabisa kwa asilimia kubwa ya wanawake tulio nao, wamegeuza mahusiano kama ndo kitega uchumi kikuu kwao.
Kwa dunia ya sasa sio swala la ajabu kukuta mwanamke akiwa na wanaume zaidi ya watano na kote huko akiwa na lengo moja tuu la kuchuma.
Ndoa nyingi zinayumba sababu ya hili kundi kubwa la wanawake wasiojua majukumu yao katika mahusiano na ndoa kwa jumla na badala yake wanakua wanalenga kwenda kupata pumziko la kiuchumi, na kuwaachia wanaume mzigo mkubwa wa kuendesha familia.
Malalamiko mengi ya wanawake katika mahusiano ni kuhusu wanaume kutowapa fedha ,na kutotatua shida zao tuu, lakini hawataki kukubaliana na ukweli kwamba , ili waweze kuhudumiwa 100% ,inabidi na wao wafanye majukumu yao kama inavyopaswa ili kujenga mahusiano imara.
Wanaume wengi wanaishia kwenye msongo wa mawazo na kutofurahia maisha ya ndoa kutokana na baadhi ya wanawake wabinafsi wasiotaka kujiongeza na kusubiri kufanyiwa kila kitu.
Kwa dunia ya leo ukiweza kuepukana na aina hii ya wanawake ,utaishi maisha ya amani na furaha siku zote.