Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,886
- 828,463
Kuna hesabu za kiroho hapa
Mwaka 1962 Aliyekuwa balozi wa Tanganyika nchini Uingereza alijiuzulu nafasi hiyo muhimu kimataifa baada ya kutofautiana na boss wake Hayati Mwalimu J.K. Nyerere Mchonga meno!
Miaka 62 baadae (2025 haijakamilika hivyo sip 63) Aliyekuwa Balozi nchini Cuba na mwakilishi wa mataifa jirani mane.. Naye kaachia ngazi kwa barua .. Lakini pengine akiwa nje mbali na kituo cha kazi
Christopher Kassanga Tumbo yeye Alimwambia boss wake.. "Sitaki kazi yako narudi nyumbani....."
Pole pole yeye kaandika waraka mrefu akionesha jinsi asivyoridhishwa na mambo yanayoendelea ndani ya chama chake na taifa kwa ujumla na kutuma mitandaoni( pengine pia na kwa boss wake) lakini yeye hajasema anarejea nyumbani
Mazingira ya nyakati, muda na vipindi yanatofautiana sana kisiasa, kiuchumi, kijamii, maendeleo ya kitekinolojia nk.. Lakini ujumbe unafanana.. Wote wamejiuzulu!
Lakini je!? Kati ya wawili hawa nani kaharibu mbaya? Achana na sababu za kujiuzulu
Pole pole ndio katia fora. Yaani mbele ya kadamnasi kambagaza kofi boss wake
Ukiwa huu ni mwaka wa uchaguzi ambao kiutaratibu unapaswa kufanyika miezi isiyozidi mitatu ijayo.. Balozi anajiuzulu si kwa matatizo binafsi bali mambo ya kitaifa nchini mwake
Ni kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu jumuiya za kimataifa zote macho yake yako Tanganyika.. Imagine wanapata picha gani hapa!
Tayari tulikuwa tumeshachafuka kimataifa kutokana na yale yanayoendelea nchini.. Sasa ni kama Polepole kaja kuthibitisha ama kupigilia msumari wa mwisho.. Kama ni kutibua basi kajua kuyatibua hasa!
Vyovyote iwavyo kaweka historia mpya Tanganyika..
Mwaka 1962 Aliyekuwa balozi wa Tanganyika nchini Uingereza alijiuzulu nafasi hiyo muhimu kimataifa baada ya kutofautiana na boss wake Hayati Mwalimu J.K. Nyerere Mchonga meno!
Miaka 62 baadae (2025 haijakamilika hivyo sip 63) Aliyekuwa Balozi nchini Cuba na mwakilishi wa mataifa jirani mane.. Naye kaachia ngazi kwa barua .. Lakini pengine akiwa nje mbali na kituo cha kazi
Christopher Kassanga Tumbo yeye Alimwambia boss wake.. "Sitaki kazi yako narudi nyumbani....."
Pole pole yeye kaandika waraka mrefu akionesha jinsi asivyoridhishwa na mambo yanayoendelea ndani ya chama chake na taifa kwa ujumla na kutuma mitandaoni( pengine pia na kwa boss wake) lakini yeye hajasema anarejea nyumbani
Mazingira ya nyakati, muda na vipindi yanatofautiana sana kisiasa, kiuchumi, kijamii, maendeleo ya kitekinolojia nk.. Lakini ujumbe unafanana.. Wote wamejiuzulu!
Lakini je!? Kati ya wawili hawa nani kaharibu mbaya? Achana na sababu za kujiuzulu
Pole pole ndio katia fora. Yaani mbele ya kadamnasi kambagaza kofi boss wake
Ukiwa huu ni mwaka wa uchaguzi ambao kiutaratibu unapaswa kufanyika miezi isiyozidi mitatu ijayo.. Balozi anajiuzulu si kwa matatizo binafsi bali mambo ya kitaifa nchini mwake
Ni kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu jumuiya za kimataifa zote macho yake yako Tanganyika.. Imagine wanapata picha gani hapa!
Tayari tulikuwa tumeshachafuka kimataifa kutokana na yale yanayoendelea nchini.. Sasa ni kama Polepole kaja kuthibitisha ama kupigilia msumari wa mwisho.. Kama ni kutibua basi kajua kuyatibua hasa!
Vyovyote iwavyo kaweka historia mpya Tanganyika..