Rekodi mpya Tanganyika baada ya miaka 62

Rekodi mpya Tanganyika baada ya miaka 62

Hilo liko wazi hawezi kuja nchini sasa mpaka kwa wakati mwafaka..

Akija sasa na kwa namna alivyomtandika za uso, mateke na uppercuts huyu bibie, hakika watamdaka na kesi ya uhaini itapikwa akiwa Segerea kwenye "death row chambers..."

Huyu mama na genge lake ni hatari, ni shetani ktk sura ya mwanamke mvaa ushungi..
Anaenda kujichimbia kwanza kisha aje kutembeza spana moja moja
 
1752524258661.jpg
usafiri tunao tunamfuata huko huko Havana
 
Kuna hesabu za kiroho hapa

Mwaka 1962 Aliyekuwa balozi wa Tanganyika nchini Uingereza alijiuzulu nafasi hiyo muhimu kimataifa baada ya kutofautiana na boss wake Hayati Mwalimu J.K. Nyerere Mchonga meno!

Miaka 62 baadae (2025 haijakamilika hivyo sip 63) Aliyekuwa Balozi nchini Cuba na mwakilishi wa mataifa jirani mane.. Naye kaachia ngazi kwa barua .. Lakini pengine akiwa nje mbali na kituo cha kazi
Christopher Kassanga Tumbo yeye Alimwambia boss wake.. "Sitaki kazi yako narudi nyumbani....."

Pole pole yeye kaandika waraka mrefu akionesha jinsi asivyoridhishwa na mambo yanayoendelea ndani ya chama chake na taifa kwa ujumla na kutuma mitandaoni( pengine pia na kwa boss wake) lakini yeye hajasema anarejea nyumbani

Mazingira ya nyakati, muda na vipindi yanatofautiana sana kisiasa, kiuchumi, kijamii, maendeleo ya kitekinolojia nk.. Lakini ujumbe unafanana.. Wote wamejiuzulu!

Lakini je!? Kati ya wawili hawa nani kaharibu mbaya? Achana na sababu za kujiuzulu

Pole pole ndio katia fora. Yaani mbele ya kadamnasi kambagaza kofi boss wake

Ukiwa huu ni mwaka wa uchaguzi ambao kiutaratibu unapaswa kufanyika miezi isiyozidi mitatu ijayo.. Balozi anajiuzulu si kwa matatizo binafsi bali mambo ya kitaifa nchini mwake

Ni kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu jumuiya za kimataifa zote macho yake yako Tanganyika.. Imagine wanapata picha gani hapa!

Tayari tulikuwa tumeshachafuka kimataifa kutokana na yale yanayoendelea nchini.. Sasa ni kama Polepole kaja kuthibitisha ama kupigilia msumari wa mwisho.. Kama ni kutibua basi kajua kuyatibua hasa!
Vyovyote iwavyo kaweka historia mpya Tanganyika..
Tukiwa wadogo miaka ya 60 hivi. Kipindi kile hata mkipigana hakuna cha mtu kwenda polisi wala ndugu yake mahakama. Matatizo yalikuwa yanamalizwa na wanazengo kwa ama upigwe faini au mzazi apige faini kama uliyetenda kosa ni mdogo.

Kama mtu anakuzidi nguvu kulikuwa na mbinu mbili tu.
1. Kumfanyia timing unapiga hedi ya usoni. Hapo lazima aende chali na uso kuvimba. Unabeba shati lako huyoooo. Mashabiki wanabaki kushangilia na wapambe wako unaongozana nao.

2. Unabeba jiwe ama rafiki yako anakubebea kisirisiri. Unaenda kumchokoza adui. Akichokozeka, dakika tu unampiga jiwe usoni au kisogoni akikupa mgongo then unasepa zako na mashabiki wako unamwacha anajipangusa damu.

Swali: Polepole katumia mbinu ipi hapo kumtwanga bosi wake ???
 
Naomba uwe makini kusoma haya majina😆

1.Padri ,aliesoma mzumbe akawa mwambata Rwanda now yupo ngorongoro
2.Askofu Mara yupo Nida Mara bank kuu
3.Police alafu diwani alafu anazuia Rushwa
4. Musowero
Namba 2 alipokewa kijiti na namba 3 kutoka kaskazini mwa Tanzania ila hao wengine sijaelewa
 
Hilo liko wazi hawezi kuja nchini sasa mpaka kwa wakati mwafaka..

Akija sasa na kwa namna alivyomtandika za uso, mateke na uppercuts huyu bibie, hakika watamdaka na kesi ya uhaini itapikwa akiwa Segerea kwenye "death row chambers..."

Huyu mama na genge lake ni hatari, ni shetani ktk sura ya mwanamke mvaa ushungi akipambana kumpinga Mungu, kupingana na nyakati na majira yaliyowisha kumkataa

View: https://youtu.be/ZRtV1GTdV3c?si=f5ACFucerXgut8Tq

Kampiga jiwe na utosini. Mwamba kateleza huyoooo..
 
Naomba uwe makini kusoma haya majina😆

1.Padri ,aliesoma mzumbe akawa mwambata Rwanda now yupo ngorongoro
2.Askofu Mara yupo Nida Mara bank kuu
3.Police alafu diwani alafu anazuia Rushwa
4. Musowero
Hii code sijailewa mkuu sijui ni madungu yashakaa kichwan
 
Tukiwa wadogo miaka ya 60 hivi. Kipindi kile hata mkipigana hakuna cha mtu kwenda polisi wala ndugu yake mahakama. Matatizo yalikuwa yanamalizwa na wanazengo kwa ama upigwe faini au mzazi apige faini kama uliyetenda kosa ni mdogo.

Kama mtu anakuzidi nguvu kulikuwa na mbinu mbili tu.
1. Kumfanyia timing unapiga hedi ya usoni. Hapo lazima aende chali na uso kuvimba. Unabeba shati lako huyoooo. Mashabiki wanabaki kushangilia na wapambe wako unaongozana nao.

2. Unabeba jiwe ama rafiki yako anakubebea kisirisiri. Unaenda kumchokoza adui. Akichokozeka, dakika tu unampiga jiwe usoni au kisogoni akikupa mgongo then unasepa zako na mashabiki wako unamwacha anajipangusa damu.

Swali: Polepole katumia mbinu ipi hapo kumtwanga bosi wake ???
Kumfanyia timing unapiga hedi ya usoni. Hapo lazima aende chali na uso kuvimba. Unabeba shati lako huyoooo. Mashabiki wanabaki kushangilia na wapambe wako unaongozana nao.😂
 
Hilo liko wazi hawezi kuja nchini sasa mpaka kwa wakati mwafaka..

Akija sasa na kwa namna alivyomtandika za uso, mateke na uppercuts huyu bibie, hakika watamdaka na kesi ya uhaini itapikwa akiwa Segerea kwenye "death row chambers..."

Huyu mama na genge lake ni hatari, ni shetani ktk sura ya mwanamke mvaa ushungi akipambana kumpinga Mungu, kupingana na nyakati na majira yaliyowisha kumkataa

View: https://youtu.be/ZRtV1GTdV3c?si=f5ACFucerXgut8Tq
hamuogopi wahuni humu?
 
Mlimpeleka Kyuba wenyew sasa tulizeni awafumue marinda, maana kyuba sio kizi👌🏽 mkazi watu wanavaa misuli na bila kipande cha jeans
 
Back
Top Bottom