Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 701
- 1,840
Mods tafadhali msifute huu uzi wangu hili kuwapa funzo watumishi wa umma wapya wanaongia kwenye utumishi wa umma kwa lengo la kujitajirisha kuliko kuwahudumia wananchi
Mie ni mtumishi wa umma makao ya nchi kiukweli siku za hapa karibuni nimekuwa na majuto ambaye yanapelekea ufanisi wangu wa kazi kusshuka siku baada ya siku aiseee nakiri from chamber my heart Nimekuwa mla rushwa wa kupindukia within 3 year ya utumishi nimejilimbikiza pesa za kutosha kupitia talkrima mpaka najuta aisee
Yaani kwa mwezi kuingiza milioni 20 za rushwa na ujinga ujinga ni kawaida kupitia ndani ya miaka nimweweza kujenga vitega uchumi vingi sana isee nimealbort sana,nimeiba dawa sana,nimefanya majungu sana mpaka imepelea baadhi ya watu kufukuzwa kwa sababu ya majungu yangu wakuu
Mpaka sasa ninafikiria kutoa mamilioni yangu kwa watu wenye uhitaji ili niwe clean ili niweze kupata amani ya moyo na roho na nafsi aisee9# dunia tunapital_ sam mpangala#🤥🤥😫😫😫
This regression indeedl! Najuta sana mmmmmh
Mie ni mtumishi wa umma makao ya nchi kiukweli siku za hapa karibuni nimekuwa na majuto ambaye yanapelekea ufanisi wangu wa kazi kusshuka siku baada ya siku aiseee nakiri from chamber my heart Nimekuwa mla rushwa wa kupindukia within 3 year ya utumishi nimejilimbikiza pesa za kutosha kupitia talkrima mpaka najuta aisee
Yaani kwa mwezi kuingiza milioni 20 za rushwa na ujinga ujinga ni kawaida kupitia ndani ya miaka nimweweza kujenga vitega uchumi vingi sana isee nimealbort sana,nimeiba dawa sana,nimefanya majungu sana mpaka imepelea baadhi ya watu kufukuzwa kwa sababu ya majungu yangu wakuu
Mpaka sasa ninafikiria kutoa mamilioni yangu kwa watu wenye uhitaji ili niwe clean ili niweze kupata amani ya moyo na roho na nafsi aisee9# dunia tunapital_ sam mpangala#🤥🤥😫😫😫
This regression indeedl! Najuta sana mmmmmh