Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Kwangu mimi Mengi alikuwa na akili ya kutafuta hela kuliko MO.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Mengi alitafuta mtaji kwa jasho lake. MO alizaliwa 1975 akakuta mtaji kwenye akaunti.
2. Mengi ni hustler aliyeanza kuuza karanga, kalamu na sare za shule. MO alikuta mali tayari zipo.
3. Mengi alikuwa na akili ya kutafuta. MO ana akili ya kuendeleza alichokikuta kimeishatafutwa tayari, hivyo MO yuko sawa na Rodney Mutie Mengi (deceased) lakini siyo Reginald Abraham Mengi.
4. Mengi alikuwa mtafutaji. MO ni muendelezaji.
5. Mengi alijua njia ya utafutaji kuanzia A - Z. MO anajua njia ya utafutaji kuanzia Z - Z (A - Y hajui).
6. Mengi hakuwa na godfather. MO alikuwa naye (Dewji).
7. Mengi hakuwa na influence kisiasa. MO amewahi kuwa mwanasiasa Mbunge Singida 2005 - 2015.
8. MO alikuta makampuni yapo tayari yanafanya kazi. Mengi alianzisha makampuni from scratch.
9. Mengi alifunua wazi njia aliyopitia. Njia ya MO ina usiri labda kwa sababu amepita njia ya mzazi wake (hana njia yake mwenyewe) ambayo labda wengi wanaifahamu.
10. Mengi alikuwa kidume kuliko MO. Mengi aligawana na maskini na wanaoishi na ulemavu.
Kwangu mimi Mengi alikuwa na akili ya kutafuta hela kuliko MO.
Tupe ufahamu wako.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Mengi alitafuta mtaji kwa jasho lake. MO alizaliwa 1975 akakuta mtaji kwenye akaunti.
2. Mengi ni hustler aliyeanza kuuza karanga, kalamu na sare za shule. MO alikuta mali tayari zipo.
3. Mengi alikuwa na akili ya kutafuta. MO ana akili ya kuendeleza alichokikuta kimeishatafutwa tayari, hivyo MO yuko sawa na Rodney Mutie Mengi (deceased) lakini siyo Reginald Abraham Mengi.
4. Mengi alikuwa mtafutaji. MO ni muendelezaji.
5. Mengi alijua njia ya utafutaji kuanzia A - Z. MO anajua njia ya utafutaji kuanzia Z - Z (A - Y hajui).
6. Mengi hakuwa na godfather. MO alikuwa naye (Dewji).
7. Mengi hakuwa na influence kisiasa. MO amewahi kuwa mwanasiasa Mbunge Singida 2005 - 2015.
8. MO alikuta makampuni yapo tayari yanafanya kazi. Mengi alianzisha makampuni from scratch.
9. Mengi alifunua wazi njia aliyopitia. Njia ya MO ina usiri labda kwa sababu amepita njia ya mzazi wake (hana njia yake mwenyewe) ambayo labda wengi wanaifahamu.
10. Mengi alikuwa kidume kuliko MO. Mengi aligawana na maskini na wanaoishi na ulemavu.
Kwangu mimi Mengi alikuwa na akili ya kutafuta hela kuliko MO.
Tupe ufahamu wako.