Reginald Mengi ajitoa rasmi kwa Lowassa

Reginald Mengi ajitoa rasmi kwa Lowassa

Status
Not open for further replies.
Huyo ni kama mwanafunzi anayejifunza kuandika,kila sehemu atakayoiona ataandika tuu hata kama hapastahili kuandikwa,yaani huu ni ushamba wa kitambo sana unapost post tuu hata upuuzi
Naamini kama unapiga kampeni lazima uwe mwangalifu ili ujenge hoja za nguvu. Inasikitisha sana hata kuedit (kuhariri) maandiko yetu siku hizi hatufanyi, najiuliza hizi haraka za nini?

Ingawa sijawahi kuwa askari na sitakuwa kama Makongoro, naamini ukitumia bunduki vibaya ukalenga opposite side kwa adui yako, jua risasi itakayopigwa itakupasua ubongo. Niwaombe wanaoendesha kampeni humu ndani wajitahidi kujenga hoja isije ikawa kama jamaa aliyesema kama L... hatamtaja nitamtaja. Uliona L... alivyotumia hiyo nafasi adimu?
 
We binti kaolewe na lumumba tu acha kuropoka hv huoni kama unajidhalilisha utu wako miaka 50 sema una nn cha kujivunia unatumika kama tambala la deki humu ndani wamo wenye akili timamu siyo kama ww jiangalie sana MAGUFULI Vs JIWE watu wanachahua JIWE kuliko bwana zako wa lumumba.
 
Tangu mbio za Urais zianze kushika kasi mkurugenzi wa IPP Media ndugu Regnald Mengi alionekana wazi wazi kuiunga mkono timu ya UKAWA

Ghafla Mkurugenzi huyo ameamua kujitoa kwenye timu hiyo baada ya kuona anapoteza nguvu zake wakati ana uhakika wa 100% kuwa Magufuli ndiye Rais wa awamu ya tano. Mengi amesema haoni faida ya kupoteza muda wake kumuunga mkono mtu mwenye uhakika wa kushindwa. Mengi amekubali wazi kuwa ushindi wa kiti cha Urais 2015 ni wa Magufuli... "kama hawa jamaa watashinda nafasi ya Urais basi ni baada ya miaka 10 siyo hivi sasa, huu mwaka ushindi utakuwa wa Magufuli tu tutake tusitake"

Pigo kubwa kama hilo limeambatana na kuondoka kwa wasanii mbalimbali waliotimkia kambi ya Ndugu Magufuli akiwemo Aunt Ezekiel, Ray na Juma Nature. Mshirika wake mkuu Hussein Bashe nae amejiweka pembeni na kuutangazia umma kuwa "ili wananchi wawe salama ni lazima kiti cha urais kikabidhiwe kwenye mikono salama, kinyume chake wananchi hawatokuwa salama, na mikono salama ni ya ndugu Magufuli tu"

Mwaka wa kufa nyani miti yote huteleza, EDO keshaanza kufa na miti yake pia imeanza kuteleza taratibu

weka chanzo cha habari yako hapa, la sivyo ni uzushi na cyber crime law inakuhusu moja kwa moja .
 
wakati anakunongoneza haya mambo mlikuwa hoteli gani na chumbani namba ngapi bbie

Maneno kama haya hayawezi kuwa ya mtu muungwana, mwenye heshima na aliyepata malezi mazuri. Kama huna uwezo wa kujibu hoja nyamaza. Matusi ni dalili ya ujinga
 
Huyu naye ni wale wale angalia kaanza lini. Naamini kuanzia tarehe 25.10.2015 hatutamwona JF

Join Date : 25th August 2015
Posts : 33
Rep Power : 309
Likes Received12
Likes Given0

Tatizo kitengo cha it masaki cha mwezi wa kwanza kina watu ambao ni wageni wa mitandao ndio tatizo hilo ccm huu ndio mwisho wenu rais ni lowasa
 
Hayo Ni maoni ya mzee mengi Ni hali yake sio kwamba akiongea lazima itimie yeye Ni mmoja miongoni mwa mamilioni ya watz wanaotaka mabadiliko.
aunty Ezekiel,ray na juma nature ni njaa inawahangaisha

Una uhakika gani kuwa hayo ni maoni ya mzee Mengi
 
Itv mnaonyesha habari halisi za UKAWA saa 12 asubuhi, mnaogopaga nini?!
Tafadhali mfano ya mda huu ambayo wananchi walikua kwenye mkutano wa ccm baada ya kuona wa mgombea mwenza wa UKAWA anapita, wakaondoka wote kwenda kulala barabarani wakitaka aongee chochote, muirudie saa 2 usiku.

We jambazi wewe.
Kama Ukawa mmemnunulia Mbatia airtime saa 4 usiku..hii ya saa 12 mbona iko poa??
Au ulitaka saa 12 watangazwe magamba?
 
Hivi kuna watu ambao msanii akihama anahama nao?
 
Huyu naye ni wale wale angalia kaanza lini. Naamini kuanzia tarehe 25.10.2015 hatutamwona JF

Join Date : 25th August 2015
Posts : 33
Rep Power : 309
Likes Received12
Likes Given0

Hawa ndiyo wale vijana wa kitengo cha IT-masaki chini ya JM.
 
Mengi anaondoka na nguzo yote ya kaskazini...

Mengi ana kura moja tu, hana impact katika mawazo ya watz wanaotaka mabadiliko.Mwaka huu maccm mtakuja na kila aina ya viroja ili kujipunguzia maumivu.Lowasa ndiye rais wenu
 
sijaona mjinga kama wewe dunia hii.
unajua mnakufa ila unabisha tu.
kufeni huko.
 
Mkuu umenena vizuri sana...momentum inepungua baada ya kukaribisha makapi kuongoza jahazi..Gross miscalculations!!
Eti leo tumefikia stage kuwa Upinzani wanapa kigugumizi kutamka neno "fisadi"! Amakweli 4U Movement wamechukua uskani na kuweka M4C kiti cha abiria. Inauma sana lakini hakuna jinsi

Tulia dawa ikuingie acha kuweweseka, mwaka huu ni Lowasa tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom