Hayo Ni maoni ya mzee mengi Ni hali yake sio kwamba akiongea lazima itimie yeye Ni mmoja miongoni mwa mamilioni ya watz wanaotaka mabadiliko.
aunty Ezekiel,ray na juma nature ni njaa inawahangaisha
Huyu naye ni wale wale angalia kaanza lini. Naamini kuanzia tarehe 25.10.2015 hatutamwona JF
Join Date : 25th August 2015
Posts : 33
Rep Power : 309
Likes Received12
Likes Given0
Karibu JF, umejiunga juzi tarehe 12/09/2015 naona unakomaa kukusanya hela za ccm..wenzio walianza taratibu we unakurupukaTangu mbio za Urais zianze kushika kasi mkurugenzi wa IPP Media ndugu Regnald Mengi alionekana wazi wazi kuiunga mkono timu ya UKAWA
Ghafla Mkurugenzi huyo ameamua kujitoa kwenye timu hiyo baada ya kuona anapoteza nguvu zake wakati ana uhakika wa 100% kuwa Magufuli ndiye Rais wa awamu ya tano. Mengi amesema haoni faida ya kupoteza muda wake kumuunga mkono mtu mwenye uhakika wa kushindwa. Mengi amekubali wazi kuwa ushindi wa kiti cha Urais 2015 ni wa Magufuli... "kama hawa jamaa watashinda nafasi ya Urais basi ni baada ya miaka 10 siyo hivi sasa, huu mwaka ushindi utakuwa wa Magufuli tu tutake tusitake"
Pigo kubwa kama hilo limeambatana na kuondoka kwa wasanii mbalimbali waliotimkia kambi ya Ndugu Magufuli akiwemo Aunt Ezekiel, Ray na Juma Nature. Mshirika wake mkuu Hussein Bashe nae amejiweka pembeni na kuutangazia umma kuwa "ili wananchi wawe salama ni lazima kiti cha urais kikabidhiwe kwenye mikono salama, kinyume chake wananchi hawatokuwa salama, na mikono salama ni ya ndugu Magufuli tu"
Mwaka wa kufa nyani miti yote huteleza, EDO keshaanza kufa na miti yake pia imeanza kuteleza taratibu
Unaweweseka,hayo malori ndo yatapiga kura?? Watu hao hao mnazunguka nao kila kona,mnawahutubia jimbo hili leo,kesho watu hao hao jimbo lingine,watu wameamka
Kwani mtu mmoja akiondoka na 50 wakiingia kuna hasara hapo?
Leo nimepiga simu na kuongea na ndugu zangu huko vijijini,nimewashawishi ndugu zangu 10 ,na watampigia kura lowasa.Ninaendelea kutumia simu kuongea na kutext kwa jamaa na marafiki kila kona ya nchi.Mtu mmoja kutoka sio kitu.kila mtu mwezi huu awasiliane na jamaa zake ,kweli inafanya kazi nimeona.CCM LAZIMA ATOKE MADARAKANI SAFARI HII,KILA MTU NI MWAMASISHAJI
Tehtehteh.. Yeah, kuna hasara.. Hasa hayo 50 yote yakiwa ni Malofa... Au ma nyumbu.. Teh teh ni hasara kubwa sana ndg...
Hdi Juma Nature nae kawa dili uchaguzi huu..dah
Leo nimepiga simu na kuongea na ndugu zangu huko vijijini,nimewashawishi ndugu zangu 10 ,na watampigia kura lowasa.Ninaendelea kutumia simu kuongea na kutext kwa jamaa na marafiki kila kona ya nchi.Mtu mmoja kutoka sio kitu.kila mtu mwezi huu awasiliane na jamaa zake ,kweli inafanya kazi nimeona.CCM LAZIMA ATOKE MADARAKANI SAFARI HII,KILA MTU NI MWAMASISHAJI
Fikiria kwa mapana zaidi. Hapo anamaanisha; KURA MOJA IMEONDOKA HALAFU ZIMEKUJA KURA 50. je, kuna hasara hapo?
Leo nimepiga simu na kuongea na ndugu zangu huko vijijini,nimewashawishi ndugu zangu 10 ,na watampigia kura lowasa.Ninaendelea kutumia simu kuongea na kutext kwa jamaa na marafiki kila kona ya nchi.Mtu mmoja kutoka sio kitu.kila mtu mwezi huu awasiliane na jamaa zake ,kweli inafanya kazi nimeona.CCM LAZIMA ATOKE MADARAKANI SAFARI HII,KILA MTU NI MWAMASISHAJI