Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.

R.I.P mh Mbunge
 
Sisi ni wa m'mungu na kwake tutarejea. Hii habari ni kweli na nimeisikia hapa Tumbi hospitali.
 
Habari za mchana wana jf poleni kwa msiba mkubwa wa mpambanaji wetu hon. Regia , lakin akuondoka hiv hiv najua alikuwa na ndoto za kimapinduzi siku zote alituimiza kuwa wapambanaji najua kimwili tupo mbali lakin kiroho bado tupo pamoja, kazi alio iacha inatupasa kuiendeleza kwa juhudi kubwa na bila kuchoka sis tulimpenda ila mungu amempenda zaidi.
 
Kwa kadri ninavyosoma taarifa zinzvyoripotiwa humu nalazimika kuamini,Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya maremu.
Mwanga wa milele umwangazie ee bwana,apumnzike kwa amani,amina!
 
We are all in the same track let's get prepared!
 
Hi ni habari ya kusikitisha sana kwa watanzania woteeeeeee wapenda maendeleo
 

May your Soul Rest in Peace Regia.Gone so soon
 
Shocking news of 2012 to me

Nitakumiss sana kamanda, hasa yale madongo!!
 
I am speechless...

May her Soul Rest in Peace
 
Ohh God! Let your will be done! Regia, rest in peace! We will always remember you.
 
Rest In Peace Regia!

Kazi nzuri uliyoianzisha Tanzania na JF itaendelea kukua kama ua zuri ulilolipanda kwa upendo mwingi!

Machozi yataendelea kububujika lakini tunaamini Mungu hafanyi makosa!

Tulikupenda, lakini Mungu Amekupenda zaidi!

Ninaamini changamoto ulizozianzisha, na mchango wako kwa Taifa letu utakumbukwa daima!

Ulale kwa Amani!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…