Habari za mchana wana jf poleni kwa msiba mkubwa wa mpambanaji wetu hon. Regia , lakin akuondoka hiv hiv najua alikuwa na ndoto za kimapinduzi siku zote alituimiza kuwa wapambanaji najua kimwili tupo mbali lakin kiroho bado tupo pamoja, kazi alio iacha inatupasa kuiendeleza kwa juhudi kubwa na bila kuchoka sis tulimpenda ila mungu amempenda zaidi.