Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.

mgeni wenu

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2012
Posts
3,664
Reaction score
1,731
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani. Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake na baadae kwenye mkutano wa CHADEMA huko Kibaha. Habari hizi zimethibitishwa. Maneno ya Regia ya kufunga mwaka 2011 (Disemba 31, 2011)
Marehemu Regia Estelatus Mtema, Gari lililochukua uhai wake (baada ya ajali)​
 
Habari ya kusikitisha hii!!

Hebu fuatilia uje na habari yenye uhakika plse!!
 
habari ya kusikitisha sana
tafadhali fwatilia utupe taarifa kamili
 
nani kakuambia na wewe upo wapi? mkuu fuatilia hii kitu. tutakua tumepata pigo kubwa jf hadi ndani ya chama. Mia
 
mhhhh hebu fuatilia bana utupe taarifa kamili haya sio ya kusemea kwenye tetesi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…