Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,739
- 155,433
Jana nilijionea tukio la kustaajabisha wakati Luis Fabiano akifunga goli la mkono.
Alishika mpira kwa mkono akawapiga kanzu mtu na kaka yake, mpira ukamzidi, akauvuta tena kwa mkono, kisha akausukuma mpira kimiani.
Baada ya hapo Refa akiwa ameongozana na Luis fabiano alionekana akimwambia kwa ishara kuwa goli lako ni la mkono, lakini nimelimezea kwa sababu tu naipenda Brazil.
Hivi refa kama yule anaweza akashitakiwa Fifa au ndio haki imeisha na dakika sitini zake?
Alishika mpira kwa mkono akawapiga kanzu mtu na kaka yake, mpira ukamzidi, akauvuta tena kwa mkono, kisha akausukuma mpira kimiani.
Baada ya hapo Refa akiwa ameongozana na Luis fabiano alionekana akimwambia kwa ishara kuwa goli lako ni la mkono, lakini nimelimezea kwa sababu tu naipenda Brazil.
Hivi refa kama yule anaweza akashitakiwa Fifa au ndio haki imeisha na dakika sitini zake?