Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania 'TPL' kuendelea kupigwa leo Mei 19, 2019 kunako uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam ambapo Mabingwa watetezi Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, wakiwakaribisha Ndanda FC Wanakuchele kutoka Mtwara.
Ni mechi inayotarajiwa kuwa ngumu ya vuta nikuvute kwa muda wote wa dakika tisini, kwani katika mchezo wa mzunguko wa kwanza timu hizi zilitoka sare ya kutofungana.
Leo wanapambana tena Ndanda FC watawasimamisha Simba SC? Au Simba SC watapata matokeo chanya yatakayowasogeza kushikilia kombe kwa mkono mmoja? Usikose Ukaambiwa.
Kumbuka mchezo kuanzia saa 10:00 jioni na itakuwa mubashara na Azam Sports 2.
Wakati wowote Kabumbu litaanza uwanja wa Uhuru
Naaaaam mpira umeanza uwanja wa uhuru
00' Simba SC 0-0 Ndanda FC
05' Gooooooooooooaaaal goooooaal
Maddie Kagere anahesabu bao la kwanza upande wa Simba akipokea pasi ya Bocco
Simba SC 1-0 Ndanda FC
Simba wanatawala mchezo wa kwa pasi za hapa na pale.
Ni dhahir Simba wanataka kupata matokeo ya ushindi mapema ili kuweza kuimarisha uongozi wa ligi
10' Goooooooooooooooooooaaal Maddie Kagere anahesabu bao la pili upande wa Simba
Simba SC 2-0 Ndanda FC
15' Mpira unacheza upande wa Ndanda FC pamoja na kushambuliwa langoni mwao!
Bocco anakwenda, lakini anakosea wanachukua Ndanda wanakwenda mbele kujaribu kushambulia lakini Niyonzima anaharibu mipango
20' Simba SC 2-0 Ndanda FC
Ndanda wanapata faulo..Nahodha Makasi anapaisha na kuwa goal kick
25' bado matokeo Simba wako mbele kwa goli mbili bila majibu...
Zana anaonywa na mwamuzi baada ya kumfanyia madhambi
30' Simba SC 2-0 Ndanda FC,
Wachukua Simba kwake Mo Hussein anatokea golikipa anakuokoa
Kagere anakwenda na mpira mashariki ya uwanja, Ndanda wanajaribu kuondosha hatari ile...
Haya Ndanda wanaonana sasa kujaribu kulisogelea lango mchezaji anapiga ndefu lakini unatoka nje ya lango upande wa Simba
35' Simba SC 2-0 Ndanda FC
Kigi Makasi anaonyeshwa kadi ya Njano baada ya kumchezea faulo Zana Coulibaly
Mkopi anapiga ndefu..Lakini Aishi Manula anatokea na kudaka bila wasiwasi.
Mpaka sasa mpira umepungua ile kasi ya mwanzo
40' kuelekea kuwa mapumziko ambapo Simba wanaongoza kwa bao mbili
Hassan Dilunga anapiga shuti kali kwa umbali mrefu..Lakini unatoka nje kuwa goal kick
V. Manyanga anakwenda na anapiga chenga hata hivyo anaukosea..!
45+2' kipindi cha kwanza kimemalizika ambapo Simba wanatoka wakiwa mbele ya mabao mawili ya Maddie Kagere 05' 10
Simba SC 2-0 Ndanda FC
Naaaam..Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Uhuru
50' Matokea bado yale yale kwa Simba kuongoza mabao mawili bila majibu.
55' Mayanga anapapatuana na walinzi wa Simba, lakini simba wanamiliki.
60' Simba SC 2-0 Ndanda FC
Bocco anafinya kutaka kutoa pasi..Lakini wanapoteza
Magharibi ya uwanja Mo Hussein kwake Bocco, lakini mpira wanaunasa Ndanda
Muhilu amecheza vizuri hapa kujaribu kusaidia mashambulizi
65' Simba SC 2-0 Ndanda FC kipindi cha pili mtanange wa TPL
Beki wa Ndanda nusura afungishe, ila golikipa ametokea na kuuwahi mpira ule..
Hassan Maulidi anacheza pembeni..refa anasema ni faulo kuelekea Ndanda.
Simba wanakwenda langoni mwa Ndanda, anatokea beki wao na kulala kuokoa hatari.
70' Simba 2-0 Ndanda FC
Kotei anatoa pasi fupi, Inakataliwa wanachukua ndanda lakini unakuwa mwingi na kutoka nje..!
73' Anatoka Yusuf Mlipili anaingia Pascal Wawa
Hakuna matumaini ya Ndanda FC kusawazisha, wakati huohuo anatoka Makasi anaingia mchezaji Salum.
Niyonzima anatoa pasi safi..Maddie Kagere anakosa bao wazi..ilikuwa hatari.
Anatoka John Bocco..Anaingia Rashid Juma
Ndanda wasogea lango la Simba..Lakini wakaa vema mabeki wa Simba wakingozwa na Wawa.
87' Simba SC 2-0 Ndanda FC
Kagere anakosa nafasi ya kuandika bao last tatu dakika hizi za lala salama.
90+3' Wakati wowote mpira utakuwa umemalizika uwanja wa Uhuru
Naaaaaaam mpira umekwisha uwanja wa Uhuru ambapo Simba wamefanikiwa kutoka na ushindi wa mabao mawili bila majibu yakiwekwa kimiani na Maddie Kagere 05' 10
Simba SC 2-0 Ndanda FC
Ni mechi inayotarajiwa kuwa ngumu ya vuta nikuvute kwa muda wote wa dakika tisini, kwani katika mchezo wa mzunguko wa kwanza timu hizi zilitoka sare ya kutofungana.
Leo wanapambana tena Ndanda FC watawasimamisha Simba SC? Au Simba SC watapata matokeo chanya yatakayowasogeza kushikilia kombe kwa mkono mmoja? Usikose Ukaambiwa.
Kumbuka mchezo kuanzia saa 10:00 jioni na itakuwa mubashara na Azam Sports 2.
Wakati wowote Kabumbu litaanza uwanja wa Uhuru
Naaaaam mpira umeanza uwanja wa uhuru
00' Simba SC 0-0 Ndanda FC
05' Gooooooooooooaaaal goooooaal
Maddie Kagere anahesabu bao la kwanza upande wa Simba akipokea pasi ya Bocco
Simba SC 1-0 Ndanda FC
Simba wanatawala mchezo wa kwa pasi za hapa na pale.
Ni dhahir Simba wanataka kupata matokeo ya ushindi mapema ili kuweza kuimarisha uongozi wa ligi
10' Goooooooooooooooooooaaal Maddie Kagere anahesabu bao la pili upande wa Simba
Simba SC 2-0 Ndanda FC
15' Mpira unacheza upande wa Ndanda FC pamoja na kushambuliwa langoni mwao!
Bocco anakwenda, lakini anakosea wanachukua Ndanda wanakwenda mbele kujaribu kushambulia lakini Niyonzima anaharibu mipango
20' Simba SC 2-0 Ndanda FC
Ndanda wanapata faulo..Nahodha Makasi anapaisha na kuwa goal kick
25' bado matokeo Simba wako mbele kwa goli mbili bila majibu...
Zana anaonywa na mwamuzi baada ya kumfanyia madhambi
30' Simba SC 2-0 Ndanda FC,
Wachukua Simba kwake Mo Hussein anatokea golikipa anakuokoa
Kagere anakwenda na mpira mashariki ya uwanja, Ndanda wanajaribu kuondosha hatari ile...
Haya Ndanda wanaonana sasa kujaribu kulisogelea lango mchezaji anapiga ndefu lakini unatoka nje ya lango upande wa Simba
35' Simba SC 2-0 Ndanda FC
Kigi Makasi anaonyeshwa kadi ya Njano baada ya kumchezea faulo Zana Coulibaly
Mkopi anapiga ndefu..Lakini Aishi Manula anatokea na kudaka bila wasiwasi.
Mpaka sasa mpira umepungua ile kasi ya mwanzo
40' kuelekea kuwa mapumziko ambapo Simba wanaongoza kwa bao mbili
Hassan Dilunga anapiga shuti kali kwa umbali mrefu..Lakini unatoka nje kuwa goal kick
V. Manyanga anakwenda na anapiga chenga hata hivyo anaukosea..!
45+2' kipindi cha kwanza kimemalizika ambapo Simba wanatoka wakiwa mbele ya mabao mawili ya Maddie Kagere 05' 10
Simba SC 2-0 Ndanda FC
Naaaam..Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Uhuru
50' Matokea bado yale yale kwa Simba kuongoza mabao mawili bila majibu.
55' Mayanga anapapatuana na walinzi wa Simba, lakini simba wanamiliki.
60' Simba SC 2-0 Ndanda FC
Bocco anafinya kutaka kutoa pasi..Lakini wanapoteza
Magharibi ya uwanja Mo Hussein kwake Bocco, lakini mpira wanaunasa Ndanda
Muhilu amecheza vizuri hapa kujaribu kusaidia mashambulizi
65' Simba SC 2-0 Ndanda FC kipindi cha pili mtanange wa TPL
Beki wa Ndanda nusura afungishe, ila golikipa ametokea na kuuwahi mpira ule..
Hassan Maulidi anacheza pembeni..refa anasema ni faulo kuelekea Ndanda.
Simba wanakwenda langoni mwa Ndanda, anatokea beki wao na kulala kuokoa hatari.
70' Simba 2-0 Ndanda FC
Kotei anatoa pasi fupi, Inakataliwa wanachukua ndanda lakini unakuwa mwingi na kutoka nje..!
73' Anatoka Yusuf Mlipili anaingia Pascal Wawa
Hakuna matumaini ya Ndanda FC kusawazisha, wakati huohuo anatoka Makasi anaingia mchezaji Salum.
Niyonzima anatoa pasi safi..Maddie Kagere anakosa bao wazi..ilikuwa hatari.
Anatoka John Bocco..Anaingia Rashid Juma
Ndanda wasogea lango la Simba..Lakini wakaa vema mabeki wa Simba wakingozwa na Wawa.
87' Simba SC 2-0 Ndanda FC
Kagere anakosa nafasi ya kuandika bao last tatu dakika hizi za lala salama.
90+3' Wakati wowote mpira utakuwa umemalizika uwanja wa Uhuru
Naaaaaaam mpira umekwisha uwanja wa Uhuru ambapo Simba wamefanikiwa kutoka na ushindi wa mabao mawili bila majibu yakiwekwa kimiani na Maddie Kagere 05' 10
Simba SC 2-0 Ndanda FC