Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Vyanzo vinaeleza kwakuwa Watanzania wamekubaliana kuchukua malipo yao katika umri wa miaka 55 au 60 kwa lazima basi wafanyakazi wengi wa NSSF watapunguzwa katika ile hali ya kupunguza ghrama za uendeshaji.
Pia wafanyakazi watakao punguzwa ni wale waliolikisha mapema taarifa za kupitishwa kwa sheria mpya mapema na wenye mrengo ule wa kuiwajibisha serikali.
Vita ni vita mura hata mbuzi hukimbia
Vyanzo vinaeleza kwakuwa Watanzania wamekubaliana kuchukua malipo yao katika umri wa miaka 55 au 60 kwa lazima basi wafanyakazi wengi wa NSSF watapunguzwa katika ile hali ya kupunguza ghrama za uendeshaji.
Pia wafanyakazi watakao punguzwa ni wale waliolikisha mapema taarifa za kupitishwa kwa sheria mpya mapema na wenye mrengo ule wa kuiwajibisha serikali.
Vita ni vita mura hata mbuzi hukimbia
Sheria ya mwanzo iliyounda NSSF ilisisitiza ni marufuku kwa fedha za michango ya washirik kuwekezwa katika miradi isiyo na kinga ya Serikali. Miradi ya kibiashara ikifilisika fedha za washiriki inapotea. Kwa hiyo fedha za michango zilikuwa zinawekezwa katika Goverment securities e.g Treasury Bills na Goverment long term stocks.
Kwa hiyo ni kule kukiuka haya maagizo ya guarantee kumefanya NSSF ikaribie kufilisika. Sio tu kwamba wafanyakazi watapunguzwa, bali wale wanaotegemea kulipwa fedha zao za pensheni kwa maisha yao ya uzeeni wamepoteza.