bwana mdogo si vibaya ukienda kwenye ofisi za redio free africa kuileta hapa ni majungu kama nilivyosema hapo juu.....Unajua maana ya majungu wewe au umekariri! Hoja hapa ni usahihi wa lugha na sio lafudhi. Kama amekuwa affected kiasi hicho basi hiyo nafasi haimfai maana ata affect ňa wengine kama ilivyo ku-affect wewe.
Mtu analeta hoja ya maana wewe unaita majungu! Eti yasiyo na maana, kwani kuna majungu yenye maana! Ulipewa masikio mawili na mdomo mmoja ili usikilize zaidi kuliko kuongea.
Sikiliza ujifunze punguza ujuaji...