johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Mtafiti Mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara amesema uangalizi wa taasisi yake umegundua uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.
Chanzo: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!