Uchaguzi 2020 REDET: Uchaguzi ulikuwa Huru na wa Haki

Sijui kushuhudia uongo kwa mambo ambayo yalikuwa wazi kiasi cha kutia aibu ya kitaifa yanalenga nini katika mustakbali wa taifa hili.

Morali ya wananchi kupiga kura itaendelea kushuka sana sana km kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwaka huu zitaendelna kupakwa rangi na kuonekana ni za kawaida. Madhara yake ni makubwa sana kwa chaguzi zijazo. i
BIBLIA inasema:

"26 Watu wengi hutafuta upendeleo wa mkuu; Bali hukumu ya kila mtu hutoka kwa Bwana"
~Mithali 29 :26~
 
Wapinzani, eleweni vizuri hapa. Election expert anaposema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki hamaanishi uchaguzi ulikuwa perfect. Anachoomanisha ni kwamba winner angebakia yule yule endapo kasoro zilizobainika zisingekuwepo! Hii ndiyo standard inayotumika hata mahakamani.
 
Njaa ikihama tumboni kupanda kichwani ni tatizo kubwa sana.
Yaani ynaweza hata kusahau mama yako ni wa jinsia gani
 
Anayebishana na wasomi wetu atakuwa na matatizo ya akili.

Uchaguzi umeisha sasa tuijenge NCHI.

URT - JPM
SMZ- Mwinyi

CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mimi nilisimamia,kusema ukweli mtu kama Lissu alipata kura kidogo kweli,na hapa ni ngome ya CDM.
Mambo mengine tusilaumiane bure jamani,watanzania wengi sikuhizi wamekuwa kama wajumbe,kujaza nyomi sio inshu tena,hizo ni siasa za analogia
 
Hivi kuna mtu anaweza kuinuka na kupinga kuwa uchaguzi haukuwa wa haki na huru, anajitakia RIP in advance
 
Mtafiti mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara amesema uangalizi wa taasisi yake umegundua uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.

Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.

Chanzo: Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
Kalale na hiyo ripoti huko hukoba kabla hawajakutafuna alive kwenu hukoba professor uchwara...idiot times 2
 
Mtafiti mkuu Tanzania kupitia taasisi ya Redet Prof Mukandara amesema uangalizi wa taasisi yake umegundua uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.

Prof Mukandara amesema 44% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na haki na haukuwa na hitilafu yoyote ile. Na 40% ya waangalizi wake wamesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lakini uligubikwa na hitilafu chache ambazo haziathiri matokeo kwa vyovyote vile.

Chanzo: Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
Hii takataka inaongozwa na nani?
 
Back
Top Bottom