King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,371
- 88,567
Mange kasema?
Tatizo kila mmbea humu anajifanya kumuiga Warumi. Yule alikuwa na mtiririko hauchoshi na hauumizi akili hata akitumia code zinakuwa na maana unacrack unaelewaPengo la Warumi bado halijazibika.
Si wewe tu hata sisi wanywa juice hatujaambulia kitu mkuu, uzi una codes huuKonyagi hizi nitakuja niziache,
Yaani nimesoma lakini sijaelewa kitu kabisa
Davis MoshaWaliopo kwenye app watujuze lazima mange kamtaja huyo tajiri
Oops! Santee mkuuDavis Mosha


Huyo fogo ndio Le mbebez, mzee wa I'm humble you know?






at least umeibua.